Rais Kikwete na mipango ya uchumi kwa Tanzania miaka 5 ijayo

FaizaFoxy Acha kukurupuka wewe,ni miaka 5 yaani 2011/2012 hadi 2015/2016..

Utachekwa wewe, ni miaka kumi na tano iliyogawanywa kwa miaka mitano mitano ya utekelezaji, una nini wewe? mie nilikuwa nalisikiliza ji handsome likimwaga mavitu ya uhakika mwanzo mpaka mwisho, wewe labda ulidandia kwa mbele! Looooh!
 
Kaka usikurupuke mzee ni dola 650 kwa mwezi, nadhani unasinzia sana ! Tanzania bila CCM haiwezekani bana :majani7::majani7:

we una kichaa,unajua maana ya par capita income? Tangu lini ikapimwa kwa mwezi? Ok una maana kwa kuwa kasema kwa sasa par capita income ya mtanzania wa leo ni dola 450 ina maana pato la mtanzania wa sasa ni sh.695,250/= ni kweli? Kwa iyo mtanzania anaishi kwa dola 450/30days =$15,sawa na sh.23,175 kwa siku? Sasa mbona takwimu za Tanzania zinasema Mtanzania anaishi chini ya dola1 kwa siku?yan chini ya sh.1545 kwa exchange rate ya leo? Je,anaposema mtanzania atapata dola 3000 ifikapo mwaka 2025 ana maana mtanzania atapata milion 4 laki6 na 35elfu kwa mwezi? Ujue tunadiscuss jambo la maana uache ushabiki !!
 
Mbona hajataja majina ya viongozi wa dini wanaofanya biashara ya madawa ya kulevya na masaa 48 yanazidi kuyoyoma?
 
Yaan JK anaongea kama hajasoma uchumi.....AMESHINDWA HATA NA CHINGA (BEN MKAPA) AMBAE HAJASOMA UCHUMI, LAKIN NCHI ALIIPELEKA VIZURI SANA...... BIG UP CHENKAPAA!!!!
 
we una kichaa,unajua maana ya par capita income? Tangu lini ikapimwa kwa mwezi? Ok una maana kwa kuwa kasema kwa sasa par capita income ya mtanzania wa leo ni dola 450 ina maana pato la mtanzania wa sasa ni sh.695,250/= ni kweli? Kwa iyo mtanzania anaishi kwa dola 450/30days =$15,sawa na sh.23,175 kwa siku? Sasa mbona takwimu za Tanzania zinasema Mtanzania anaishi chini ya dola1 kwa siku?yan chini ya sh.1545 kwa exchange rate ya leo? Je,anaposema mtanzania atapata dola 3000 ifikapo mwaka 2025 ana maana mtanzania atapata milion 4 laki6 na 35elfu kwa mwezi? Ujue tunadiscuss jambo la maana uache ushabiki !!

Karudie kusikiliza hotuba yake bana , na cha busara tafuta kitabu chenyewe ili uwe na uhakika bana, kwani waonyesha ulikuwa wasinzia wewe
 
Wewe si unaona waliokuwa wanapiga makofi ni akina nani kwahiyo haina haja ya kushangaa kwa mtanzania mwelewa figures alizokuwa anatoa ni uongo kitu kingine Kikwete kitu anachoandikiwa anakisema hivyo hivyo bila kufanya uchunguzi ndio maana kila siku wasaidizi wake wanamdanganya

alichobadili leo ni pale tu eti chief of party alimwalika katibu atoe hotuba na ndo amkaribishe jk,jk kagoma na kuanza kusoma madude yake,kasema hapana utamaduni wetu mdogo anamkaribisha mkubwa na mkubwa ivo ivo,ndo apo kagoma na kuanza kuongea. Huo ndo u genius alioufanya leo.
 
Karudie kusikiliza hotuba yake bana , na cha busara tafuta kitabu chenyewe ili uwe na uhakika bana, kwani waonyesha ulikuwa wasinzia wewe

Usiwe mbishi hakuna per capital income ya kwa mwezi, kama ni hivyo basi angetoa na bajeti ya mwezi.
 
Back
Top Bottom