Rais Kikwete akifanya mazoezi Dodoma

Rais Kikwete akifanya mazoezi Dodoma

JK infantry man pure mwendo mdundo mbagala mpaka chalinze ukamanda bado upo sana
 
Mkuu C.T.U kuna failure kadhaa nimezinotice hapo kwa hao close protection guys did you??

Wamevaa vibaya hadi wameshindwa kuweka baadhi ya vifaa muhimu vya kazi.

Na usiniambie their only assurance/cavalry is that single CAT SUV behind, its too far from the protectee

Cc. OLESAIDIMU
 
Last edited by a moderator:
Atakapokuwa anafanya mazoezi ikulu ya Dar avae nguo kama hizo , asivae tena mijezi ya timu za nje (Madrid).
 
Inaelekea JK naye ameamua kuachana na utaratibu wa walinzi wake wa kumpa ulinzi wa 'kufa mtu' hata pale anapofanya jogging!
Unaona hana ulinzi wa kutosha kwa vile hujaonyeshwa lakini hapo ana ulinzi unaostahili kama kawaida, hukuona cruiser zikimfuata?
Rais hawezi kutembea hivi hivi, wehu wengi siku hizi na wapo kila mahali, ndio maana ulinzi wa rais si kitu cha mjadala, ni lazima alindwe kikamilifu.
 
Mkuu C.T.U kuna failure kadhaa nimezinotice hapo kwa hao close protection guys did you??

Wamevaa vibaya hadi wameshindwa kuweka baadhi ya vifaa muhimu vya kazi.

Na usiniambie their only assurance/cavalry is that single CAT SUV behind, its too far from the protectee

Cc. OLESAIDIMU

Even a simple walk like that one is usually planned ahead and all necessary precautions taken, any risk has been studied in advance. Hao sio wajinga, wanasomea kutambua na kutilia shaka pamoja na kumuondosha katika hatari. Technology iko juu siku hizi, huelewi kwanini hizo gari ziko hapo na pia huoni vingine ambavyo hukuonyeshwa.
 
Last edited by a moderator:
Unapofanya mazoezi unatakiwa usipoteze joto! Sasa mbona mwanzo alikuwa anatembea huku jacket lipo wazi? Baadae akafunga! Alipohisi joto akafungua tena! Ni nani trainer wake? Watu wote aliokuwa anatembea nao hawapo in shape ...ha ha ha
 
Even a simple walk like that one is usually planned ahead and all necessary precautions taken, any risk has been studied in advance. Hao sio wajinga, wanasomea kutambua na kutilia shaka pamoja na kumuondosha katika hatari. Technology iko juu siku hizi, huelewi kwanini hizo gari ziko hapo na pia huoni vingine ambavyo hukuonyeshwa.

Hujui hata nnachoongelea dogo, so u better keep quiet.


Unadhani siyajui yote hayo?
 
Mi nilijua yuko ndani ya gim ikulu kwenye zile mashine zenye conveyer belt, nashangaa namuona kwenye barabara la vumbi!!!
 


Si mchezo mheshimiwa yuko fiti kwa kweli.


Nimeona magari yanamfuata nyuma na mbelee
Nafikili walikuwa hawajiamini wakajuaa jamaa muda wowote anaweza anguka kidelii ndio maana yakawa yanamfuata nyumaaa
 
Last edited by a moderator:
Hujui hata nnachoongelea dogo, so u better keep quiet.


Unadhani siyajui yote hayo?

Acha kulipuka, unaujua umri wangu? Zungumza unachodhani sikijui badala ya kuwa provocative au sahihisha nilichokiandika hapo tuone unachokijua sana.
 
Back
Top Bottom