Rais Kikwete safarini Marekani...

Rais Kikwete safarini Marekani...

Status
Not open for further replies.

General Mangi

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
15,316
Reaction score
23,178
Safari njema mkulu, uende salama na urudi salama
 
Tupunguze matumizi. Sasa hivi Mkoa moja inapelekewa OC ya shs.45,000,000 kwa mwezi badala ya Tshs.250,000,000 kama ilivyopangwa kwenye bajeti kwa mwezi. Kwa kweli hali inatisha. hakuna kazi inayofanyika kwenye ofisi zetu sasa hivi.
 
Kama kawaida yake, wiki hii Rais kikwete anaelekea marekani kuaga.
Habari zinasema kwamba rais atakuwa huko kwa wiki moja, na atawaaga wakuu wa nchi katika mkutano wa umoja wa mataifa, UN.
Hii itakuwa safari ya 410 katika uongozi wakee!!.

Duuuuuuh 410
 
Wakuu, nafikiri JK anahudhuria kikao cha kawaida cha wakuu wa nchi Umoja wa Mataifa ambacho hufanyika kila mwaka majira kama haya. Siipendi CCM na mambo yake lakini safari hii kwa sasa ni justifiable.
 
Anaenda kumtambulisha Mh.Lowasa UN huwezi kuondoka bila kuacha jina la mrithi UN.

Ukawaaaaaaaa tumaini letu.
 
Nchi chungu nzima zawakilishwa na mabalozi wao wa kudumu. Ila huyu wetu hajakosa tangu aingie, anaunganisha na shopping.
Haya mambo si mzaha, ukifiiria kuna mamilioni ya Watanzania walala kwenye giza! Safari ya 410 haingiliki akilini. Absolutely barmy.
Kama si ushamba sijui ni ugonjwa gani akili za kitoto ?. Maana sidhani hajali, ila kama mtoto anayemtesa paka. Hajui kujali ni nini.
 
Kama kawaida yake, wiki hii Rais kikwete anaelekea marekani kuaga.
Habari zinasema kwamba rais atakuwa huko kwa wiki moja, na atawaaga wakuu wa nchi katika mkutano wa umoja wa mataifa, UN.
Hii itakuwa safari ya 410 katika uongozi wakee!!.

Zimezidi 410 ndugu. Kuna uzi kuhusu hiyo humu.
 
Kama kawaida yake, wiki hii Rais kikwete anaelekea marekani kuaga.
Habari zinasema kwamba rais atakuwa huko kwa wiki moja, na atawaaga wakuu wa nchi katika mkutano wa umoja wa mataifa, UN.
Hii itakuwa safari ya 410 katika uongozi wakee!!.

Duuuuu,ya 410? Kazi ipo
 
Wakuu, nafikiri JK anahudhuria kikao cha kawaida cha wakuu wa nchi Umoja wa Mataifa ambacho hufanyika kila mwaka majira kama haya. Siipendi CCM na mambo yake lakini safari hii kwa sasa ni justifiable.

Kwani lazima aende yeye?kwanini balozi hasichukue nafasi?
 
Tupunguze matumizi. Sasa hivi Mkoa moja inapelekewa OC ya shs.45,000,000 kwa mwezi badala ya Tshs.250,000,000 kama ilivyopangwa kwenye bajeti kwa mwezi. Kwa kweli hali inatisha. hakuna kazi inayofanyika kwenye ofisi zetu sasa hivi.

Huo ni ukweli hata hiyo oc inaingia imechelewa sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom