Ngazija ni sehemu ya COMORO alienda mwanzoni mwa mwaka huu mbona, umesahau mpaka walimpa sijui zawadi iliyotukuka au nishani kwa msaada aliotoa kuikomboa ngazija, Nenda kwenye jamii Photo utaioona hiyi maneno,mbona sijasikia akienda visiwa vya ngazija
Mwaka jana nilipata nafasi ya kwenda mapumziko Jamaica, katika vitu nilivyoshangaa ni kuwa jamii ya watu wenye rasta ni ndogo sana ukifananisha na watanzania wengi tunavyoamini, Pia huwezi amini kuwa Bangi ni illega huko Jamaica. Nilikaa wiki tatu nilizunguka sehemu kubwa ya jamaica, mitaani wameweka watu maalumu wa kusaidia wageni na watalii msiibiwe, lakini shida ni Kipatwa (lugha wanayoongea, ile ya Shaba Ranks) kilinipa tabu si kidogo.,Kikwete akatwambia tusiharibu hela kwenda kwa vinyozi just rasta inatosha kubana matumizi !
Ndio miche bora inapatikana huko na wanalima na inaota hata ndani ya maji ,pengine akirudi nae ataligalaizi hiyo kitu ,si unajua mapolisi wetu hawana kazi zaidi ya kusaka wenye vipisi afu wanapakazia wamekukamata na gunia zima. Mkuu akirudi huko lazima atakuwa amepata idea ni vipi Serikali ya Jamaica imeachia huru ulimaji na utumiaji na hakuna matatizo.Natumai itasaidia kuweka magereza yetu kuwa matupu.Unatata miche ya "MARIJUANA"!!! Au sijkuelewa vizuri???
Daima mtembezi hula miguu yake atii!
Hivi Chief of Staff wake ni nani?? Maana inabidi tuanzie hapo kufukuza kazi... na nilishasema before, idara nzima ya itifaki nayo out....
Mheshimiwa wiki iliyopita tu alizimika sababu ya 'uchovu' within 40 days anafanya safari ya zaidi ya masaa 20....
Mie siku nitakapopata nafasi ya kumuuliza swali mkuu, nitauliza hivi.... "Muheshimiwa Rais, tokea ulipoingia madarakani, umefanya safari za nje ya nchi nyingi sana, unaweza kutuorodheshea mafanikio yaonekanayo ambayo yamepatikana kutokana na safari hizo?"
Labda anataka kushindana na Obama, maana Obama kampiku G.H.Bush juzi tu alipokwenda Denmark katika historia ya mwaka wa kwanza wa Rais wa nchi.
Keep it up my Prezidaaaa.....You are making me Proud...
haya tutaona mengi katika safari hiyo.....au tunatafuta soko la zao lile la TARIME ? maana nasikia huko linasoko kubwa sana, majani huuzwa barabarani na ardhi yao nasikia haistawishi majani kama TARIME.Mwaacheni aende tu mnashangaa nini kwa Mtalii huyu?Akimaliza aende Barbados na Papua New Guinea
Mzee wa maziara,sijui akitoka huko ataenda wapi?miaka hii tutaona mengi sana.Kupenda kula miguu ya kuku kuna leta mambo yake haya bwana.............