Rais wa watu kwa maendeleo ya watu wake.
Rais ana pigana kupunguza umaskini wenu halafu mnaleta midomo.Asipotoka nje hamta enda chooni nyie.
Atakuwa ameenda kufuatilia kusuasua kwa ujenzi wa New "Bagamoyo" Road
Leo kuna hatari itatokea huyu jamaa akisafiri tu watanzania tumbo joto.tusali na kuomba lisitokee
kiwanda kikubwa cha sement,miradi ya bara2 nk nyie mtajua lini kila siku maandamano mtaani?
Angemtuma mzee wa kufungua matamasha na mikutano
Hivi ni kweli our prezdaa ni freemasons?
Duh... Hii kali kuliko!Yule kazi yake ni kutembea na mkasi mfukoni kwaajili ya kukata tepe, kufungua na kufunga semina na makongamano, kupokea wageni wa Boss wake anapokuwa hayupo kama yule boss wa richmond. Hizo ndizo kazi kuu za makamu wake.
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo jioni anatarajiwa kuwasili nchini japani kushiriki mkutano wa tano wa maendeleo ya Afrika-TICAD V