sad_eyes
Senior Member
- Nov 30, 2013
- 148
- 35
Mulugo mguu pande,mguu sawa, nyuma geuka!!!! Mbeleeeeee tembea!!!
Mkulo Jembe wewe
Mulugo mguu pande,mguu sawa, nyuma geuka!!!! Mbeleeeeee tembea!!!
Ni jembe la mkono siyo jembe linalotakiwa kukokotwa na trekta yenye nguvu za farasi 200 (200HP).Acha utani mkuu! Angekuwa jembe bado angekuwa UN (na kumbuka aliomba kuongezewa mkataba akakataliwa kwa kuwa non-performer)
anaandaliwa kuwa rais!kuna dot.........fulani na mizunguko yake ya chama, haya tuone kamati kuu itaamua mgombea awe mwanamke kama walivyo fanya kwa spika wa bunge. Tusubiri tuone
Mkulo tena, nani kasema! Umekurupuka mkuu. Uwe unasoma vizuri kwanza.Mkulo Jembe wewe
mPINZANI WA LOWASA... SASA MTABAKI CCM KWAKUWA CC NI WATU WAKE.Safi sana rais mpe wizara kabisa huyo mama jembe ataweza kuchapa kazi kwa moyo na uadilifu anaweza pia anakipaji cha uongozi.
Nadhani huna unachojua juu ya hili jambo subiri uelimishwe kuliko kuwa mtabili dogo.Haya ni maandalizi ya 2015 sio zaidi ya hapo. Unadhani yeye akiwa katibu wa mahusiano ya kimataifa anafanya nini katika ziara za ndani mikoani za Nape na Kinana mikoani? Anyway Time will tell!
aPPOINTED ON THE BASIS OF HIDDEN AGENDA.ULITAKA IWE Appointee is appointed under the Discretion of Mtei's Family and his Allies?.
Mkulo tena, nani kasema! Umekurupuka mkuu. Uwe unasoma wanza.
Bavicha bana hapa mambo ya lowasa yanatoka wapi kama litoto vile.mPINZANI WA LOWASA... SASA MTABAKI CCM KWAKUWA CC NI WATU WAKE.
Kuna dot.........fulani na mizunguko yake ya Chama, haya tuone kamati kuu itaamua mgombea awe mwanamke kama walivyo fanya kwa spika wa bunge. Tusubiri tuone