Rais Kikwete hatufai

Rais Kikwete hatufai

Uongo una kawaida ya kutumia 'lift' kwenda juu ILA ukweli unatabia ya kutumia ngazi kwenda juu.

Swala la Escrow ukweli wake kariba utakuwa wazi! Mengi yamesemwa sana ila sasa subirini
 
Naona vijana wa buku 7 wamemwagwa kurekebisha hali ya hewa... imeshachafuka tu, haiwezi kupigwa rangi :confused2:
 
Tunajua kuwa rais anayekufaa wewe ni PONSIO PILATO anayetoa hukumu zake KI'MNADAMNADA'! Yaani rais aje na kuwauliza "tumuachie nani, Baraba au Yesu mnazareti?" na nyie mjibu "muachie Barabaaaa........."
KWAKWELI WATU WENGINE 'HAZIWATOSHI'!
 
KENYA WANATUACHA KWA KASI NA WATATUACHA MASAFA KAMA HATUTOBADILIKA.siasa za kenya ni za mivutano mikubwa katika ngazi zote hii inatokana na kiwango cha elimu ya uraia na ukabila. Ukabila umekuwa jambo baya lakini la neema Kenya.

Limefanya viongozi kufanya kazi yao sawia hakuna narenare. Ukabila katika uchaguzi hauna nafasi kwani katiba yao inalazimisha kiwango flani cha kura toka kila county. Ukiosikiliza mijadala yao ni makini sana na pana uwazi mkubwa .

Hapa tz kuanzia halmashauri za vijiji miji ni blahblah na mambo ya mara chama chetu,mara kimetulea mara wana husuda mara wanahatarisha amani mara umoja wetu lakini lengo likiwa kuiba tu
 
KANIALE
Wewe sio tu unataka kujipenyeza kwenye kundi la wachache walionacho bali pia wagandamiza haki kwa manufaa binafsi!
 
Last edited by a moderator:
Naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja. ukilinganisha hotuba zake na za Kenyatta ambaye ni junior sana kwake huwa najiuliza Nyerere alimaanisha nini aliposema mwaka 2005 kuwa huyu bwana BADO?
Kenyatta anakuja vipi hapa?
 
duh mwelekeo wa jk ulinifadhaisha. eti hela za iptl wakati hela zinabishaniwa na tanesco (shirika la umma). attitude ya jk ilionekana iko pro mafisadi. kwamba hela zimetoka kabla ya kutatutiwa maslahi ya tanesco kwa jk haikua issue nzito. kwamba transaction ya kuuzwa iptl ni fake haikuingia akilini kwa jk.
 
Tathmini yetu juu ya Rais Kikwete baada ya hotuba yake ya jana ni kuwa HAFAI kutuongoza Watanzania na tushukuru Mungu kuwa mwakani anamaliza muda wake!

Katika vita vyetu na Iddi Amin Daddah katika miaka 1970’s, kama yeye angelikuwa ndio Commander-in-Chief kama alivyo sasa, basi Kagera leo ingelikuwa chini ya Uganda!

Chanzo: Zanzibar Ni Kwetu
Wewe unayefaa,umefanya nini japo hata mtaani unakoishi kwako .
 
Kikwete hawafurahisi watu kama wewe kwakua anatumia busara zaidi kutatua matatizo kuliko tahamaki jambo ambalo wengi wanapenda litokee, na ambalo analiepuka
 
hafai na mwakani nchi itakuwa na dhiki kubwa sanaaa na rais akataye ingia atakomaaa maana nchi itakuwa haina fedha kabisa anaanza moja nyie wakina .. FaizaFoxy.. Lizaboni na magamba wengine mtakuona cha mtema kuni.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom