Aljazera
JF-Expert Member
- Feb 11, 2015
- 637
- 224
Hilo lipo wazi lowasa mwizi sana mahakama ya mafisadi ikija ataisoma namba fisadi huyu.
Vyombo Vya dola kama Takukuru, Polisi, DPP, TISS na Mahakama vilivyopo sasa na ambavyo vinaendeshwa kwa pesa zetu nyingi tu za KODI vina kazi gani mpaka kusubiri eti Mahakama maalumu ya Mafisadi?
Kesi za Albino na Ujangili zimewashinda bado mna ujasiri tu wa kutaka kubaki Madarakani?
Muwe hata na aibu na hofu ya Mungu jamani, Watanzania wa sasa si wa zama zile!!.