Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee uliona wapi unampa Kaburu atunge katiba ya SA...Kitu kimoja msichofahamu ni kwamba kwetu sisi katiba iliyopo ni sawa kabisa na ya makaburu na kweli vigumu sana kwa mzungu kuelewa makosa yalokuwepo na hakika hata ukimwambia makosa hayo sidhani kama ataelewa. Wee endelea kushadadia maamuzi haya lakini kumbuka umeshika Kisu penye makali na inayokuumiza kila siku ni katiba ya CCM hii hayo mabadiliko yako hayakubaliki kama ulivyoshindwa kupata mahakama ya kadhi na kutambuliwa kwa mashujaa wenu wakati una wabunge wengi wa CCM.
No, I'm just hitting where it hurts them..
Well, a first Offence can build a clear defence strategy..
I'm sure the're hit 'cause I know where their guards are! and I can feel their pain..
Hao wote ni domo tu hawana uwezo wa kufanya lelote. Hata viongozi wao wameona ni upumbavu kuleta fujo kwenye siasa. Hawa wabinafsi ndio wenye mawazo ya kipuuzi. Kwakuwa hawakupata walicho kuwa wakikitaka basi wanataka kufanya fujo.Poor way of thinking, are you here to hurt others? you are too low as I said, politics are meant never to hurt anyone, politics is the process of wanting everyone to come out unscathed, winner and no losers. War is where no one wins.
Wanabodi,
Lazima tufike mahali tuwe tunakubali matokeo!. Mbona statement ni nzuri tuu. Milango iko wazi kwa marekebisho yoyote. Serikali yetu sasa ni serikali sikivu!.
Kaazi kwelikweli
SOBY,
Kuna tatizo kubwa sana la watanzania wengi sana kugawanyika kivyama at the same time kimtazamo wa kidini.
Yani haya yananishangaza sana,utakuta waislam wengi either ni CCM ama CUF,na baadhi vyama vingine.
Ni mgawanyiko ambao umelazimishiwa na ni kama umekubalika na watanzania,maana sina la kusema,matokeo ya kura ndiyo yana onyesha wazi kabisa,na pia chuki za wazi humu kwa wale ambao wanajitambulisha kama ma anti CDM...Yani ni halali kutukana "Makafiri" wa CDM,utadhani CCM ni chama halali cha kiislam!
Nilitembelea Bongo like 3 yrs ago,i mean hapo Dar. Na nina rafiki yangu msomali nikawa namwambia mambo ya JF na CDM,haah,kutaja CDM nilijuta kwanini hata niliitaja,kutaja viongozi wa CDM tu,ni chuki mbaya sana na sikujua ni kwa nini...Maybe mapropagandist wa humu ndo wamehamaiza kazi mtaani na sasa humu?
Kuna watu wameaminishwa kabisa haya mambo na nyie ambao mko humu mmesoma na muna uelewa mkubwa zaidi,chuki za kidini zina manufaa gani kama hamataki civil war?
Na hayo yakitokea, ninyi ndo mtalaumiwa kwasababu mnachangia sana huu umaluuni.
Hii ni ndoto ya mchana kweupee! Muswada umesainiwa anaendelea na kinachofuata kulingana na sheria inavyosema. Kifupi hiyo sheria inampa mamlaka ya kukubali au kukataa mapendekezo yoyote hata yatakayowasilishwa na tume ambayo yanatoka kwa wananchi.
Na amejiweka mahali pazuri sana kwa sasa, sheria imempa mamlaka yote. Kifupi ni kwamba hawezi kukubali maoni ambayo anajua kabisa yatamkaanga yeye na chama chake. Hayo ni maumivu makubwa sana kwa watanzania na wapenda haki na tusijipe moyo kuwa atapokea maoni na kuyafanyia kazi.
Watanzania mmepiga kelele kuhusu ufisadi mara ngapi na amefanya nini mpaka leo muamini kuwa amebadilika. Mbona mnakuwa kama watoto wa jana?
Maslahi ya wananchi ni kinyume kabisa na maslahi yake na ya chama chake kwa sasa. Wananchi wangependa raisi apunguziiwe madaraka, aweze kushtakiwa kwa makosa aliyofanya, na mafisadi ambao ni jamaa zake washughulikiwe, hii ni ili kujenga taifa lenye maadili. Sasa hayo yote si maslahi kwa CCM, ni kuiangamiza.
Nnachokiona kitawork kuirescue hii nchi ni kustep up to the level of Arabs na kudai mabadiliko katika nchi hii, ni ghali ila hakuna njia ya mkato, unfortunately.
Ndicho ninachowasisitiza watu humu. Tuunde "TUME KIVULI" yetu. Ataiona tu. Ana macho na masikio NCHI nzima. Halafu huu sio muswada tena. Ni sheria ya NCHI tangu jana.Jamani tufunge ukurasa kuhusu MUSWADA, kwani tuliowatuma kukutana na Raisi wameshafanya kazi yao. Wamekwenda IKULU na kupokelewa vizuri tu kama waheshimiwa na kupata fursa ya kujadiliana na Rais kwa kina. Ndio wakafikia makubaliano yaliyomuwezesha Rais kusaini MUSWADA huo.
Kama wasingekubaliana, nahakika kabisa kuwa CHADEMA wangeitisha MAANDAMANO. Hata lugha zao kwenye vyombo vya habari wenyewe mmezisikia, ni nyoofu, laini na za kuridhika na makubaliano. Isitoshe kati ya waliotumwa huko ni wale wabunge NGANGARI kama Tundu Lisu ambaye asingempa hata sekunde mh Rais kama wasingekubaliana.
Kazi yetu kubwa sasa hivi ni kushughulika na Utungwaji wa katiba, na tuachane na mambo ya mswaada. Tushirikiane tutafika tu, Tanzania si mtu mmoja au chama kimoja, ni ya wote hata vyama pinzani. Tuijenge nchi yetu.
You have your way of twisting words. One thing I know for sure, when it comes to CCM your brain's perceptual systems operates on a slight delay signals..which results in different percepts on issues of the same nature to Islam. I meaned not to hurt anyone physically but feed your brains with touching, sensitive mult stimulus that you can actually see the percept shift from yourside to ours, trying to fit you in our shoe which hurts..One thing for sure is that your reactions to events depends on subjects culture of THEM vs US..Poor way of thinking, are you here to hurt others? you are too low as I said, politics are meant never to hurt anyone, politics is the process of wanting everyone to come out unscathed, winner and no losers. War is where no one wins.
Mkuu nataka kukuuliza tu kitu kimoja maana hapa tunazungumzia haki za wananchi na uwezo wa rais ama niseme mamlaka. Nitakuuliza swali..Hao wote ni domo tu hawana uwezo wa kufanya lelote. Hata viongozi wao wameona ni upumbavu kuleta fujo kwenye siasa. Hawa wabinafsi ndio wenye mawazo ya kipuuzi. Kwakuwa hawakupata walicho kuwa wakikitaka basi wanataka kufanya fujo.
Mkuu najuwa wewe ni CCM bila "chenga"Hapana. Ujumbe ulimfikia vizuri JK kuliko kama wangeyasemea BUNGENI, laivu bila chenga za wabunge wa CCM. Hasa suala la ushiriki wa Zanzibar kwenye mchakato huu. Muungano wetu ni kama vile Zanzibar walishauvunja. Muungano uliopo ni wa Zanzibar na JMT kulingana na sheria hii.
Kwani Ismael Aden Rage si mtanzania?Kama ulizungumza na Msomali sijui mawazo ya wasomali juu ya vyama vya siasa Tanzania.
Ushauri wangu kwako: Safari nyingine ukija Tanzania, Jaribu kuzungumza na Watanzania kwani vyama vya siasa vya Tanzania haviwakilishi mawazao au interest za watu nje ya Tanzania, yaani havivuki mipaka ya Tanzania.