Rais Kikwete Ziarani Japani

Mmmh jameenii tutafarijika !! angalau tutaletewa mabaki (chakavu) ya Tsunami.....!!

looh nakumbuka 2011 waJapani walipigwa dharuba la Tsunami, wangali bado wanamshituko na kumbo hilo Eti waBongo tukaanza kudai misaada yetu waliyotuahidi..? Mmh Sisi basi tena.
 
Mara moja moja awe anampa safari Makamu wake,yule Mzee wa watu(Dr.Bilal) kila siku anachoma mahindi tu.
 
Mara moja moja awe anampa safari Makamu wake,yule Mzee wa watu(Dr.Bilal) kila siku anachoma mahindi tu.
Yule kazi yake ni kutembea na mkasi mfukoni kwaajili ya kukata tepe, kufungua na kufunga semina na makongamano, kupokea wageni wa Boss wake anapokuwa hayupo kama yule boss wa richmond. Hizo ndizo kazi kuu za makamu wake.
 
Hivi ni lazima rais ahudhurie kila mkutano unaofanyika kokote duniani? Kwa mfano huo mkutano wa 5 wa kuzungumzia maendeleo ya Afrika lakini unafanyika Japan kuna uwezekano wa kuwakuta marais wote wa nchi za Afrika huko (hata yule wa Botswana)? Msimamo wa Rais wa Botswana His Exelence IAN KHAMA ni kuwa, most of the meetings are mere talk shows, and they are not productive to respective countries, and hence you can not develop your country through talkshows. Hata huko New York (UN) kwenyewe haendagi, anasema hadi kuwe na serious issue specific on his country. Mimi naona kuna haja ya kuiga mtazamo wa mzalendo huyu wa Botswana.

Yeye ni waziri wa afya, waziri wa mambo ya nje, waziri wa mazingira na pia ni waziri wa fedha. Ukitokea mkutano wa uzazi salama, anaenda yeye, pesa za fusifadi zikirudi anapanga matumizi yeye, ukitokea mkutano wa mazingira yumo. Yeye alisema kazi yake ni kuzunguka duniani kuhemea vibaba ili watanzania tusife njaa. Alisema asiposafiri tutakufa njaa! Mwacheni asafiri jamani!
 
Hivi ni lazima rais ahudhurie kila mkutano unaofanyika kokote duniani? Kwa mfano huo mkutano wa 5 wa kuzungumzia maendeleo ya Afrika lakini unafanyika Japan kuna uwezekano wa kuwakuta marais wote wa nchi za Afrika huko (hata yule wa Botswana)? Msimamo wa Rais wa Botswana His Exelence IAN KHAMA ni kuwa, most of the meetings are mere talk shows, and they are not productive to respective countries, and hence you can not develop your country through talkshows. Hata huko New York (UN) kwenyewe haendagi, anasema hadi kuwe na serious issue specific on his country. Mimi naona kuna haja ya kuiga mtazamo wa mzalendo huyu wa Botswana.

wewe unauliza maswali haya kama nani wewe ndo unapanga nani aende kwenye mkutano,mwabie ndesambulo aende basi kama hutaki rais,tunajamii ya ajabu sana kila kitu kulalamika sijui tutaacha lini kujadili kazi badala ya kufanya kazi.
 
Mmmh jameenii tutafarijika !! angalau tutaletewa mabaki (chakavu) ya Tsunami.....!!

looh nakumbuka 2011 waJapani walipigwa dharuba la Tsunami, wangali bado wanamshituko na kumbo hilo Eti waBongo tukaanza kudai misaada yetu waliyotuahidi..? Mmh Sisi basi tena.
jamii ya kejeli na malalamiko ndiyo jamii iliyobaki.
 
jamii ya kejeli na malalamiko ndiyo jamii iliyobaki.

Mkuu jioni njema,
Nilikutana na kiongozi wajuu juu kweli Eti naye pia alikuwa akilalama na kusema kuwa siku hizi nchi hii nzima inalalamika.!! ptuuh !1
Sasa wasawahili husema ikiwa BABA mwenye nyumba hupiga ngoma Watoto watuaje Sii tuna dance hapo?
anyway Tunashukuru kwa mungu Raisi yupo kazini.
 
Yeye ni waziri wa afya, waziri wa mambo ya nje, waziri wa mazingira na pia ni waziri wa fedha. Ukitokea mkutano wa uzazi salama, anaenda yeye, pesa za fusifadi zikirudi anapanga matumizi yeye, ukitokea mkutano wa mazingira yumo. Yeye alisema kazi yake ni kuzunguka duniani kuhemea vibaba ili watanzania tusife njaa. Alisema asiposafiri tutakufa njaa! Mwacheni asafiri jamani!

dua la kuku halimpati mwewe haya ni maneno tu hata kwenye khanga yapo utalalama sana,rais tenda kazi watanzania wako na wewe.
 
huna hoja, rais anapisafiri kukutana na marais wenzake wa nchi kubwa km japan ilyopiga hatua kubwa kimaendeleo, kuna mengi anatuletea kama taifa.

Mawazo ya kike . kwanini watz akili zimeoza hivyo. kwa hiyo amekwenda kuhemea ?
Tukituliza akili inafanya kazi sawa sawa, walimu wapo kibao mitaani , wengine wanaukacha ualimu sababu ya maslahi yeye anakwenda kuomba walimu jamaica , sasa japan kaenda kuomba nini yarabi ?????
mbona Nyerere au Mkapa hawakusafiri hivi na walijenga uchumi huyu kiguu na njia.
Lakini sioni shida kujua sababu ,! wazaramo haooo. kukicha yuko ngomani wanasubiri kununua mchicha gengeni na bagamoyo yote rutuba ka nini wanasubiri viazi toka tanga.
Nchi kutawaliwa na watu wenye akili ndogo shida
 
huna hoja, rais anapisafiri kukutana na marais wenzake wa nchi kubwa km japan ilyopiga hatua kubwa kimaendeleo, kuna mengi anatuletea kama taifa.

Kwa ziara ambazo ameshafanya kwa mwaka huu tu, ameshatuletea mangap? bei ya sembe imeshuka?
 
Back
Top Bottom