nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 147
Jamani JK vp tena?! Walikua wanajadili nini tena au ndo anamtaka radhi baada ya kukutaa sera zake za ushoga ninawasiwasi na mada waliyokua wanataka kujadili!!!.
Anyway usilojua ni sawa na usiku wa giza!!!
Hivi MARA J.K AKATANGAZA KUKUBALIANA NA CAMEROON ili kunusuru uchumi wa TZ, what are you going to do?
wakunga ni akina nani?Usitukane wakunga ungali uzazi upo!