KipimaPembe
JF-Expert Member
- Aug 5, 2007
- 1,285
- 699
Rwanda kuna matatizo ya Ndani na Kagame lazima ayashughulikie. Kulaumu majirani zake 'wholesale' kama anavyofanya sasa haitasaidia ila itazidi kufanya mambo yawe 'complicated' zaidi.
Kuna maoni na maoni na mengi yanayosemwa kuhusu ukabila na nini ni uongo tu. Rwanda tatizo la sasa si ukabila bali ni utawala wa kiimla. Hawa wanaoasi sasa na wanaotishia utawala wa Kagame ni watu waliosaidiana naye kuondoa GENOCIDE. Kagame inatakiwa ajiangalie zaidi yeye kuliko kuwaangalia majirani zake.
Ni kweli kuwa hawa walikuwa watu influential katika jeshi la Rwanda na kuondoka kwao kunawafanya watu waliokuwa wanampigia Kagame makofi bila kumwangalia vizuri wajiulize kulikoni?
Hizi theories za ooh watusi wana akili au wayahudi wako tofauti na watu wengine ni uzushi usiokuwa na ushahidi wowote wa kisayansi. Ila zinaendekezwa ama kwa lengo la kutaka kuwabagua watu au kwa lengo la kuendeleza maslahi binafsi. Hakuna ushahidi wowote 'credible' wa kisayansi ambao umeshathibitisha kuwa intelligence ina uhusiano na kabila, rangi, koo, n,k. Kinachowatofautisha makundi ya watu ni opportunities or lack of it ... basi.
Ukitaka kumbagua mtutsi mbague tu, ila usiseme eti unambagua kwa kuwa ana akili sana na yuko focused au eti anataka kutawala east Africa.
Kuna maoni na maoni na mengi yanayosemwa kuhusu ukabila na nini ni uongo tu. Rwanda tatizo la sasa si ukabila bali ni utawala wa kiimla. Hawa wanaoasi sasa na wanaotishia utawala wa Kagame ni watu waliosaidiana naye kuondoa GENOCIDE. Kagame inatakiwa ajiangalie zaidi yeye kuliko kuwaangalia majirani zake.
Ni kweli kuwa hawa walikuwa watu influential katika jeshi la Rwanda na kuondoka kwao kunawafanya watu waliokuwa wanampigia Kagame makofi bila kumwangalia vizuri wajiulize kulikoni?
Hizi theories za ooh watusi wana akili au wayahudi wako tofauti na watu wengine ni uzushi usiokuwa na ushahidi wowote wa kisayansi. Ila zinaendekezwa ama kwa lengo la kutaka kuwabagua watu au kwa lengo la kuendeleza maslahi binafsi. Hakuna ushahidi wowote 'credible' wa kisayansi ambao umeshathibitisha kuwa intelligence ina uhusiano na kabila, rangi, koo, n,k. Kinachowatofautisha makundi ya watu ni opportunities or lack of it ... basi.
Ukitaka kumbagua mtutsi mbague tu, ila usiseme eti unambagua kwa kuwa ana akili sana na yuko focused au eti anataka kutawala east Africa.