Rais Kikwete aenda Uswisi

Rais Kikwete aenda Uswisi

Bwana mkubwa keshapaa kwenda Geneva, Uswis kupumzika baada ya hekaheka za Dodoma.

Sidhani kama Magufuli au huyo wa UKAWA ataambulia kitu katika chungu cha hazina ya taifa.
duuuuh Vasco Da Gama katika ubora wake. Yericko Nyerere hebu tujuze amefikisha ruti ngapi Vasco? maana nakumbuka kuna uzi ulikuwa unaupdate safarir zake
 
Last edited by a moderator:
Kazi gani? Wenzake wakiwa nje ya nchi zao likitokea tatizo kwenye nchi zao hukatiza ziara mara moja na kurudi nyumbani, lakini Mkwele ndivyo sivyo nchi haiko salama yeye anakwenda kuzurura kwa vimada wake.

Hivi unadhani nchi iko salama? Unajuwa idadi ya bunduki aina ya SMG zilizopolwa pale stakishari polisi ni ngapi? Unajuwa platoon ya kijeshi inaundwa na wapiganaji wangapi?

Funga domo lako wakati watu wanadiscuss serious issues au nenda Instagram ukaangalie mapicha maana ndio level yako.

Eti nina zako! Zake zipi? Jinga kabisa.


Mkwere.
 
Taarifa za uhakika nilizopenyezewa na mdau wangu ni kwamba...Punde tu baada ya Jakaya Kikwete kupewa taarifa za Bernard Membe kushindwa, alilia machozi na mdau wangu anasema, nilishuhudia Jakaya akilia, baadae akatoa kitambaa kufuta machozi...acha akatulize mawazo na kujiliwaza huko nje.

Mtu Mzima Wa Umri Wako Ukiwa Mwongo Unadhihirisha Kwetu UPOPOMA Wako ULIOTUKUKA. Kamanda Huwa Analia Kizembezembe Hivyo?
 
sima nuda wa kujibishana na jisenge kama wewe. huna lolote bwe'ge wewe. unafikiri huo upuuzi wenu mnaowaza nchi inaweza kuvurugika? ama kweli wewe ni mpumbavu. nenda kajiuze huko.

Basi Mkuu Abunuas Msamehe Hatorudia Tena. Uliyompa Yanamtosha Na Kama Atakuwa Muungwana Atakusikia Na Kuunyuti Zake Tu Mkuu.
 
Nikipata bahati ya kuhongwa, wallah nitamalizia kuweka madirisha, milango, vyoo na samani katika nyumba yangu. Mola nishushie hiyo neema ya kuhongwa ili niondokane na ulofa huu. Mola niwezeshe nihongwe ili niondokane na hii escudo ya mwaka 1995. Wajinga wote wakiona unafanikiwa watasema, ama umehongwa au umeiba. Wakikosa yote watasema wewe ni muuza unga au ni shoga. Jamii ya wajinga huwaza yaliyo hasi tu.

Kwahiyo Leo Mzee Wako Na Nduguyo Joseph Butiku Pamoja Na Taasisi Nzima Ya MNF Waliokutuhumu Kwa Lugha Ya Kidiplomasia Unawatusi Wajinga?
 
Mkuu Pohamba Mpe Makavu Yake Huyo Mwandishi Wa Habari Aliyejidhalilisha Huku Akijua Fika Kuwa Anatoka Katika Ukoo Wa Nyerere Ambapo Yeye Mwenyewe Baba Wa Taifa Alimkataa Kata Kata Lowassa Kwakuwa Alimjua Kuwa Ni FISADI ALIYETUKUKA. Mwambie Basi Hizo Hela Za Lowassa Walizokula Waboreshe Basi Kale Kaofisi Kao Pale Posta Kwani Hakana Tofauti Na Rumande Zetu Za Polisi Jinsi Palivyo Pabaya.

Haha, Ukitaka kujua Safari ya Matumaini imesombwa na Mafuriko ya kina Mangula pitia Jamhuri ya leo ushuhudie Povu la Uongo wa kiwango cha Juu sana kuwahi kushuhudiwa, hata Kubenea hajafikia viwango hivi vya uzandiki uliopitiliza as if yaliyotokea Dodoma basi yalishuhudiwa na Makanjanja wakipeperushi cha Jamhuri Peke, tena bila aibu kama Sophia Simba wao wameanza kujikomba kwa Magufuli, huyu hana tabia hizo chafu walizozoea hawa Makanjanja.
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo Leo Mzee Wako Na Nduguyo Joseph Butiku Pamoja Na Taasisi Nzima Ya MNF Waliokutuhumu Kwa Lugha Ya Kidiplomasia Unawatusi Wajinga?

Wasema wewe. Mie sijasema. Lakini ujinga hauna umri wala cheo. Soma maana ya neno ujinga au mjinga.
 
Haha, Ukitaka kujua Safari ya Matumaini imesombwa na Mafuriko ya kina Mangula pitia Jamhuri ya leo ushuhudie Povu la Uongo wa kiwango cha Juu sana kuwahi kushuhudiwa, hata Kubenea hajafikia viwango hivi vya uzandiki uliopitiliza as if yaliyotokea Dodoma basi yalishuhudiwa na Makanjanja wakipeperushi cha Jamhuri Peke, tena bila aibu kama Sophia Simba wao wameanza kujikomba kwa Magufuli, huyu hana tabia hizo chafu walizozoea hawa Makanjanja.
Aisee, na wewe unasoma kipeperushi?
 
Bwana mkubwa keshapaa kwenda Geneva, Uswis kupumzika baada ya hekaheka za Dodoma.

Sidhani kama Magufuli au huyo wa UKAWA ataambulia kitu katika chungu cha hazina ya taifa.

Ngoja Vasco Da Gama akahemehe vya mwisho mwisho.

Hahahahaah,
Sijui kipindi hiki atatuletea nini? Hivi alipotoka India alileta viungo (spices)?
Sijui huku leo atatuletea nini?

A Black Vasco Da Gama.
A Sailor JK
 
Haha, Ukitaka kujua Safari ya Matumaini imesombwa na Mafuriko ya kina Mangula pitia Jamhuri ya leo ushuhudie Povu la Uongo wa kiwango cha Juu sana kuwahi kushuhudiwa, hata Kubenea hajafikia viwango hivi vya uzandiki uliopitiliza as if yaliyotokea Dodoma basi yalishuhudiwa na Makanjanja wakipeperushi cha Jamhuri Peke, tena bila aibu kama Sophia Simba wao wameanza kujikomba kwa Magufuli, huyu hana tabia hizo chafu walizozoea hawa Makanjanja.



Nakukubali Sana Pohamba Na Leo Unanifurahisha Sana Kwani Sikujua Kuwa Kumbe Na Wewe Ni Mzee Wa Kuwapa Watu Makavu Yao Hivi.
 
Last edited by a moderator:
Wasema wewe. Mie sijasema. Lakini ujinga hauna umri wala cheo. Soma maana ya neno ujinga au mjinga.

Omba Mungu Magufuli Asichaguliwe Na Watanzania Ila Akipita Tu Jiandae Kufungasha Tuvirago Vyako Na Uende Kuozea Mashambani Butiama.
 
Tunakisoma ili kuwajua Wanafiki na wazandiki, unadhani ningekuwa sikisomi ningejuaje tabia zako?

Tena Pohamba Mwambie Wenzie Wenye Akili Huwa Hawaingii Humu Na ID Zenye Majina Yao Halisi Kama Yeye au Hata Wakiingia Nazo Basi Huwa Wanakuwa Na Hoja Nzuri Kabisa Na Zenye Mantiki Lakini Yeye Kaamua Kuja Nayo Yake Kichwa Kichwa Wakati Amesahau Kuwa Watu Tunamjua A to Z Pamoja Na Uchafu Wake Wote Ila Tunamtunzia Tu Heshima Yake Kwakuwa Tunatoka Kumoja Lakini Akitaka TUKINUKISHE Humu Watu Hatushindwi Na Sijui Kama Ataweza Hata Kuzikanusha. Atulie Tu!
 
Last edited by a moderator:
Tena Pohamba Mwambie Wenzie Wenye Akili Huwa Hawaingii Humu Na ID Zenye Majina Yao Halisi Kama Yeye au Hata Wakiingia Nazo Basi Huwa Wanakuwa Na Hoja Nzuri Kabisa Na Zenye Mantiki Lakini Yeye Kaamua Kuja Nayo Yake Kichwa Kichwa Wakati Amesahau Kuwa Watu Tunamjua A to Z Pamoja Na Uchafu Wake Wote Ila Tunamtunzia Tu Heshima Yake Kwakuwa Tunatoka Kumoja Lakini Akitaka TUKINUKISHE Humu Watu Hatushindwi Na Sijui Kama Ataweza Hata Kuzikanusha. Atulie Tu!

Kweli Kabisa, Mpenda nyingi nasaba hupata mingi Misiba!!
 
Last edited by a moderator:
Tena Pohamba Mwambie Wenzie Wenye Akili Huwa Hawaingii Humu Na ID Zenye Majina Yao Halisi Kama Yeye au Hata Wakiingia Nazo Basi Huwa Wanakuwa Na Hoja Nzuri Kabisa Na Zenye Mantiki Lakini Yeye Kaamua Kuja Nayo Yake Kichwa Kichwa Wakati Amesahau Kuwa Watu Tunamjua A to Z Pamoja Na Uchafu Wake Wote Ila Tunamtunzia Tu Heshima Yake Kwakuwa Tunatoka Kumoja Lakini Akitaka TUKINUKISHE Humu Watu Hatushindwi Na Sijui Kama Ataweza Hata Kuzikanusha. Atulie Tu!
Hahaaaa! Niogope nini? Sina cha kuficha ndo maana ID yangu iko wazi. Sikufunzwa woga.
 
Last edited by a moderator:
Tena Pohamba Mwambie Wenzie Wenye Akili Huwa Hawaingii Humu Na ID Zenye Majina Yao Halisi Kama Yeye au Hata Wakiingia Nazo Basi Huwa Wanakuwa Na Hoja Nzuri Kabisa Na Zenye Mantiki Lakini Yeye Kaamua Kuja Nayo Yake Kichwa Kichwa Wakati Amesahau Kuwa Watu Tunamjua A to Z Pamoja Na Uchafu Wake Wote Ila Tunamtunzia Tu Heshima Yake Kwakuwa Tunatoka Kumoja Lakini Akitaka TUKINUKISHE Humu Watu Hatushindwi Na Sijui Kama Ataweza Hata Kuzikanusha. Atulie Tu!

Na Manyerere Jackton ni Mrwanda mwenzako?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom