sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Unafikiri bila Kikwete kuwa angani muda wote ungeziona cubic trillion 55 za gas? Fikiri.
Fikra zenu Urais ni kukaa tu ofisini na kungoja kuletewa ripoti? ni mawazo ya kijinga na ya kizamani hayo.
Ni Rais yupi wa kabla yake Kikwete aliyeyapata mafanikio ya kiutendaji japo nusu ya aliyoyapata Kikwete Tanzania hii? anza na yeyote umpendae na chochote ukipendacho, Nyerere? Mwinyi? Mkapa?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Akili zako ndogo saana ka mtoto wa darasa la pili...mafanikio yapi?? Yanayo mzidi hata nus ya mkapa...
Acha ujinga funguka akili mama