Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Du!
Haya sasa, jembe hilo.
Mawaziri 5 mliotajwa kuwa ni vilaza kaeni mkao wa kuondoka!
Mmmh! haya sasa majanga.. hivi kuna vigezo vya uteuzi wa namna hii? au ndo ile "appointee is appointed under the discretion of the appointer"
Kazi imeanza ya kukipeleka Chama cha Kifamilia kwenye Makazi ya Milele! Hongera Mama Migiro
Mmmh! haya sasa majanga.. hivi kuna vigezo vya uteuzi wa namna hii? au ndo ile "appointee is appointed under the discretion of the appointer"
Du!
Haya sasa, jembe hilo.
Mawaziri 5 mliotajwa kuwa ni vilaza kaeni mkao wa kuondoka!