wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,534
Zaidi Ya Miaka Minne Nimefanya Kazi Ktk Kampuni Ya Barrick,kazi Ngumu Chini Ya Ardhi Na Nikikatwa Kodi Kubwa Sana Kuliko Hata Mafao Yangu Ya NSSF,kila Mwezi Nilikuwa Nakatwa Kodi Zaidi Ya Sh 250,000 Kwa Mwezi Na Mimi Kubaki Na Mshahara Wa Sh 800,000 Kodi Hiyo Ni Kubwa Sana Hasa Ukizingatia Maisha Yetu Yalivyo Duni,kilichonifanya Nidai Hiyo Pesa Ni Baada Ya Kuona Mawaziri Wako Kumbe Kodi Tunazolipa Wanagawana Wenyewe Tu Na Hazifanyi Maendeleo Kwa Taifa,hosp Nachangia,wanangu Nawasomesha,ni Kipi Serikali Yako Inanisaidia Kwa Kodi Kubwa Niliyokuwa Nalipa? Ktk Kila Laki Mbili Naomba Lakini Moja Tu,ina Maana Kwa Miaka Minne Niliyolipa Kodi Naidai Serikali Yako Mil 4.8 Naomba Pesa Zangu Tafadhali Maana Kina Muhongo Wamegawana Na Umemfukuza Kazi Tibaijuka Bila Kumpokonya Bil 1.6 Alizoiba Pesa Zetu Walipa Kodi,mimi Nitakuwa Mtanzania Wa Kwanza Kufungua Kesi Mahakamani Kudai Pesa Zangu,maana Huu Ni Ujinga Mh Rais,tunavuja Jasho Halafu Wengine Wanakwiba Mapesa Yetu,naomba Nirudishiwe Pesa Zangu,ushahidi Ninao.