Kwani Tundu Lisu anaongozana na mtu mmoja?
Mhmm jamani wadanganyika! je si mheshimiwa Rais huyuhuyu aliyetuhutubia mchana kweupe kuwa lowasa hakuhusika na Richmond, na kwamba ni ajali tu ya kisiasa. Nachanganyikiwa! Niiamini kauli ya Rais ya sasa au ya wakati ule?!!!!!!!
Msaada tafadhari.
Kwani wewe siyo lofa ? Mafisadi wote ni malofa na wapumbavu wewe ukiwemo mwambieni Lowasa mahakama ya mafisadi inakuja.
We fisadi tulia dawa iingie mlizoea kula vya kuiba na kupora tutawafunga mwaka huu na hizo mlizokula lazima zirudi mafisadi papa nyie na huyo Lowasa wenu.Siamini kama Kikwete anaweza kupungukiwa uwezo wa kufikiri kiasi hiki! Kwanza kuweka neno "anayetembea na Lissu kila siku kwenye kampeni" ni kumaanisha nini? Maana Lowassa kwenye kampeni zake wakina Lissu na wengine wanampokea kwenye kanda zao! Anayetembea na Lowassa aghalabu ni Sumaye! Hizi ndizo siasa wanazofanya viongozi wa nchi tena rais?
Huitaji kujiuliza kwa nini Tanzania ni masikini! Simply muangalie rais tu utaelewa!
Tunasema sasa magufuli yako tayari mahakama ya mafisadi yaja Lowasa lazima afungwe kwa wizi na ufisadi wake.lowassa anaakili sana!! anajua mnateseka sana na ukimya wake, mwambie jk aje mzimamzima na sio kupindisha mambo
Wazi hakuna chenga hawakwepi wezi wakubwa hawa lakini kwa magufuli lazima tuwanyooshe.Richmond ni ya lowassa na rostam period
Richmond ni ya lowassa na rostam period
![]()
Lowasa na mafisadi wenzake.Nani jk au?
Lowasa na mafisadi wenzake.