Tusipoteze muda kujadili mapungufu ya sheria hii( sio muswada tena tangu jana Rais alipousaini). Tuwaandae watu wetu kutoa maoni juu ya KATIBA mpya. Najua tutapoteza muda pia kuwajadili watakaoteuliwa na Rais kuunda TUME kwa mujibu wa sheria hii. Tumpe Rais majina tunayoyataka yawemo kwenye tume hii sasa. Mimi naanza:
1. Salim Ahmed Salim- Mwenyekiti
2. Joseph Sinde Waryoba- Makamu
3. Profesa Issa Shivji- Mjumbe
4. Jenerali Ulimwengu- Mjumbe
5. Mohamed Said- Mjumbe
6.Mzee Mwanakijiji( Silifahamu jina lake)- Mjumbe
7.Askofu Elinaza Sendoro- Mjumbe
8.Hellen Kijo Bisimba- Mjumbe
9.Hawa Sinare- Mjumbe
10.Francis Stolla- Mjumbe
Wazanzibar watateuana wenyewe. Mpeni Rais majina. Wanasema ni MSIKIVU.
1. Salim Ahmed Salim- Mwenyekiti
2. Joseph Sinde Waryoba- Makamu
3. Profesa Issa Shivji- Mjumbe
4. Jenerali Ulimwengu- Mjumbe
5. Mohamed Said- Mjumbe
6.Mzee Mwanakijiji( Silifahamu jina lake)- Mjumbe
7.Askofu Elinaza Sendoro- Mjumbe
8.Hellen Kijo Bisimba- Mjumbe
9.Hawa Sinare- Mjumbe
10.Francis Stolla- Mjumbe
Wazanzibar watateuana wenyewe. Mpeni Rais majina. Wanasema ni MSIKIVU.