Rais Kikwete hatufai

Rais Kikwete hatufai

Wote hao changanya pamoja hawawezi kumpata Kikwete hata nusu ya utendaji wake uliotukuka.
Kazi yako ni nini hasa? Jamani mniwie radhi,hiki ki- j.i .bwa nakichukia sana,hakijawahi kuwa fare,kila kitu kinatetea tu. Hivi wewe ni mtanzania kweli?
 
.....eti mtu anaita sarafu yake madafu!hawa waswahili sijui nani aliwapa madaraka haya.
 
Kitaturu

Pole umeongea kwa HASIRA. Hii ndiyo NCHI ya WADANGANYIKA wabunge wetu wamekatiwa mshiko wamekaa kimya utadhani wananyolewa.

Kwa sasa hatuna taasisi inayoweza kusimama kifua mbele zote zimeoza.Hatuna BUNGE,MAHAKAMA,POLISI,TAASISI YA URAIS sina uhakika kama JWTZ.

Kwa sasa nchi yetu ni mali ya SIngasinga,ameiamuru MAHAKAMA iseme maazimia ya bunge haya maana na yamevunja katiba na kisitekelezwe chochote,mpaka mahakama itakapoon inafaa

Sasa kwanini tushangae eti picha ya Rais haijafanya maamuzi magumu,wapi!Usicheze na Singasinga,SERIKALI yote iko kwa MFUKO wake wa SURIALI.Angefanya tu maamuzi magumu SIngasinga angemshitaki Mahamani amevunja order ya Mahakama.
 
Last edited by a moderator:
Anatuletea mambo yao ya kijiwe cha saigon kko kapeleka ikulu
 
hafai na mwakani nchi itakuwa na dhiki kubwa sanaaa
na rais akataye ingia atakomaaa maana nchi itakuwa haina fedha kabisa anaanza moja
nyie wakina .. FaizaFoxy.. Lizaboni na magamba wengine mtakuona cha mtema kuni.

Wewe, hakuna wakati nchi hii ina fedha kama sasa, na mwakani ndiyo kabisa, misingi ya umasikini aliyoiwacha Nyerere, Kikwete ameshaibomoa yote. Na jana kasema yale mambo ya ujamaa hakuna tena.

Mi Gas, inaanza kutiririka, miumeme mitambo inakamilika Kinyererezi I, II, III na IV, ji-hospitali kubwa la kufundishia mambo ya tiba limeshaanza huko Mloganzila, yaani mambo yote mazuri Kikwete kisha tuwekea. Huyo ataekuja ashindwe mwenyewe tu kutekeleza.

Unataka kusema nini wewe? hakuna Rais aliyefanya mengi na mema kwa Tanzania kama Kikwete, tukianza kuyaweka hapa na kuyachambuwa hatuyamalizi leo.
 
... Jk Siyo Mzalendo, Hata Kama Ingekuwa Hela Siyo Za Uma Mimi Ningekomaa Tu Na Kulazimisha, Sasa Huyu Anawatetea Akina Sethi. Jamani Sijapata Ona Rais Kama Huyu
 
Ngida1

Anaekufaa ni yupi? Sisi wengine tunamuona anatufaa na hakuna Rais bora kama yeye. Na angekuwa yeye ni kamanda wakati huo unaosema asingeingia kwenye vita.

Hata Gaddafi na wema wote kwa Libya wako waliomuona hawafai sasa hivi wanajuta.

Heshima yako bibi, ila mi naona ingekuwa busara kama ungekubali kwanza kuwa hafai kwa muujibu wa muanzisha mada then ndio ufungue uzi mwingine uhoji Nani anafaa badala yake.

Kitendo cha kuanza kuuliza kuwa nani anafaa maana yake umekubali yeye hafai, sasa ni busara ukikubali direct kwanza na sio kinyume nyume kama unavyofanya hapa.
 
Heshima yako bibi, ila mi naona ingekuwa busara kama ungekubali kwanza kuwa hafai kwa muujibu wa muanzisha mada then ndio ufungue uzi mwingine uhoji Nani anafaa badala yake.

Kitendo cha kuanza kuuliza kuwa nani anafaa maana yake umekubali yeye hafai, sasa ni busara ukikubali direct kwanza na sio kinyume nyume kama unavyofanya hapa.

Hakufai wewe anatufaa sisi tulimchaguwa kwa kura nyingi za ya mwingine yeyote aliyegombea nae Urais.

Hii nchi ni ya kidemokrasia na wanaomchaguwa Rais ndiyo waamuzi wa mwisho na waliomkataa walikuwa na waliyemchaguwa ambae hajakubalika na walio wengi wengine. Kumbuka hilo.
 
Wewe, hakuna wakati nchi hii ina fedha kama sasa, na mwakani ndiyo kabisa, misingi ya umasikini aliyoiwacha Nyerere, Kikwete ameshaibomoa yote. Na jana kasema yale mambo ya ujamaa hakuna tena.

Mi Gas, inaanza kutiririka, miumeme mitambo inakamilika Kinyererezi I, II, III na IV, ji-hospitali kubwa la kufundishia mambo ya tiba limeshaanza huko Mloganzila, yaani mambo yote mazuri Kikwete kisha tuwekea. Huyo ataekuja ashindwe mwenyewe tu kutekeleza.

Unataka kusema nini wewe? hakuna Rais aliyefanya mengi na mema kwa Tanzania kama Kikwete, tukianza kuyaweka hapa na kuyachambuwa hatuyamalizi leo.

sinema hizo tu hizo eti mi gas, rais wako msani tu na bora atoke tupumue.
anaiacha nchi ktk wakatI mgumu sana....maneno mengi ana bwabwaja tu
 
Poor Tanzania! Shamba la Bibi!
Hawa wote wameshiriki lakini tunaambiwa ni pesa ya IPTL!
1. Wizara ya fedha na uchumi - waziri kahusika na katibu wa wizara pesa itoke.
a. Benki kuu - Gavana wa Benki Kuu kahusika kufanikisha pesa itoke
2. Wizara ya nishati na madini - Waziri na Katibu Mkuu wanehusika kufanikisha pesa itoke
a. Tanesco - Bodi imehusika kufanikisha pesa itoke na hata kumfukuza mtumishi aliyeonekana kikazo.
4. Mwanasheria Mkuu wa Serikali naye amehusika kufanikisha pesa itoke.
4. Ikulu - Tuambiwa ofisi ya ikulu nayo haikuwa nyuma kuhusika kufanikisha pesa itoke.
Kwa maeneo yote hayo ! Leo mheshiwa sana unasema yale mahela ya madafu yote ya IPTL!
Swali kubwa la kujiuliza bila kuhutaji kwenda chuo kikuu ni hili!
Kwanini zitumike ofisi za umma na watumishi wa umma pasipo maslahi ya umma?
Ndugu zangu turejee msemo wa mwasheria mkuu aliyejiuzulu wa "kichwa si kwa ajili ya kufunga nywele, bali ni kwa ajili ya kufikiri "
Hotuba masaa mawili lakini bado Rais haeleweki anaongea nini!
Tatizo sio Rais,tatizo washauri wake ndio mara nyingi huwa wanampotosha kwa maslahi yao!

MM
 
sinema hizo tu hizo eti mi gas, rais wako msani tu na bora atoke tupumue.
anaiacha nchi ktk wakatI mgumu sana....maneno mengi ana bwabwaja tu

Hahahahahahaha, tulinganishe na wote wa kabala yake, mimi naanza:

1) Kabla ya Kikwete "life expectancy" ya Mtanzania alikuwa miaka chini ya 50, wakati wa Kikwete ni miaka 62 (mwaka juzi).

Unajuwa Nyerere na Mwinyi ilikuwa ngapi?

Ukipata jibu tuambie nani zaidi?
 
Katika Ulimwengu wa Leo Watanzania na nchi yenye raslimali tele tunakuwa na viongozi wa namna hii hakika hatutasalimika.
Dunia imebakiya wajanj kama aina Singa wanao weza kupiga dili zikasimamiwa na Viongozi wenye maono finyu kama inavyodhihilika hapa.Ni aibu kwa Taifa, hili ni aibu kwa Raia wote wa Taifa hili.
 
NaungA cha ono hoja kwa asilimia mia moja. ukilinganisha hotuba zake na za Kenyatta ambaye ni junior sana kwake huwa najiuliza Nyerere alimaanisha nini aliposema mwaka 2005 kuwa huyu bwana BADO?

2005? Nyerere alisema wapi hayo? Acha uongo
 
Back
Top Bottom