WanaJF
Ukweli ni kwamba kushindwa kwa Rais Kikwete kukiongoza chama kumepeleke upenyo wa Mhasimu wake Edward Ngoyai Lowassa kutimkia Ukawa. Binafsi naona kwamba chama hakikujipanga kwa kuwa waliyokuwa wanayasema kwenye majukwaa na vyombo vya habari hawakuvitenda.
Hebu jiulize swali hili: Nnape Nawuye amekuwa MROPOKAJI mkuu na MSEMAJI MKUU wa chama. Kwamba anaharibu au anajenga hiyo siyo issue kwake cha maana amezungumza.
Nikawa najiuliza hivi huyu jamaa hakuna watu wanaoweza kufikiri zaidi yake? Maana kama anaenda kwenye vyombo vya habari na kutoa matamko ya chama basi ana baraka za wakubwa. Hili Prof. Dr. Jakaya Kikwete kama Mwenyekiti hakuliona.
Lowassa amekuwa kwenye chama kwa muda mrefu. wamemtuhumu lakini tuhuma zake mpaka leo hazijathibitishwa. Nape amekuwa akitoa kejeli na maneno ya maudhi kwenye mitandao. Mara ukitaka kumuua kobe lazima ufanye timing, huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono na kadhalika.
Maneno haya yanaashiria njama ambazo tayari zilishaandaliwa kuhakikisha Lowassa hatoboi. Lakini vijana wadogo kama kina makonda wamekuwa na sauti kubwa na za kutukana na kukashifu. Hili Kikwete hakuliona. Tunajiuliza hivi Lowassa ndiye mwovu, mchafu, mwizi, fisadi, asiye na adabu, kuliko wanachama wote wa ccm? Msigwa aliwaambia bungeni "Can't we think a little bit more" "Can't we stretch our minds a little bit"
Ni mwanamke gani duniani ambaye akili zake ni timamu ambaye anaweza akazaa mtoto akamvua nguo akamwacha barabarani kisha akaenda kujifu eti on mtoto wangu nilivyomwacha uchi. akafie huko mbali pumbavu!!! Hii ndiyo CCM tunayoifahamu. Kwamba Lowassa can't be cleansed!!! Really!!!
VISA, UBINAFSI na CHUKI haya yote yamechangia kuhakikisha Lowassa anatoka CCM. Kikwete kashindwa kudhibiti haya kwa kuwa na yeye hakutaka huyu mzee kuingia ukulu kwa chuki binafsi. Swali la kujiuliza ni je; kumtupa nje ya mfumo[system] ndio kumdhalilisha, kumdharau, au kumchafua? Je; sio wamemfungulia njia rahisi kabisa ya kujiweka wazi kwa wananchi na ikifika mwisho msemo huu ufuatao utawale "JIWE WALILOLIKATAA WAASHI LIMEKUWA JIWE KUU LA MSINGI?"
Naomba kuwasilisha.
Ukweli ni kwamba kushindwa kwa Rais Kikwete kukiongoza chama kumepeleke upenyo wa Mhasimu wake Edward Ngoyai Lowassa kutimkia Ukawa. Binafsi naona kwamba chama hakikujipanga kwa kuwa waliyokuwa wanayasema kwenye majukwaa na vyombo vya habari hawakuvitenda.
Hebu jiulize swali hili: Nnape Nawuye amekuwa MROPOKAJI mkuu na MSEMAJI MKUU wa chama. Kwamba anaharibu au anajenga hiyo siyo issue kwake cha maana amezungumza.
Nikawa najiuliza hivi huyu jamaa hakuna watu wanaoweza kufikiri zaidi yake? Maana kama anaenda kwenye vyombo vya habari na kutoa matamko ya chama basi ana baraka za wakubwa. Hili Prof. Dr. Jakaya Kikwete kama Mwenyekiti hakuliona.
Lowassa amekuwa kwenye chama kwa muda mrefu. wamemtuhumu lakini tuhuma zake mpaka leo hazijathibitishwa. Nape amekuwa akitoa kejeli na maneno ya maudhi kwenye mitandao. Mara ukitaka kumuua kobe lazima ufanye timing, huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono na kadhalika.
Maneno haya yanaashiria njama ambazo tayari zilishaandaliwa kuhakikisha Lowassa hatoboi. Lakini vijana wadogo kama kina makonda wamekuwa na sauti kubwa na za kutukana na kukashifu. Hili Kikwete hakuliona. Tunajiuliza hivi Lowassa ndiye mwovu, mchafu, mwizi, fisadi, asiye na adabu, kuliko wanachama wote wa ccm? Msigwa aliwaambia bungeni "Can't we think a little bit more" "Can't we stretch our minds a little bit"
Ni mwanamke gani duniani ambaye akili zake ni timamu ambaye anaweza akazaa mtoto akamvua nguo akamwacha barabarani kisha akaenda kujifu eti on mtoto wangu nilivyomwacha uchi. akafie huko mbali pumbavu!!! Hii ndiyo CCM tunayoifahamu. Kwamba Lowassa can't be cleansed!!! Really!!!
VISA, UBINAFSI na CHUKI haya yote yamechangia kuhakikisha Lowassa anatoka CCM. Kikwete kashindwa kudhibiti haya kwa kuwa na yeye hakutaka huyu mzee kuingia ukulu kwa chuki binafsi. Swali la kujiuliza ni je; kumtupa nje ya mfumo[system] ndio kumdhalilisha, kumdharau, au kumchafua? Je; sio wamemfungulia njia rahisi kabisa ya kujiweka wazi kwa wananchi na ikifika mwisho msemo huu ufuatao utawale "JIWE WALILOLIKATAA WAASHI LIMEKUWA JIWE KUU LA MSINGI?"
Naomba kuwasilisha.