Rais Kikwete anamhujumu waziri Magufuli?

JK nimegundua ni mfuasi mkubwa wa 48 laws of power alizoandika Robert Greene.Na hasa law namba7,ya let people work for you,take credit always

Pia Magufuli ni mchapakazi sana.Nadhani pia ukaribu wake na Urafiki8 wake mkubwa na Raila Amolo Odinga wa kenya umechangia mfanano wao wa kiutendaji

Nakumbuka ile kashfa ya kumuuzia nyumba kimada,sijui ni kweli au ilitengenezwa na mtandao ktk harakati zao?

Huyu akiwa Rais Tanzania basi tutakua tumepiga hatua maanake ana kaudikteta flani hivi ambako watanzania wanakahitaji ili wafanye kazi
 
Mimi naomba kuhitilifiana na nyinyi nyote,, kwani Magufuli yupo pale kwa kuteuliwa na raisi, Raisi akiamua vinginevyo Magufuli tutahangaika nae mitaani, chonde chonde jamani,
 
Mimi naomba kuhitilifiana na nyinyi nyote,, kwani Magufuli yupo pale kwa kuteuliwa na raisi, Raisi akiamua vinginevyo Magufuli tutahangaika nae mitaani, chonde chonde jamani,

Mkuu sikubaliana na hiyo logic yako.Wakati wa awamu ya Mkapa,Magufuli alishapewa label ya uchapakazi uliotukuka na wananchi wakalijua hilo,hivyo mwanasiasa makini yeyote yule mwenye power asingeweza kumnyima uwaziri.Mtandao ni wajanja sana.Wasingeweza kumnyima uwaziri Magufuli au hata Mwandosya.Kumnyima uwaziri Magufuli kungemuongezea umaarufu sana na kumpa muda wa kujipanga vizuri kuwania nafasi ya juu zaidi ya kisiasa.Wanachojaribu kufanya ni kumpunguza nguvu na umaarufu.Lakini mwenyewe bado ameonyesha ku fit kokote wanakomtupa.Labda strategy iliyobaki ni kumpotezea ubalozini kama mkuu mmoja alivyoandika!
 
Huyu bwana mdogo(Dr.) is very smart and hardworking sasa hawa majamaa wakina shemeji sanaa tupu sevaral times wamejaribu ku chafua huyu muungwana wameshindwa sasa kichwa kinawauma wanafanyaje ili dogo asije akateka dola siku zijazo ndio wameamua kumdhibiti lakini wapi.....................................................
 
Magufuli ni Waziri katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo kiongozi mkuu/Rais ni JK. Waziri yeyote akifanya jambo jema ama baya katika utekelezaji wa shughuli za kiserikali anafanya kwa niaba ya Rais. Magufuli ni Waziri hodari na mchapakazi asiyeogopa kutekeleza wajibu wake ipasavyo na anafanya hivyo kwa niaba ya Rais vilevile. Rais anawezaje kumhujumu subordinate wake? Akitaka anaweza tu kuteua mwingine kushika nafasi ile badala ya kumhujumu. Tusimpalie makaa Magufuli bila kujijua!
Kuna mtoa hoja mmoja alisema usipoliangalia hili kwa makini unaweza kujiuliza JK ambaye ni bosi wa Magufuli anawezaje kumhujumu waziri wake anayemsaidia! na wengi humu naona wanaiangalia hoja hii kwa mtazamo huo lakini inawezekana

wengine wanasema kuna ulazima gani rais kumhujum wakati ana uwezo wa kumfukuza kazi Magufuli, naweza kusema ile level ya uongozi si sawa na kumfukuza kazi mfanyakazi wa ndani katika utendajikazi rais huwa ana level yake ambayo anataka mawaziri waifikie wanapovuka hiyo level watu wa nje tutaona ni sawa lakini yeye ataona inaweza kumletea matatizo baadae

ndiyo maana marais wengi duniani huwa careful sana kumchagua makamu wake vinginevyo makamu anawezamfunika rais asionekane angalia Obama kwanini hakumchagua Hillary wakati walikuwa sawa karibu kila idara hata hapa nyumbani angalia makamu wetu wote wanaochaguliwa utadhani hawapo
 
JK nimegundua ni mfuasi mkubwa wa 48 laws of power alizoandika Robert Greene.Na hasa law namba7,ya let people work for you,take credit always

Pia Magufuli ni mchapakazi sana.Nadhani pia ukaribu wake na Urafiki8 wake mkubwa na Raila Amolo Odinga wa kenya umechangia mfanano wao wa kiutendaji

Nakumbuka ile kashfa ya kumuuzia nyumba kimada,sijui ni kweli au ilitengenezwa na mtandao ktk harakati zao?

Huyu akiwa Rais Tanzania basi tutakua tumepiga hatua maanake ana kaudikteta flani hivi ambako watanzania wanakahitaji ili wafanye kazi

You are very smart ni wachache sana watakaokuelewa unataka nini nimechukua maneno yako manne tu Laws za Robert Greene, rafiki wa Odinga, kashifa ya kimada wake na ana kaudikteta mwisho umemsifia ni mchapakazi....?????
 
Jamani hii nimeipata kwenye chanzo kimoja cha uhakika mno; kwamba wale samaki wa magufuli walikuwa wanakwama kuuzika kutokana na hujuma za Raisi wa Tanzania JM Kikwete dhidi ya Dk Magufuli.
Chanzo hicho kimesema kwanza alijaribu kufunika na kudakia kazi ile ya kukamata jodari ili ionekane ni yeye aliyefanya lakini ikashindikana kwani watu waliendelea kumpongeza Magufuli tu.
Ndipo alipokuja na mbinu mpya lengo likiwa ni kumpunguzia umaarufu Magufuli ili aonekane alifanya zoezi la kamatakamata samaki Jodari kwa kukurupuka na zoezi zima limeiletea hasara nchi..kama kwaida yake Kikwete alitumia vyombo vya habari na "UWT". Lakini kwa bahati mbaya kwake Raisi, Magufuli alifanikiwa kujua mapema hila hizo na akazisambaratisha kwa hoja zenye busara mno, kama vile Serikali inapofanya kazi yake kwa kufuata sheria hakuna hasara, akatoa mfano wa "mwizi wa vitumbua anavyohudumiwa na serikali kwa gharama kubwa kuliko alichoiba"
Inasemekana hujuma za Kikwete na wanamtandao kwa ujumla dhidi ya Magufuli hazikuanza hivi karibuni, hofu yao kubwa ni kukubalika kwa Magufuli miomngoni mwa watanzania kuona ni hatari kwa mbinu zao(wanamtandao) za kurithishana Uraisi wa TZ.
To me, huu ni upuuzi mwingine tu. Maana Magufuli anafanya kazi chini ya Kikwete kwahiyo kukamata samaki ni sehem ya majukum yake. Hivi inakuwaje mafanikio ya serikali anahusishwa mtu specific lakini ikitokea tatizo Rais ndio anaandamwa. Kikwete anaouwezo wa kumdhibiti Magufuli hahitaji kumvizia. Anaweza hata kumtoa kwenye baraza la mawaziri akabakia kuwa mbunge. Naitazama hoja hii kama ni hoja yenye mapungufu au ya uongo. Hii ni very low yaani hata haifikiriki.
 
You are very smart ni wachache sana watakaokuelewa unataka nini nimechukua maneno yako manne tu Laws za Robert Greene, rafiki wa Odinga, kashifa ya kimada wake na ana kaudikteta mwisho umemsifia ni mchapakazi....?????


Duh,nini tena mkuu?
 
Mimi naomba kuhitilifiana na nyinyi nyote,, kwani Magufuli yupo pale kwa kuteuliwa na raisi, Raisi akiamua vinginevyo Magufuli tutahangaika nae mitaani, chonde chonde jamani,

Rodri, hilo si kweli, na kwa kuhofia hilo ndo maana wanamuhujumu kwa nguvu zote na kupambana ucku kucha kuzuia uwezekano wa wagombea binafsi!

Kwani amini usiamini Pombe akisimama na JK wasipo iba kura, Pombe atapita kwa kishindo!
JK mafisadi wamemmaliza kwa kumuweka mfukoni, walio wengi katuangusha, kimsingi hatumuhitaji tena, hivyo akitokea mtu bora kama Pombe, ni chereko kubwa!
 
Duh,nini tena mkuu?

Hapana mkuu ni kautaratibu kangu tu ka kawaida baada ya kusoma hoja yenyewe huwa narudi kuangalia mtoa hoja alikuwa na lengo gani naweza kukujibu kwa logic kama utanielewa (negative)+(negative)=negative na (negative)+(positive)=+/-
 
To me, huu ni upuuzi mwingine tu. Maana Magufuli anafanya kazi chini ya Kikwete kwahiyo kukamata samaki ni sehem ya majukum yake. Hivi inakuwaje mafanikio ya serikali anahusishwa mtu specific lakini ikitokea tatizo Rais ndio anaandamwa. Kikwete anaouwezo wa kumdhibiti Magufuli hahitaji kumvizia. Anaweza hata kumtoa kwenye baraza la mawaziri akabakia kuwa mbunge. Naitazama hoja hii kama ni hoja yenye mapungufu au ya uongo. Hii ni very low yaani hata haifikiriki.
Kwaharaka unaweza kuona kuwa huu ni upuuzi kwelikweli, ila kataka harakati za ujenzi wataifa lipo jambo la kufikiria, Je kama mkuu wa nnchi anafadhaishwa kwanamna umaarufu wake na waSerikali KW UJUMLA.
uKIKUMBUKA kenya ilimlazimu Daniel Arap Moi, amzime Thom Mboya na Robert Ouko, ili kuzima moto wa Umaarufu wao, kweli lipo jambo nyuma ya hawa Marais wanaogopa kushine kwa mawaziri wao.
Magufuli amepita kwenye wakati mgumu sana ndani ya serikali ya Kikwete, lakini haachi kutima, kishindo chake ni kikubwa.
Dr Magufuli ni mpambanaji hasa, anamapenzi yasiyotiwa shaka na nnchi yake.
walimchafua sana lakini bado anang'arisha.
 
MWACHENI Dr. Magufuli. Mtamsababishia matatizo bure.
kwanini matatizo ? remember Jamii Forums , the home of great thinkers where we dare to talk Openly.....ongea kilichokweli kwa hoja maridhawa, tetea unavyoona kwa hoja maridhawa, shambulia uonavyo kwa hoja za kweli, pongeza inapobidi, matusi si mahala pake,
Damn, amini nakuambia Kikwete anajua Tishio la Umaarufu wa magufuli kinagaubaga, hata washikaJi wakikwete kina RA wanajua huyu jamaa ni nani, usiogope kumuharibia maana tayari uchapaji wake kazi ni tishio kwa ustawi wake katika siasa za hapa nyumbani TZ.
 
Back
Top Bottom