Rais Kikwete aenda Uswisi

Rais Kikwete aenda Uswisi

Imefika wakati tujue safari za Rais wetu zimegharimu kiasi gani cha fedha tangu aingie madarakani na zimerudisha/kuinufaisha Tanzania kwa kiasi gani. Tunahitaji uchunguzi/utafiti huru juu ya hili.
 
Ya staki shari anaona madogo nini? Wakati mangu anasema yana chembechembe za ugaidi. Inashangaza!
 
Bwana mkubwa keshapaa kwenda Geneva, Uswis kupumzika baada ya hekaheka za Dodoma.

Sidhani kama Magufuli au huyo wa UKAWA ataambulia kitu katika chungu cha hazina ya taifa.

Kikwete anachapa kazi kuliko Rais yeyote wa kabla yake, kumbuka hilo. Hana muda wa kupumzika.
 
Imefika wakati tujue safari za Rais wetu zimegharimu kiasi gani cha fedha tangu aingie madarakani na zimerudisha/kuinufaisha Tanzania kwa kiasi gani. Tunahitaji uchunguzi/utafiti huru juu ya hili.

Elewa ni Safari za kikazi na Bajeti yake inapitishwa na bunge!
 
Kikwete anachapa kazi kuliko Rais yeyote wa kabla yake, kumbuka hilo. Hana muda wa kupumzika.

Ndiyo,kazi ya kusafiri.Hivi naomba kuuliza waziri wa mambo ya nje wa Tanzania ni nani?this is too much,kwani membe ni waziri wa wizara gani vile?
 
Bwana mkubwa keshapaa kwenda Geneva, Uswis kupumzika baada ya hekaheka za Dodoma.

Sidhani kama Magufuli au huyo wa UKAWA ataambulia kitu katika chungu cha hazina ya taifa.
...duh...me thought kwamba atakwenda Ethiopia walipo viongozi wenzake wa africa wakizungumzia mustakabali wa africa na maendeleo yake....kumbe kaenda Uswizi!...amazing.....kweli viongozi wetu hawana sense ya priority.....inasikitisha...alafu utashangaa anakwenda kwenye mikutano ambayo ni less significant...anyway...soon atakua msoga akilima mananasi...viongozi namna hii wasio na legacy huwa wanasahaulika mapema waondokapo madarakani...na mara nyingi vitu wanavyokumbukwa nao (if any)ni scandals....tena huwa zinajitokeza nyiiingi mara wanapoachia ngazi ya urais....
 
itapitishwa marabaada ya ukawa kupata madaraka...unaihitaji sana mkuu au. usihofu hata U.S.A ilipitishwa miaka kadhaa but but mpaka leo kuna freedom of expression...
 
...duh...me thought kwamba atakwenda Ethiopia walipo viongozi wenzake wa africa wakizungumzia mustakabali wa africa na maendeleo yake....kumbe kaenda Uswizi!...amazing.....kweli viongozi wetu hawana sense ya priority.....inasikitisha...alafu utashangaa anakwenda kwenye mikutano ambayo ni less significant...anyway...soon atakua msoga akilima mananasi...viongozi namna hii wasio na legacy huwa wanasahaulika mapema waondokapo madarakani...na mara nyingi vitu wanavyokumbukwa nao (if any)ni scandals....tena huwa zinajitokeza nyiiingi mara wanapoachia ngazi ya urais....

Very true
 
hahahahahahaaa mjinga mpe ushindi atakurudishia mwenyewe....sawa mama kikwete mchapa kazi wa anga

Unafikiri bila Kikwete kuwa angani muda wote ungeziona cubic trillion 55 za gas? Fikiri.

Fikra zenu Urais ni kukaa tu ofisini na kungoja kuletewa ripoti? ni mawazo ya kijinga na ya kizamani hayo.

Ni Rais yupi wa kabla yake Kikwete aliyeyapata mafanikio ya kiutendaji japo nusu ya aliyoyapata Kikwete Tanzania hii? anza na yeyote umpendae na chochote ukipendacho, Nyerere? Mwinyi? Mkapa?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Tena Pohamba Mwambie Wenzie Wenye Akili Huwa Hawaingii Humu Na ID Zenye Majina Yao Halisi Kama Yeye au Hata Wakiingia Nazo Basi Huwa Wanakuwa Na Hoja Nzuri Kabisa Na Zenye Mantiki Lakini Yeye Kaamua Kuja Nayo Yake Kichwa Kichwa Wakati Amesahau Kuwa Watu Tunamjua A to Z Pamoja Na Uchafu Wake Wote Ila Tunamtunzia Tu Heshima Yake Kwakuwa Tunatoka Kumoja Lakini Akitaka TUKINUKISHE Humu Watu Hatushindwi Na Sijui Kama Ataweza Hata Kuzikanusha. Atulie Tu!

Hao ndio makuwadi wa mamvi, walikuwa wameshagawana maeneo ya kwenda kula na wao, acha mapovu yawatoke! Manyerere alikuwa zamani sijui ilikuwaje Balile akambadilisha nae akawa kuwadi wa watu? Ni vema mkaenda kumliwaza Mzee wa ku vibrate, hakuna mlilofanya zaidi ya kumuongopea na kula pesa yake, shame Manyerere
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom