Kazi ya urais sio taasisi ya kuchezea ni taasisi ngumu ambayo inakufanya ufikiri na kutafakari kwa kina kabla hujaamua. Uwe na utashi wa kutatua matatizo na kujua unalisukuma vipi gurudumu la maendeleo. Kwa kipindi utakachokuwa madarakani utatutoa wapi na kutupeleka wapi. Kwa jinsi hiyo mtu inabidi ujipime na ujijue mwenyewe kwamba hapa hata kama nitasukumwa na kundi gani kugombea sitaiweza kazi hii.
Lakini sasa hivi umeibuka mtindo wa kuona kuwa hata mimi naweza kuwa rais. Hii ni kwasababu tumeacha kwenda kutatua kero za nchi lakini tunachofuata ni power, authority and wealth regardless who is hurt in the process.
Rais wetu ametufikisha hapa tulipo maana upole wake umemfanya ashindwe kukemea hata wale wanao onekana kuharibu utawala wake. Kila mtu anaibuka na lake na hakuna collective responsibility. Kuna watu wanajitokeza kugombea urais wakati hata ku 'manage' taasisi hawawezi kutokana na background zao huko nyuma hata matamshi wanayotoa. Kweli nchi yetu inapomoromoka vibaya sana na hadhi yake inashuka kwa speed kali.
Tufanye nini jamani ili tupate kiongozi kama Nyerere, hata Mkapa licha ya madudu yake ya hapa na pale alikuwa ana thubutu.
Lakini sasa hivi umeibuka mtindo wa kuona kuwa hata mimi naweza kuwa rais. Hii ni kwasababu tumeacha kwenda kutatua kero za nchi lakini tunachofuata ni power, authority and wealth regardless who is hurt in the process.
Rais wetu ametufikisha hapa tulipo maana upole wake umemfanya ashindwe kukemea hata wale wanao onekana kuharibu utawala wake. Kila mtu anaibuka na lake na hakuna collective responsibility. Kuna watu wanajitokeza kugombea urais wakati hata ku 'manage' taasisi hawawezi kutokana na background zao huko nyuma hata matamshi wanayotoa. Kweli nchi yetu inapomoromoka vibaya sana na hadhi yake inashuka kwa speed kali.
Tufanye nini jamani ili tupate kiongozi kama Nyerere, hata Mkapa licha ya madudu yake ya hapa na pale alikuwa ana thubutu.