Rais Kagame aishutumu Tanzania

Guys!
U-bright ninao uzungumzia mimi ni zaidi ya ule unaoujua/fikiria ww (wa darasani), am talking here abt how they are focused and being determined kwa kile ambacho wao wana nuia iwe ktk miaka 20 au hata 100 ijayo (kwa faida ya wajukuu/vijukuu). Akili za darasani is one thing, na akili za maisha is another thng, kuwa na first class/au kwenda 'red brick' education institutions isn't such a guarentee ya ww kuwa kiongozi bora au mwenye maamuzi bora. Mzee wa vijisenti proves me am right on ths!

Am saying ths coz nimeishi nao, iwe nje au ndani ya darasa, ktk maisha ya kawaida kabisa na nimejifunza alot frm wao kitu ambacho kinatutofautisha sisi (the rest of east africans) na wao. Mind you, appreciation ktk maisha sio kwamba unajidharau ww na kuwatukuza/kumtukuza mwingine, pengine ni njia ya ww kujifunza mawili matatu from wao. Ain't saying ths on the basis to disrespect Hutu's, am sure they have their own potential traits as well!

Kuna mchangiaji hapo juu kasema wale ambao hamjui historia ya Rwanda that is to say Tsusi, that is to say historia ya Hutu, Gwa, na Tsusi mwaweza pinga my dictum, ila thats the fact, kwa kuanzia tafuteni kitabu; Comprehandling and Mastering African Conflicts- Prof. Adebayo Adedeji (Editor), then kwa kuanzia utaelewa nini namaanisha in as far as Tsusi are concerned!
Kama kuna mtu yuko interested zaidi na ninayo sema na pngine kutafuta proof/facst ya kile nichosema embu fwatilieni pale UDOM, hawa jamaa wanaka-association kao flani hvi, embu kufanyanyeni U-shushushu mtaamini kuwa wenzetu sio vilaza (sor for saying ths), kama wengi wetu sie!

Mfano ulioutoa sio wa kuigwa au hata kufikia kuita watu kuwa ni "bright"! Hiyo hali kama unavyosema ya kujitenga na kuwa na mikakati ya muda mrefu ndio ambayo imewafikisha kwenye machafuko na mifarakano iliyopo sasa. Fikiria kwa mfano kama kila kabila hapa Tanzania likianza kujitenga na kujiwekea mikakati ya kutawala makabila mengine, unadhani tunaweza kuishi kwa amani hapo baadae? Hakuna kabila au mtu aliye bora kuliko mwingine...hii ni kasumba ambayo imesababisha matatizo na maafa mengi hapa duniani. Kwahiyo kama hao unaowaita "bright" wataendelea na kasumba ya kubaguana na kuweka mikakati ya muda mrefu kwa wajukuu na vitukuu kama unavyodai; nasikitika kuwa mikakati hiyo hiyo itazidi kuwaponza kwa muda mrefu.
 
....babu una beef gani na watutsi?seems wale 1 milion mliowaua hawatoshi sasa mnataka kuwamaliza wote waliobaki,ni ngumu kuamini watu kama nyie mnaishi lakini ndio hali halisi ya maisha na kina Kagame hawana choice zaidi ya kujiweka tayari kwa ajiri ya watu kama wewe,na hata story ya Rwanda inaonekana huijui na hujui kwanini kina kagame waliamua kupigana miaka yote ile,Kagame alikimbia nchi yake tangu 1959 akiwa na miaka mitano na walikataliwa kurudi,wakauliwa zaidi ya milioni moja kwa sababu ni watutsi...sasa sijui ulitaka wafanye nini?

Hapana aiwezekani wauliwe kwasababu niwatusi Nipe sababu nyingine yenye ujazo nitakuunga mkono.
 
Tanzania tumeingiliwa na hawa banyamulenge/tutsis ambao wengi wao tumewasomesha kwa miaka kadhaa kutokana na shida yao ya ardhi nk. Hivi sasa ni watanzania wa kuhamia hata hapa wanavyoandika kwa sababu wamekulia na kuishi Tanzania utafikiri ni WTZ lakini hawako huru na kampeni yao ndio hiyo ya kumfagilia huyu jangili. Kwani nani hafahamu alivyowatungua wenzake? Utawasoma tu humu bado hawako huru wanafikiria jinsi EAC inavyoharakishwa itawasaidia kuwa huru zaidi.

Kuweni macho na hawa vimburu unaweza kuwachuma kama vile unavyochuma uyoga. Tatizo hawafahamu jinsi tulivyo its just a matter of time watakiona cha mtema kuni.



Nakubaliana wewe ila sikubaliani kuwa " tumewasomesha kwa miaka kadhaa kutokana na shida yao ya ardhi".
 
Tanzania tumeingiliwa na hawa banyamulenge/tutsis ambao wengi wao tumewasomesha kwa miaka kadhaa kutokana na shida yao ya ardhi nk. Hivi sasa ni watanzania wa kuhamia hata hapa wanavyoandika kwa sababu wamekulia na kuishi Tanzania utafikiri ni WTZ lakini hawako huru na kampeni yao ndio hiyo ya kumfagilia huyu jangili. Kwani nani hafahamu alivyowatungua wenzake? Utawasoma tu humu bado hawako huru wanafikiria jinsi EAC inavyoharakishwa itawasaidia kuwa huru zaidi.

Kuweni macho na hawa vimburu unaweza kuwachuma kama vile unavyochuma uyoga. Tatizo hawafahamu jinsi tulivyo its just a matter of time watakiona cha mtema kuni.



Nakubaliana wewe ila sikubaliani kuwa " tumewasomesha kwa miaka kadhaa kutokana na shida yao ya ardhi".

NIPE SABABU NYINGINE YA KUWASOMESHA.
 
mkuu afadhali nawewe umeliona hilo,koba ni kati ya wale watusi mbao wanawatenga wenzao,ukimkuta mtusi anamdescribe vipi muhutu utashangaa,atamuita shetani,mbwa sio binadamu yaani atamfananisha na kitu chochote kibaya au kichafu,yaani atafika hata kusema hawakustahili kuishi duniani na haya mambo ya kuwadharau wenzao kiasi hicho ndio maana na wao wanawachukia na kufikia kuwachinja mi nayaona haya mambo live,muhutu hakanyagi mahali ambapo mtusi yupo katawala anajua kitakachotokea,halafu sasa mtu aje kuimba nyimbo kwamba kuna usawa rwanda!hali ni mbaya sana kule


KOBA njoo ujibu tuhuma, Kweli wewe ni MTUSI?
Kama ni kweli kwanini mnawafanyia hivyo wenzenu?
Nina maswali mengi yakukuuliza kama kweli wewe ni mtusi.
 
Guys!
U-bright ninao uzungumzia mimi ni zaidi ya ule unaoujua/fikiria ww (wa darasani), am talking here abt how they are focused and being determined kwa kile ambacho wao wana nuia iwe ktk miaka 20 au hata 100 ijayo (kwa faida ya wajukuu/vijukuu). Akili za darasani is one thing, na akili za maisha is another thng, kuwa na first class/au kwenda 'red brick' education institutions isn't such a guarentee ya ww kuwa kiongozi bora au mwenye maamuzi bora. Mzee wa vijisenti proves me am right on ths!

Am saying ths coz nimeishi nao, iwe nje au ndani ya darasa, ktk maisha ya kawaida kabisa na nimejifunza alot frm wao kitu ambacho kinatutofautisha sisi (the rest of east africans) na wao. Mind you, appreciation ktk maisha sio kwamba unajidharau ww na kuwatukuza/kumtukuza mwingine, pengine ni njia ya ww kujifunza mawili matatu from wao. Ain't saying ths on the basis to disrespect Hutu's, am sure they have their own potential traits as well!

Kuna mchangiaji hapo juu kasema wale ambao hamjui historia ya Rwanda that is to say Tsusi, that is to say historia ya Hutu, Twa, na Tsusi mwaweza pinga my dictum, ila thats the fact, kwa kuanzia tafuteni kitabu; Comprehandling and Mastering African Conflicts- Prof. Adebayo Adedeji (Editor), then kwa kuanzia utaelewa nini namaanisha in as far as Tsusi are concerned!
Kama kuna mtu yuko interested zaidi na ninayo sema na pngine kutafuta proof/facst ya kile nichosema embu fwatilieni pale UDOM, hawa jamaa wanaka-association kao flani hvi, embu kufanyanyeni U-shushushu mtaamini kuwa wenzetu sio vilaza (sor for saying ths), kama wengi wetu sie!

Inamaana UDOM hiyo association ni ya watusi au wanyarwanda?

Kama ni ya wanyarwanda sawa na kuunga mkono jamaa ni bright kwani wanatukuza umoja wao kama wanyarwanda.
Ila kama ni watusi tu basi huo ubright wao ni wakuwa wabaguzi( UBRIGHT HUO HAUTUSAIDII NA NIWAKULAANIWA) na kwa hali hiyo ata Chenge na MAFISADI wengine pia ni mabright katika UFISADI.
 
The history of Rwanda and Burundi, that is to say the history btn Tsusi's and Hutu's (bila kuwasahau Twa"s), ni ndefu sana, kwa wengi wetu ambao tumeijui in the post-genocide of 94, without any doubt tunakosa a lot of stuffs whc happened tangu enzi za Wabelgiji (I), na kabla ya hapo.
When we avail ourselves wth that history may be frm that note tutakuwa na a-glimpse abt what exactly tantamounts to the current status quo. As a i noted earlier, kwa somehow Kagame is taking the wrong step kwa kuwapeleka into exiles hawa makamanda wake, coz at the end of te day anythng whc goes around comes around.

Kumbe unajua, sasa hicho ndicho wana wanataka JF . RECONCILIATION
na sasa wanakupa mfano wa Mandela hivi angeamua kufukuza makaburu hali ingekuwaje leo?
 
Mfano ulioutoa sio wa kuigwa au hata kufikia kuita watu kuwa ni "bright"! Hiyo hali kama unavyosema ya kujitenga na kuwa na mikakati ya muda mrefu ndio ambayo imewafikisha kwenye machafuko na mifarakano iliyopo sasa. Fikiria kwa mfano kama kila kabila hapa Tanzania likianza kujitenga na kujiwekea mikakati ya kutawala makabila mengine, unadhani tunaweza kuishi kwa amani hapo baadae? Hakuna kabila au mtu aliye bora kuliko mwingine...hii ni kasumba ambayo imesababisha matatizo na maafa mengi hapa duniani. Kwahiyo kama hao unaowaita "bright" wataendelea na kasumba ya kubaguana na kuweka mikakati ya muda mrefu kwa wajukuu na vitukuu kama unavyodai; nasikitika kuwa mikakati hiyo hiyo itazidi kuwaponza kwa muda mrefu.

Huyo jamaa atakuwa ana matatizo na ubright ajuhi kuwa ata mwizi ni bright, ata MAFISADI ni bright na kila mtu ni bright kwa jambo lake analoamua.
Ila tofauti ni kuwa UBRIGHT wako una manufaa gani kwa jamii yako? ilo ndio lamuhimu hasa.
 
Babu yangu Mwanakijiji aliwahi kusema haya na kuona ukanda wa maziwa makuu jinsi gani hata Tanzania inashiriki kwa ajili ya kuweka au kutumia bandari, Huyu jamaa alisema juu ya ushafirishaji wa silaha ambalo hata UN iliwahi kusema juu ya mambo haya
 
Jamani haya mambo wakati mwingine ni magumu siyo rahisi rahisi...
Unaweza ukute kuna kikundi cha watu nadani ya serikali yetu kinalipwa kifisadi na watu fulani wenye maslahi yao kwa Kagame japo siyo rasmi, kwa Kagame yeye ataona ni Tanzania tu kwa ujumla. Msisahau kashfa ya Tz kuwapitishia silaha waasi wa DRC?
hilo nalo linawezekana sasa hivi TZ kuna vichwa watu wapo kimaslahi zaidi.
 
Guys!
U-bright ninao uzungumzia mimi ni zaidi ya ule unaoujua/fikiria ww (wa darasani), am talking here abt how they are focused and being determined kwa kile ambacho wao wana nuia iwe ktk miaka 20 au hata 100 ijayo (kwa faida ya wajukuu/vijukuu). Akili za darasani is one thing, na akili za maisha is another thng, kuwa na first class/au kwenda 'red brick' education institutions isn't such a guarentee ya ww kuwa kiongozi bora au mwenye maamuzi bora. Mzee wa vijisenti proves me am right on ths!

Am saying ths coz nimeishi nao, iwe nje au ndani ya darasa, ktk maisha ya kawaida kabisa na nimejifunza alot frm wao kitu ambacho kinatutofautisha sisi (the rest of east africans) na wao. Mind you, appreciation ktk maisha sio kwamba unajidharau ww na kuwatukuza/kumtukuza mwingine, pengine ni njia ya ww kujifunza mawili matatu from wao. Ain't saying ths on the basis to disrespect Hutu's, am sure they have their own potential traits as well!

Kuna mchangiaji hapo juu kasema wale ambao hamjui historia ya Rwanda that is to say Tsusi, that is to say historia ya Hutu, Twa, na Tsusi mwaweza pinga my dictum, ila thats the fact, kwa kuanzia tafuteni kitabu; Comprehandling and Mastering African Conflicts- Prof. Adebayo Adedeji (Editor), then kwa kuanzia utaelewa nini namaanisha in as far as Tsusi are concerned!
Kama kuna mtu yuko interested zaidi na ninayo sema na pngine kutafuta proof/facst ya kile nichosema embu fwatilieni pale UDOM, hawa jamaa wanaka-association kao flani hvi, embu kufanyanyeni U-shushushu mtaamini kuwa wenzetu sio vilaza (sor for saying ths), kama wengi wetu sie!

Ama una maana gani?
Maana kipindi kile cha wakimbizi miaka 1994, niliwahi kukaa na mtusi mmoja akanipa hadithi kwamba mission yao ni kutawala nchi za afrika mashariki pamoja na Congo.

Naomba ileweke ni hadithi za yule mtusi na si zangu, nikiwa nimetulia namsikiliza akaendelea.

Mhasisi mkuu wa yote hayo ni Mseveni na Kagame na akaendelea kusema Mseveni ni mtusi na si mganda kama wengi wanavyofikiri, akatabanaisha Congo wameivamia kagame na mseveni na wamekamilisha hilo.

Na targeti yao ya pili ni Tanzania, ktk kikao chao cha faragha jinsi gani ya kuitia Tz ktk mikono yao wakaona kimbinu za kivita kama ilivyo Congo si rahisi, ila kwa kenya ni rahisi kuwezekana. Na wakaweka mbinu
a). wataingia taratibu kimasomo na kujipenyeza ktk siasa, kitu ambayo ni ngumu kutekelezeka ama itachukuwa mda mrefu sana.

b). kuanzisha shirikisho, na ambalo likifanikiwa na Rais lazima awe mtusi, maana hata kwa mara ya kwanza , ya pili ya tatu lazima atapatikana mtusi maana ni nchi 3 out 5 kwa hiyo probability ya kumpata mtusi ni kubwa.

Sasa akishaingia mtusi kama rais atajiimalisha kijeshi kwa upande wa majimbo ya rwada ,uganda na burundi na anavuruga na kutawala kidikiteta. Mchezo unakuwa umelala.
Hiyo ni stori according yule mtusi rafiki wa mwaka 1994. Labda huyu jamaa hapa ndicho wenda anaongelea.
 
Usijidanganye Bongolander, Tanzania ya hivyo haipo sasa hivi. Mungu aepushie mbali nchi hii ilivyosambaratika na maufisadi, uzembe,kununua silaha fake na kukosa uzalendo kuingia vitani. Kama vita vya ndani kupigana na ufisadi na rushwa viongozi wanafanya usanii vya risasi tutaweza?

Chakaza umechakaza kweli kweli.Tulishinda vita ya nduli kwa sababu wakati huo tulikuwa tunashinda vita ya ndani dhidi ya wahujumu uchumi.Sasa hivi tunashindwa vita ndogo ya ufisadi wa saruji ya kujenga vyoo.Kagame akivunja daraja la Rusumo, itakuwa kazi kweli kulijenga kwa sababu saruji na nondo zote zitaishia njiani kabla ya kufika.Nidhanu na uzalendo vilienda na Nyerere.
 
Kagame ndivyo alivyo, anaogopa kuondolewa madarakani huyo, hata hawa washtakiwa waliochiwa huru ICTR anataka awakamate na awamalize.

...taja mmoja tuu aliyeachiwa ICTR then kagame anataka akamatwe tena.
 
Ama una maana gani?
Maana kipindi kile cha wakimbizi miaka 1994, niliwahi kukaa na mtusi mmoja akanipa hadithi kwamba mission yao ni kutawala nchi za afrika mashariki pamoja na Congo.

Naomba ileweke ni hadithi za yule mtusi na si zangu, nikiwa nimetulia namsikiliza akaendelea.

Mhasisi mkuu wa yote hayo ni Mseveni na Kagame na akaendelea kusema Mseveni ni mtusi na si mganda kama wengi wanavyofikiri, akatabanaisha Congo wameivamia kagame na mseveni na wamekamilisha hilo.

Na targeti yao ya pili ni Tanzania, ktk kikao chao cha faragha jinsi gani ya kuitia Tz ktk mikono yao wakaona kimbinu za kivita kama ilivyo Congo si rahisi, ila kwa kenya ni rahisi kuwezekana. Na wakaweka mbinu
a). wataingia taratibu kimasomo na kujipenyeza ktk siasa, kitu ambayo ni ngumu kutekelezeka ama itachukuwa mda mrefu sana.

b). kuanzisha shirikisho, na ambalo likifanikiwa na Rais lazima awe mtusi, maana hata kwa mara ya kwanza , ya pili ya tatu lazima atapatikana mtusi maana ni nchi 3 out 5 kwa hiyo probability ya kumpata mtusi ni kubwa.

Sasa akishaingia mtusi kama rais atajiimalisha kijeshi kwa upande wa majimbo ya rwada ,uganda na burundi na anavuruga na kutawala kidikiteta. Mchezo unakuwa umelala.
Hiyo ni stori according yule mtusi rafiki wa mwaka 1994. Labda huyu jamaa hapa ndicho wenda anaongelea.

.....endelea na bogus consipiracy theory zako,na hii ndio sababu nzuri sana kwa kina Kagame kujiweka sawa kila siku kwa ajiri ya watu wa aina yako,yaani hizi idea sijui mliletewa na nani? na unajua kabisa unaongea uwongo eti ni story ya mtutsi

Ushenzi uliotokea 1994 ni ignorance masses kama wewe mliodanganywa kwa story za aina hii mkakubali,kagame hana interest ya kuvamia TZ na wanamheshimu sana Nyerere na Watanzania na hata ukiangalia strategy kubwa zao sasa ni kushirikiana zaidi na TZ kuliko hata Kenya & Uganda,na ujue kupigania nchi yako ili urudi kutoka ukimbizini na kufanywa second rate citizen for generation sio kupenda power na ina make sense to any decent human being

Na ujue Kagame hakuingia Congo kwa ajiri ya theory zenu za kutaka madini,kumwondoa Mobutu na kuwanyuka extremist hutu waliokimbilia huko was the right thing to do,tatizo alishirikiana na kabila senior mwenye akili fupi kama wewe, Congo wameelewa hilo ndio maana sasa wamerudisha balozi na wanashirikiana kila kitu na hata kuwachapa ndugu zako wa FDLR,.

Anyway kwa sasa hakuna kitu kinaitwa tutsi/hutu ndani ya Rwanda na ni kosa punishable by law kutumia,wenzako wanasonga mbele hakuna kuangalia nyuma na ukileta theory zako za genocide watakushughulikia to the maximum
 
.....endelea na bogus consipiracy theory zako,na hii ndio sababu nzuri sana kwa kina Kagame kujiweka sawa kila siku kwa ajiri ya watu wa aina yako,yaani hizi idea sijui mliletewa na nani? na unajua kabisa unaongea uwongo eti ni story ya mtutsi

Ushenzi uliotokea 1994 ni ignorance masses kama wewe mliodanganywa kwa story za aina hii mkakubali,kagame hana interest ya kuvamia TZ na wanamheshimu sana Nyerere na Watanzania na hata ukiangalia strategy kubwa zao sasa ni kushirikiana zaidi na TZ kuliko hata Kenya & Uganda,na ujue kupigania nchi yako ili urudi kutoka ukimbizini na kufanywa second rate citizen for generation sio kupenda power na ina make sense to any decent human being

Na ujue Kagame hakuingia Congo kwa ajiri ya theory zenu za kutaka madini,kumwondoa Mobutu na kuwanyuka extremist hutu waliokimbilia huko was the right thing to do,tatizo alishirikiana na kabila senior mwenye akili fupi kama wewe, Congo wameelewa hilo ndio maana sasa wamerudisha balozi na wanashirikiana kila kitu na hata kuwachapa ndugu zako wa FDLR,.

Anyway kwa sasa hakuna kitu kinaitwa tutsi/hutu ndani ya Rwanda na ni kosa punishable by law kutumia,wenzako wanasonga mbele hakuna kuangalia nyuma na ukileta theory zako za genocide watakushughulikia to the maximum

mkuu mie nilisimuliwa

na ndiyo nilikuwa najaribu kuona huyu aliyesema watusi wana akili sana labda ndo ana maana hiyo.
Binafsi siamini hiyo hadithi na wala haitawezekana kutokea,labda hukunisoma naamanisha nini.Na hata hivyo kagame ajiweke sawa dhidi ya nani? ya wahutu ama watanzania??

Weye hebu eleza kidogo.

Wahasi walikimbilia Congo, kwani hao wahasi alikuwa Mobutu? mbona walienda hadi kumtoa rais?? badala ya kuwashughurikia wahutu waiokimbilia huko.?
 
.....endelea na bogus consipiracy theory zako,na hii ndio sababu nzuri sana kwa kina Kagame kujiweka sawa kila siku kwa ajiri ya watu wa aina yako,yaani hizi idea sijui mliletewa na nani? na unajua kabisa unaongea uwongo eti ni story ya mtutsi,ushenzi uliotokea 1994 ni ignorance masses kama wewe mliodanganywa kwa story za aina hii mkakubali,kagame hana interest ya kuvamia TZ na wanamheshimu sana Nyerere na Watanzania na hata ukiangalia strategy kubwa zao sasa ni kushirikiana zaidi na TZ kuliko hata Kenya & Uganda,na ujue kupigania nchi yako ili urudi kutoka ukimbizini na kufanywa second rate citizen for generation sio kupenda power na ina make sense to any decent human being,na ujue Kagame hakuingia Congo kwa ajiri ya theory zenu za kutaka madini,kumwondoa Mobutu na kuwanyuka extremist hutu waliokimbilia huko was the right thing to do,tatizo alishirikiana na kabila senior mwenye akili fupi kama wewe,Congo wameelewa hilo ndio maana sasa wamerudisha balozi na wanashirikiana kila kitu na hata kuwachapa ndugu zako wa FDLR,anyway kwa sasa hakuna kitu kinaitwa tutsi/hutu ndani ya Rwanda na ni kosa punishable by law kutumia,wenzako wanasonga mbele hakuna kuangalia nyuma na ukileta theory zako za genocide watakushughulikia to the maximum
hapa ndipo ninapotilia shaka kwamba we si mwenzetu,ni walewale watusi,acheni mambo yenu ya ubaguzi then amani na demokrasia ya kweli itapatikana rwanda,unajua hiyo kwenda congo si tu kuwanyuka wahutu wala FDRL,ni maisha mangapi ya wa congo yamepotea?mpaka sasa inahisiwa ni mil,6 au zaidi,angalia akili zenu zilivyo mbovu wacongo hawana habari na biashara zenu za kuuana kisa makabila,lakini ni hivi sasa wamekiona cha moto,nyie mnaenda kuwafuata wahutu kule kwenye makambi lakini wakongo milion and milion wanaathirika na hivyo vita,hiyo sheria unayosema ya divinism inatumika upande mmoja tu kwa wahutu.
 
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=uRAXvtW-7ew"]YouTube- Paul Kagame,President of Rwanda Pt 1[/ame]
tizama hiyo na usikie utaona nani ana akili za makamasi,nawewe ndiyo unayemtetea.
 
YEYE kama anadhani sisi ni waKongo anaowasumbua amenoa, anakijua cha nduli Idd IDD Amini ,

Hivi tunajiamini kiasi hicho ilhali JWTZ iliyomwondoa IDD Amin ni dunia tofauti na JWTZ ya sasa?Na tofauti kubwa zaidi ni katika mazingira ya utawala:JWTZ ilomwadhibu Amin ilikuwa ni taasisi yenye nidhamu chini ya utawala wa Rais mwenye nidhamu Julius Nyerere.JWTZ ya sasa licha ya kuhujumiwa kwa kuuziwa silaha mitumba katika dili za mafisadi,iko chini ya utawala wa kihuni,usiojali maslahi ya nchi bali ya mafisadi.

Pia vita ina gharama kubwa sana,na kwa GDP yetu ya kichovu.....
 
inawezekana lakini hilo la kutawala kidictator hatuitaji,amani ni zaidi ya yote mazee we unaropoka sababu hujawahi onja adha ya vita mzee,muulize koba atakusimulia zaidi,sasa kuwa na rais kama kagame ndio mwanzo wa kusababisha vita nchini kwetu hatumuhitaji.
bwa nkubwa u donnu me unajuaje kama sijaonja radha ya vita? weye vipi? hakuna raisi bora kama kagame...kuna dikteta kama JK? au unafikiri kuwa dikteta mpaka uue watu kwa upanga au risasi kama mnavyoambiwa ya Amin....
 
Back
Top Bottom