Ina maana hiyo barabara iko isolated hivyo kiasi hakuna watembeaji wengine au imefungwa kwa muda ili Le Professer apite..?
ni kawaida maeneo au njia atakayopita Mheshimiwa huwa zinafungwa mapema kabla..
That is true.Ina maana hiyo barabara iko isolated hivyo kiasi hakuna watembeaji wengine au imefungwa kwa muda ili Le Professer apite..?
Tezi ni lazima zipigishwe kwata walau mara mbili kwa siku...!
Mjerumani anajiamini sana .. Basi bora kajifunza tutamvizia tu
Angekuwa slaa angetapika mpaka sakaramenti ya upadre!
Si mchezo mheshimiwa yuko fiti kwa kweli.
umvizie ili iweje? Au unataka umpore?!!