Rais Kikwete hatufai

Rais Kikwete hatufai

Bila shaka kuna siri kubwa kati ya Muhongo na rais especially kwenye mikataba ya gesi ndio maana huyu jamaa analindwa kwa nguvu zote
 
Tathmini yetu juu ya Rais Kikwete baada ya hotuba yake ya jana ni kuwa HAFAI kutuongoza Watanzania na tushukuru Mungu kuwa mwakani anamaliza muda wake!

Katika vita vyetu na Iddi Amin Daddah katika miaka 1970’s, kama yeye angelikuwa ndio Commander-in-Chief kama alivyo sasa, basi Kagera leo ingelikuwa chini ya Uganda!

Chanzo: Zanzibar Ni Kwetu

usiseme hatufai sema hanifai. maana me naona ananifaa
 
Kikwete anafaa kwa hao wanaofaidi kutokana na UDHAIFU wake katika utendaji na kuwalinda wezi na sio vinginevyo... Kikwete ni rais wa ajabu kuwahi kutokea katika nchi yetu na hata Afrika ya Mashariki.

80% ya Watanzania wanamuona anawafaa, na kura za juzi zimethibitisha hilo.

Ikiwa 20% mnamuona hawafai inabidi msubiri sana.
 
Hatujasahau ile kauli ya Muhongo "hii nchi itatikisika endapo........."
 
Tathmini yetu juu ya Rais Kikwete baada ya hotuba yake ya jana ni kuwa HAFAI kutuongoza Watanzania na tushukuru Mungu kuwa mwakani anamaliza muda wake!

Katika vita vyetu na Iddi Amin Daddah katika miaka 1970’s, kama yeye angelikuwa ndio Commander-in-Chief kama alivyo sasa, basi Kagera leo ingelikuwa chini ya Uganda!

Chanzo: Zanzibar Ni Kwetu

Delete futa kabisa chama cha majambazi
 
Jk ni zaidi ya janga. Kashauriwa na mafisadi wenzake eti ni pesa za Iptl tu. Huyu hakupaswa kuwa rais bali dalali wa kina sethi na rugemalila.

Alikuwa akiwataja kwa majina ndugu Rugemalira nan Sethi.
 
Huyu Rais hata kabla ya kuwa Rais hakuwa na anafaa kuongoza nchi yoyote hata Somalia.
 
Jisemee nafsi yako. 'Hatufai' wewe na nani? Usitujumlishe wote kwani wengine anatufaa.
 
Tathmini yetu juu ya Rais Kikwete baada ya hotuba yake ya jana ni kuwa HAFAI kutuongoza Watanzania na tushukuru Mungu kuwa mwakani anamaliza muda wake!

Katika vita vyetu na Iddi Amin Daddah katika miaka 1970’s, kama yeye angelikuwa ndio Commander-in-Chief kama alivyo sasa, basi Kagera leo ingelikuwa chini ya Uganda!

Chanzo: Zanzibar Ni Kwetu
huyu ni mtu goi goi ambaye sijapata kuona!mambo hawezi kuzuia uharibifu
 
Naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja. ukilinganisha hotuba zake na za Kenyatta ambaye ni junior sana kwake huwa najiuliza Nyerere alimaanisha nini aliposema mwaka 2005 kuwa huyu bwana BADO?

are you serioius? mwaka gani Nyerere alisema hivyo? ahh uwe unajiridhisha na ulichoandika kabla hujapost
 
mimi jana mheshimiwa kanichanganya kabisa yani..alikosa ile commanding power yani kweli mtuhumiwa amekiuka maadili unashauriana nae aachie ngazi..aliona kazi kusema tu..tunamfuta kazi.

Af mheshimiwa pia alinichanganya alivosema eti muhongo anamuweka kiporo...kwa hili sidhan hta km alitoka ikulu akidhamiria kulisema..naona alipanga kumsafisha tu..

Accountability ni pamoja na ukweli kwamba huwezi kaa ofisini na wakati uchunguzi juu yako unaendelea..kwa hayo nadhani mheshimiwa alionesha level ya juu kabisa ya kujichanganya..na nasema amalize tu....amalize tu muda wke..
 
Kikwete anafaa kwa hao wanaofaidi kutokana na UDHAIFU wake katika utendaji na kuwalinda wezi na sio vinginevyo... Kikwete ni rais wa ajabu kuwahi kutokea katika nchi yetu na hata Afrika ya Mashariki.

Sio rahisi kukubaliana na wewe. Ingekuwa ni hivo unavofikiri JK asingetunukiwa degree za udaktari 9 hadi sasa kutoka vyuo vikuu mbalimbali duniani. Tafakari!
 
I thought that I had a president who was serious in the business of leading the country in the fight against graft, corruption and other similar malaise.

I AM DEEPLY DISAPPOINTED.

Katika moja ya hotuba zake nimewahi kusikia Rais Kikwete akisema huko nyuma mtu akikutwa na wakaguzi wa pesa ameiba iliwa ni jambo la kuita polisi kwa hatua za kisheria. Ilikuwa hakuna vikao.

Nimeshikwa na butwaa kuona huyu niliyemsikia akitamka maneno hayo leo hii ameshindwa kabisa kuwaajibisha wale alio na mamlaka yao ya uteuzi. Nashindwa kumuelewa Rais wangu!!!!!!

Kwa mtindo huu nchi haitaendelea; nchi itabaki maskini; wananchi wataendelea kuwa maskini, rasilimali za nchi zitanufaisha wachache. Kwa mtindo huu tutegemee matabaka ya watanzania wenye kuwa nacho na wengi wasio na kitu.

Poor Tanzania. Nakulilia Mama, nisingependa kukuona katika hali hii uliyonayo sasa. Mimi na wenzangu tutajaribu kukuokoa kupitia sanduku la kura 2015. Lakini sina uhakika mama kama tutafanikiwa kwa maana chama cha mafisadi wameonesha wako tayari hata kukimbia na masanduku ya kura. Si uliona wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Niishie hapa kwa leo.
 
Anaekufaa ni yupi? Sisi wengine tunamuona anatufaa na hakuna Rais bora kama yeye. Na angekuwa yeye ni kamanda wakati huo unaosema asingeingia kwenye vita.

Hata Gaddafi na wema wote kwa Libya wako waliomuona hawafai sasa hivi wanajuta.


Kama hayo unayoyasema ni kweli .................... basi TZ tuna ombwe la Viongozi!!
 
Huyuu jamaa (Jakaya Mrisho Kikwete) ni mwizi tu, period!

Kwa matendo na kauli zake za jana katika hotuba yake ya kujiumauma,zinathibitisha hili.

Tulifikiri hii ishu imefika kwa mtu mwenyewe mwenye nchi - Rais na angezungumza km mwenye mamlaka juu ya nchi hii na mtu anayechukia uovu,wizi,rushwa,ufisadi ma matumizi mabaya ya madaraka na ofisi za umma badala yake akaanza kuanza kuleta narration ya story ambayo watu wanaijua pengine kuliko hata anavyojua na kujijua yeye mwenyewe!!. Ameonesha wazi kabisa kuwa yeye kwa maana ya Ikulu ndiye mratibu wa wizi huu, No doubt again about this!!

Huyu bwana asidhani kuwa "serikali" ina maana ni yeye. Na ajifunze kwa mwenzake wa juzi hapo Bukinafaso. Itafika wakati na wenzake ndani ya serikali watamchoka tu na watatupilia mbali utii na wataasi mamlaka yake na kuungana na umma!!

Amini nawaambia wana forum hii kwamba kwa kashfa hii ya Tegeta Escrow Account ni mwisho wa uvumilivu wa watanzania na kamwe haiwezi kuwa na mwisho kama ile ya Richmond hata PM wa wakati ule Ndugu yangu EDWARD NGOYAI LOWASSA kuamua kujitoa sadaka ya kulinda heshima ya mshkaji wake na hatimaye akabaki salama hadi leo hii.

Hii ilipaswa kuwa funzo na kutubu madhambi yake, lakini kumbe mwizi ni mwizi tu hawezi kuacha tabia na asili yake kirahisi!

This time ni zamu yake kubeba mzigo wake yeye mwenyewe, haiwezekani aendelee kuumiza watu wengine na wananchi kwa ujumla anymore bila sababu yeyote kunakosababishwa na uovu wake chini ya uratibu wa kundi dogo la marafiki zake na wateule wake maalumu kwa mwavuli wa "IKULU" kwa kuegamia kisingizio cha "KATIBA" inamlinda!.

He must go now, 2015 ni mbali mno, ataumiza wengi huyu....HAFAI,AMEKOSA MORAL AUTHORITY YA KUONGOZA DOLA NA WANA WA NCHI HII!!..

Tunajipanga....
 
Tathmini yetu juu ya Rais Kikwete baada ya hotuba yake ya jana ni kuwa HAFAI kutuongoza Watanzania na tushukuru Mungu kuwa mwakani anamaliza muda wake!

Katika vita vyetu na Iddi Amin Daddah katika miaka 1970’s, kama yeye angelikuwa ndio Commander-in-Chief kama alivyo sasa, basi Kagera leo ingelikuwa chini ya Uganda!

Chanzo: Zanzibar Ni Kwetu

Yaani ndo mmejua jana.
Hivi nyie watu mnaishi hii nchi kweli ?
 
Back
Top Bottom