sASA HUYU NDIYE ATAPAMBANA NA LIPUMBA WA CUF, ZITTO WA CDM NA HASHIM RUNGWE WA CHAUMMA SAWASAWA NA MALENGO.Kazi imeanza ya kukipeleka Chama cha Kifamilia kwenye Makazi ya Milele! Hongera Mama Migiro
sASA HUYU NDIYE ATAPAMBANA NA LIPUMBA WA CUF, ZITTO WA CDM NA HASHIM RUNGWE WA CHAUMMA SAWASAWA NA MALENGO.Kazi imeanza ya kukipeleka Chama cha Kifamilia kwenye Makazi ya Milele! Hongera Mama Migiro
Happy hour talk show...
Ha ha ha ahaaaaaaaaaKafanya zinaa na nani?
Nadhani huna unachojua juu ya hili jambo subiri uelimishwe kuliko kuwa mtabili dogo.
sASA HUYU NDIYE ATAPAMBANA NA LIPUMBA WA CUF, ZITTO WA CDM NA HASHIM RUNGWE WA CHAUMMA SAWASAWA NA MALENGO.Bavicha bana hapa mambo ya lowasa yanatoka wapi kama litoto vile.
Ha ha ha ahaaaaaaaaa
Ujue mpwa mi natamani kukupeleka jumba la.maajabu!!!!!
Mulugo mguu pande,mguu sawa, nyuma geuka!!!! Mbeleeeeee tembea!!!
cc ya ccm itampitisha awe mgombea urais wa ccm, chezea jk wewe!tulia! Wewe kwa zitto ni kama condom kwa ukimwi, bila ukimwi condom isingepata umaarufu japo imeshindwa kuzuia umaarufu wa ukimwi, wewe bila ya zitto nani angekujua humu japo umeshindwa kazi uliyotumwa?imebidi kazi ya kupambana na zito chungu kifunuliwe sasa mabos wako wanakula vitassa vya haja mpaka babu wanaomba kufunga mjadala wakati dozi haijaanza! ccm ni kama msitu wa amazon haufyekwi kwa wembe!
Rais Kikwete amemteua Dr Asha-rose Mtengeti Migiro kuwa mbunge wa bunge la Tanzania kuanzia jana Jumatatu.
Uteuzi umetangazwa rasmi jioni hii Ikulu ya Dar es salaam
MKURABITA yeye ame-comment Mulugo na wewe umesema Mkulo, hivi Mkulo yupo kwenye system kweli si alishaoondokaMkulo Jembe wewe
Hahahaha, nakwambia usiku huu kuna mawaziri hawatalala, matumbo joto, hata kama pengine JK hana nia hiyo.Hahahaha, kwa hiyo ashapata tumbo joto?
Spent force ....!
Haya ni maandalizi ya 2015 sio zaidi ya hapo. Unadhani yeye akiwa katibu wa mahusiano ya kimataifa anafanya nini katika ziara za ndani mikoani za Nape na Kinana mikoani? Anyway Time will tell!