General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,178
Kama kawaida yake, wiki hii Rais kikwete anaelekea marekani.
Habari zinasema kwamba rais atakuwa huko kwa wiki moja, na atawaaga wakuu wa nchi katika mkutano wa umoja wa mataifa, UN.
Hii itakuwa safari ya 410 katika uongozi wakee!
=======
UPDATE:
Mkutano wa Rais Kikwete ulikuwa huu => https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...al-response-to-health-crises-in-new-york.html
Habari zinasema kwamba rais atakuwa huko kwa wiki moja, na atawaaga wakuu wa nchi katika mkutano wa umoja wa mataifa, UN.
Hii itakuwa safari ya 410 katika uongozi wakee!
=======
UPDATE:
Mkutano wa Rais Kikwete ulikuwa huu => https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...al-response-to-health-crises-in-new-york.html