Rais Kagame aishutumu Tanzania

Rais Kagame aishutumu Tanzania

Wakati wa Kagame kuachia ngazi umefika. Akiendelea kukaa madarakani atavuruga mafanikio yote aliyoiletea Rwanda. Kinachomsumbua ni paranoiya inayotokana na mikono yake kujaa damu nyingi tokea alipoitungua ile ndege ya Habyarimana.

Yeye bado ni kijana akitaka azeeke vizuri na kwa usalama, basi inabidi ajitahidi aachie ngazi wakati mambo ni mazuri. Akichelewa yakaharibika sio ajabu akawindwa kama wengine ili na yeye ajibu mashitaka ya mauaji aliyoamrisha.

Mkuu, nina uchungu zaidi na nchi yangu TZ kuliko Rwanda. Nafikiri itakuwa poa sana kama tutaondoa jina la Kagame hapo juu (nimepigia mstari chini) na kuweka la Kikwete.

Wakati wa Kikwete kuachia ngazi umefika.


Zipo sababu halali 51 (Ref. Mwanakijiji).
 
Sure. Let's not just jump into the bandwagon of full denial without having full info. Bado hatuwezi kujua kama aliyosema Kagame si ya kweli au ni ya kweli.
Serikali yetu, tena hii ya sasa ya watu wa RA siyo malaika ambao hawawezi kufanya mambo fulanifulani.

Kumbukeni kashfa ya kusafirisha silaha kwenda DR Congo na uhusiano wake na Mapanki ya Ziwa Victoria. Kikwete alitoa hotuba ya kukanusha kuwa masuala hayo yapo, na mwandishi aliyefuatana na mzungu aliyepiga picha za documentary hiyo alisumbuliwa sana na vyombo vya dola kuwa wamezusha mambo hayo ya silaha na mapanki.

Ila hatimaye penye ukweli uongo ulijitenga. Hatimaye ikafahamika kuwa yaliyoelezwa kwenye documentary ni ya kweli na kuwa JK alikanusha kitu cha ukweli.



Serikali hii mhhh... lolote linawezekana... ala Silvio Berlusconi...

zero kabisa
 
Tutsi's are damn intelligent, nimesoma nao undergraudate, wapo so bright na focused, (the likes of Waisrael) kwa nchi yao. So far so gud, Kagame has done great kwa nchi yake although ana makosa ya hapa na pale kama binadamu. My take is that, kwa nchi kama Rwanda ambayo ime-progress frm myriads of coup de tat na genocide, absolutely democracy cant be the best way forward, mda fulani unahitaji a kind of u-dictator ili kuwa-push watu.
Although namuona Kgm anajichimbia kaburi lake taaratibuu, hawa ma-Generals wengi kwenda exile, he should nt take it for granted, one day watarudi, na yale ya '94 yatakuwa madogo. Ajitahidi hata kuwafanyia toppling/indirect obstraction, mfano; awape hata Ukuu wa mikoa kule kwao, au lah, unsound wizara's.....Binadamu ni kama maji, huwezi kuyazuia, yatachimba tu!


BTW; At least ths time Membe kajibu vzuri tuhuma hizo, Lol!!, manake bingwa wa kukurupuka na majibu yake yule Chinga Lol!

Angalia bold. sitokubaliana na wewe kwamba watutsi wana akili na ukawalinganisha na waisrael na kwamba umesoma nao na umewaona. Hizo findings zako ni invalid na hazina correlation na ushahidi wa aina yoyote. Kama darasani walikuwa wanakupiga chini ni wewe mwenyewe ulikuwa bom (lugha kali idogo). Mimi naishi nao, sijaona misifa kama hiyo uliyowamwagia. Angalia, tangu uhuru nchi ya burundi imekuwa chini ya utawala wa kitutsi sasa tujifunze nini pale burundi?????Kigoma watusi kibao, lakini ni miongoni mwa mikoa ambayo kielimu iko nyumba, Karagwe kule kagera ni watutsi watupu lakini wilaya ya karagwe huwezi kuilinganisha kielimu na kimaendeleo na zile wilaya za bukoba mjini na vijijini, muleba kwa walangila ambao wako mbele kielimu.Nchi ya Eritrea, Somalia wote hawa ni asili moja na hao watusi unaowasema, je, nchi zao zikoje kimaendeleo na kielimu????????????????????????????

ambacho unaweza kuniambia kwa watutsi wanaukaibila wa kufa mtu, kama si mtutsi hutaoa mtutsi, vikao vyao ni wao tu, niwapenda makuu hasa uongozi, niwapenda vita tangu siku za mababu, ni wavivu wakutupwa, wakiwakiwa na jua nikulazwa hospitalini, wao na ng'ombe wao tu usiwaeleze kingine. Watutsi hawana akili kuzidi makabila mengine na kamwe usiwalinganishe na waisrael,
 
watutsi wanaukaibila wa kufa mtu, kama si mtutsi hutaoa mtutsi, vikao vyao ni wao tu, niwapenda makuu hasa uongozi, niwapenda vita tangu siku za mababu, ni wavivu wakutupwa, wakiwakiwa na jua nikulazwa hospitalini, wao na ng'ombe wao tu usiwaeleze kingine. Watutsi hawana akili kuzidi makabila mengine na kamwe usiwalinganishe na waisrael,

....babu una beef gani na watutsi?seems wale 1 milion mliowaua hawatoshi sasa mnataka kuwamaliza wote waliobaki,ni ngumu kuamini watu kama nyie mnaishi lakini ndio hali halisi ya maisha na kina Kagame hawana choice zaidi ya kujiweka tayari kwa ajiri ya watu kama wewe,na hata story ya Rwanda inaonekana huijui na hujui kwanini kina kagame waliamua kupigana miaka yote ile,Kagame alikimbia nchi yake tangu 1959 akiwa na miaka mitano na walikataliwa kurudi,wakauliwa zaidi ya milioni moja kwa sababu ni watutsi...sasa sijui ulitaka wafanye nini?
 
....babu una beef gani na watutsi?seems wale 1 milion mliowaua hawatoshi sasa mnataka kuwamaliza wote waliobaki,ni ngumu kuamini watu kama nyie mnaishi lakini ndio hali halisi ya maisha na kina Kagame hawana choice zaidi ya kujiweka tayari kwa ajiri ya watu kama wewe,na hata story ya Rwanda inaonekana huijui na hujui kwanini kina kagame waliamua kupigana miaka yote ile,Kagame alikimbia nchi yake tangu 1959 akiwa na miaka mitano na walikataliwa kurudi,wakauliwa zaidi ya milioni moja kwa sababu ni watutsi...sasa sijui ulitaka wafanye nini?

Ohh..nilijua kobe atakuja kwenye hii thread..
 
Kama ni uamuzi wangu basi Kagame ningependelea atawale vichwa vigumu na hasidi vya kitanzania.....namfagilia sana huyu jamaa.....he is damn right kwenye ishu hii msikurupuke kumlaumu Kagame sio kama mnavyofikiria hajakurupuka kwenye ishu hii....
 
Hapa Ufisadi wetu ,chokochoko za watu kutuhumu Tz zetu sasa niishi wapi wajameni?
 
Tutsi's are damn intelligent, nimesoma nao undergraudate, wapo so bright na focused....


Unawalinganisha na nani? Wakati nasoma kuna professa mmoja alikuwa akiniambia kila manafunzi wa kitanzania anayekutana naye ni bright... brighter kuliko wanaotoka nchi zingine za kiafrika.
 
Kadri Taswira ya nchi yako ilivyo na unavyoitawala nandivyo wenzako pia wanavyo ku Judge sasa nchi hi TZ inamambo mengi sasa na Wa nyarwanda na warundi walikimbilia kwetu naye yeye pia nimmoja wao na anajua fika wengi wao hujipanga humu TZ kwanini asitilie shaka TZ. Nchi yetu nayo iwe serious kwa uwajibikaji mwanzo mwisho ndio hao watakoma kutuzoe zoe sana
 
Kagame ndivyo alivyo, anaogopa kuondolewa madarakani huyo, hata hawa washtakiwa waliochiwa huru ICTR anataka awakamate na awamalize.
 
Tanzania tumeingiliwa na hawa banyamulenge/tutsis ambao wengi wao tumewasomesha kwa miaka kadhaa kutokana na shida yao ya ardhi nk. Hivi sasa ni watanzania wa kuhamia hata hapa wanavyoandika kwa sababu wamekulia na kuishi Tanzania utafikiri ni WTZ lakini hawako huru na kampeni yao ndio hiyo ya kumfagilia huyu jangili. Kwani nani hafahamu alivyowatungua wenzake? Utawasoma tu humu bado hawako huru wanafikiria jinsi EAC inavyoharakishwa itawasaidia kuwa huru zaidi.

Kuweni macho na hawa vimburu unaweza kuwachuma kama vile unavyochuma uyoga. Tatizo hawafahamu jinsi tulivyo its just a matter of time watakiona cha mtema kuni.
 
Angalia bold. sitokubaliana na wewe kwamba watutsi wana akili na ukawalinganisha na waisrael na kwamba umesoma nao na umewaona. Hizo findings zako ni invalid na hazina correlation na ushahidi wa aina yoyote. Kama darasani walikuwa wanakupiga chini ni wewe mwenyewe ulikuwa bom (lugha kali idogo). Mimi naishi nao, sijaona misifa kama hiyo uliyowamwagia. Angalia, tangu uhuru nchi ya burundi imekuwa chini ya utawala wa kitutsi sasa tujifunze nini pale burundi?????Kigoma watusi kibao, lakini ni miongoni mwa mikoa ambayo kielimu iko nyumba, Karagwe kule kagera ni watutsi watupu lakini wilaya ya karagwe huwezi kuilinganisha kielimu na kimaendeleo na zile wilaya za bukoba mjini na vijijini, muleba kwa walangila ambao wako mbele kielimu.Nchi ya Eritrea, Somalia wote hawa ni asili moja na hao watusi unaowasema, je, nchi zao zikoje kimaendeleo na kielimu????????????????????????????

ambacho unaweza kuniambia kwa watutsi wanaukaibila wa kufa mtu, kama si mtutsi hutaoa mtutsi, vikao vyao ni wao tu, niwapenda makuu hasa uongozi, niwapenda vita tangu siku za mababu, ni wavivu wakutupwa, wakiwakiwa na jua nikulazwa hospitalini, wao na ng'ombe wao tu usiwaeleze kingine. Watutsi hawana akili kuzidi makabila mengine na kamwe usiwalinganishe na waisrael,
nakuunga mkono kabisa yote uliyoongea

....babu una beef gani na watutsi?seems wale 1 milion mliowaua hawatoshi sasa mnataka kuwamaliza wote waliobaki,ni ngumu kuamini watu kama nyie mnaishi lakini ndio hali halisi ya maisha na kina Kagame hawana choice zaidi ya kujiweka tayari kwa ajiri ya watu kama wewe,na hata story ya Rwanda inaonekana huijui na hujui kwanini kina kagame waliamua kupigana miaka yote ile,Kagame alikimbia nchi yake tangu 1959 akiwa na miaka mitano na walikataliwa kurudi,wakauliwa zaidi ya milioni moja kwa sababu ni watutsi...sasa sijui ulitaka wafanye nini?
mkuu tunajua nawewe ni walewale,acheni ukabila bwana si tunachotetea ni usawa wa kilakitu kwa wanyarwanda wote no matter ni kabila gani,ni ujinga kiongozi wenu anachofanya sasa maana anarudia yaleyale yaliosababisha genocide sie tumechoka kuwabeba mkishaanza kuuana huko kwenu,mwambie rais wenu aache racism,awarudishe wale wahutu toka D.R.C,agawe madaraka kwa hao wahutu pia ashirikiane nao kwa kila kitu,na wale wengine wanaojazwa jela kisa mtu kakunyooshea kidole kwamba alikuona siku ya mauaji sio haki,jela ya wafungwa 2000 wanajazwa wafungwa 11000 na ni kabila moja tu kisha bado unamtetea huyo dictator,mkiendelea na tabia hizi kamwe hakutakua na amani hapo rwanda,mtauana kila siku mkijua kuna pa kukimbilia TZ, nasasa hata TZ mmeshaanza chokochoko ok tunasubiri.

Kama ni uamuzi wangu basi Kagame ningependelea atawale vichwa vigumu na hasidi vya kitanzania.....namfagilia sana huyu jamaa.....he is damn right kwenye ishu hii msikurupuke kumlaumu Kagame sio kama mnavyofikiria hajakurupuka kwenye ishu hii....
inawezekana lakini hilo la kutawala kidictator hatuitaji,amani ni zaidi ya yote mazee we unaropoka sababu hujawahi onja adha ya vita mzee,muulize koba atakusimulia zaidi,sasa kuwa na rais kama kagame ndio mwanzo wa kusababisha vita nchini kwetu hatumuhitaji.
 
....babu una beef gani na watutsi?seems wale 1 milion mliowaua hawatoshi sasa mnataka kuwamaliza wote waliobaki,ni ngumu kuamini watu kama nyie mnaishi lakini ndio hali halisi ya maisha na kina Kagame hawana choice zaidi ya kujiweka tayari kwa ajiri ya watu kama wewe,na hata story ya Rwanda inaonekana huijui na hujui kwanini kina kagame waliamua kupigana miaka yote ile,Kagame alikimbia nchi yake tangu 1959 akiwa na miaka mitano na walikataliwa kurudi,wakauliwa zaidi ya milioni moja kwa sababu ni watutsi...sasa sijui ulitaka wafanye nini?

Rais Kagame na yeye anafanya makosa hayo hayo ya kuwazuia wanaompinga kurudi Rwanda! Serikali yenu ifuate mfano wa Afrika Kusini. Mfanye maridhiano na msiendelee kuchukiana. HALAFU KUMBE NDIO MAANA UNAPIGA KELELE TANZANIA IHARAKISHE MCHAKATO WA EAC!
 
Rais Kagame na yeye anafanya makosa hayo hayo ya kuwazuia wanaompinga kurudi Rwanda! Serikali yenu ifuate mfano wa Afrika Kusini. Mfanye maridhiano na msiendelee kuchukiana. HALAFU KUMBE NDIO MAANA UNAPIGA KELELE TANZANIA IHARAKISHE MCHAKATO WA EAC!
mkuu afadhali nawewe umeliona hilo,koba ni kati ya wale watusi mbao wanawatenga wenzao,ukimkuta mtusi anamdescribe vipi muhutu utashangaa,atamuita shetani,mbwa sio binadamu yaani atamfananisha na kitu chochote kibaya au kichafu,yaani atafika hata kusema hawakustahili kuishi duniani na haya mambo ya kuwadharau wenzao kiasi hicho ndio maana na wao wanawachukia na kufikia kuwachinja mi nayaona haya mambo live,muhutu hakanyagi mahali ambapo mtusi yupo katawala anajua kitakachotokea,halafu sasa mtu aje kuimba nyimbo kwamba kuna usawa rwanda!hali ni mbaya sana kule
 
Mambo magumu sana kuyaelewa cha msingi ni kujua kuwa sasa maswahiba wake Kagame hawamuungi mkono, na hata ingekuwa wewe ndio kagame je utalala usingizi?wakati mabest wako wamekugeuka?
 
Mambo magumu sana kuyaelewa cha msingi ni kujua kuwa sasa maswahiba wake Kagame hawamuungi mkono, na hata ingekuwa wewe ndio kagame je utalala usingizi?wakati mabest wako wamekugeuka?

Maswahiba wake wanamgeuka kwasababu hataki kusikiliza ushauri wao; kama anavyodai yule aliyekimbilia Afrika Kusini juzi. Huwezi kuleta mapatano kwenye nchi kwa kulipa visasi. Alitakiwa aunde serikali ya umoja wa kitaifa na awashirikishe watutsi na wahutu. Uadui kwenye nchi huanza pale kundi moja linapojiona kutengwa na jingine kupendelewa zaidi. Si Rwanda tu hata nchi kama Uganda, Museveni anafanya makosa hayo hayo. Mandela angeiga mambo anayoyafanya Kagame, Afrika Kusini kusingekuwa kunakalika sasa hivi.
 
Guys!
U-bright ninao uzungumzia mimi ni zaidi ya ule unaoujua/fikiria ww (wa darasani), am talking here abt how they are focused and being determined kwa kile ambacho wao wana nuia iwe ktk miaka 20 au hata 100 ijayo (kwa faida ya wajukuu/vijukuu). Akili za darasani is one thing, na akili za maisha is another thng, kuwa na first class/au kwenda 'red brick' education institutions isn't such a guarentee ya ww kuwa kiongozi bora au mwenye maamuzi bora. Mzee wa vijisenti proves me am right on ths!

Am saying ths coz nimeishi nao, iwe nje au ndani ya darasa, ktk maisha ya kawaida kabisa na nimejifunza alot frm wao kitu ambacho kinatutofautisha sisi (the rest of east africans) na wao. Mind you, appreciation ktk maisha sio kwamba unajidharau ww na kuwatukuza/kumtukuza mwingine, pengine ni njia ya ww kujifunza mawili matatu from wao. Ain't saying ths on the basis to disrespect Hutu's, am sure they have their own potential traits as well!

Kuna mchangiaji hapo juu kasema wale ambao hamjui historia ya Rwanda that is to say Tsusi, that is to say historia ya Hutu, Twa, na Tsusi mwaweza pinga my dictum, ila thats the fact, kwa kuanzia tafuteni kitabu; Comprehandling and Mastering African Conflicts- Prof. Adebayo Adedeji (Editor), then kwa kuanzia utaelewa nini namaanisha in as far as Tsusi are concerned!
Kama kuna mtu yuko interested zaidi na ninayo sema na pngine kutafuta proof/facst ya kile nichosema embu fwatilieni pale UDOM, hawa jamaa wanaka-association kao flani hvi, embu kufanyanyeni U-shushushu mtaamini kuwa wenzetu sio vilaza (sor for saying ths), kama wengi wetu sie!
 
Manda

Usijiaibishe bure mkuu. Kama wewe shule ilikuwa haipandi/sio bright by nature kutokana na mazingira uliyokulia sio wote, vile vile lazima ukumbuke tupo wengi tu hapa ambao hatutaki ku-comment pumba.
 
Huyu Mheshimiwa anachokifanya nikutaka ku-draw attention ya UN ili aweze ku-jastify kuendelea kuiongoza nchi bila uchaguzi, maana tayari amevuka muda wake wa kuiongoza nchi. Then in politics if you want to contine you have to start a fight.

Kazi kweli kweli
 
The history of Rwanda and Burundi, that is to say the history btn Tsusi's and Hutu's (bila kuwasahau Twa"s), ni ndefu sana, kwa wengi wetu ambao tumeijui in the post-genocide of 94, without any doubt tunakosa a lot of stuffs whc happened tangu enzi za Wabelgiji (I), na kabla ya hapo.
When we avail ourselves wth that history may be frm that note tutakuwa na a-glimpse abt what exactly tantamounts to the current status quo. As a i noted earlier, kwa somehow Kagame is taking the wrong step kwa kuwapeleka into exiles hawa makamanda wake, coz at the end of te day anythng whc goes around comes around.
 
Back
Top Bottom