Elections 2015 Rais Jakaya Kiwete ashitakiwa Mahakama ya Kimataifa ya ICC

Utatokwa povu sana. Safari hii jiandae kisaikolojia tu maana hamna namna nyingine isipokuwa ccm kuwa chama pinzani.

Mmezoea kuiba ndio maana mnasema hamna kulinda kura... Kura tutapiga na kuzilinda tutazilinda maana ni zetu


Kwa Hesabu gani? Wagombea Ubunge wenyewe wako 120 ukijitahidi utapata 25%
 
Kuna siku niliandika uzi wa kuwalaumu viongozi wa ukawa na niliwaona ni kama viongozi walio lala
Lakini kwasasa nimewaona wameamka na wanakwenda vizuri na wametumia nafasi zao kama vile inavyo stahili kuwakomboa watanzania. kwahilo tunashukuru sana. najua ukawa inabahati sana ya kupendwa na watanzania tena bure na hii bahati naomba waitumie vizuri hata kama watatokea watu ambao wataendelea kukisaliti ukawa lakini atatokea shujaa mmoja au wawili wakuikomboa tanzania na sisi tukiwa nyuma yao na swala la ukombozi huwa halimuhusishi mtu mmoja tu hata wananchi nao inabidi wajitolee hata kulinda kura.
 

Tanzania haina jeuri ya kujitoa coz wanajua kuna mirija kiana itazibwa na tunavopenda dezo...
 
Wameshajijuwa kuwa wameshindwa sasa wanatafuta huruma!

Hizzo mahakama na huko wanakopeleka malalamiko wana watu hapa hapaa nchini na wanaona ujinga wote unaofanywa na chadomo.

Kwanza inafaa washitakiwe wao kutuwekea mgomba urais ndondocha.
 
Wameshajijuwa kuwa wameshindwa sasa wanatafuta huruma!

Hizzo mahakama na huko wanakopeleka malalamiko wana watu hapa hapaa nchini na wanaona ujinga wote unaofanywa na chadomo.

Kwanza inafaa washitakiwe wao kutuwekea mgomba urais ndondocha.

Mwaka huu itakuingia mpaka huko kunako na haya mabadiliko yatakubadilisha hadi tabia maana umezidi kuropoka kama nape, kikote na mkapa
 
hapo kuna malalamiko yoyote. Hawa watu hawana mchezo watamwita uholanzi aanze kula kibano. hawatanii kabisa

Kinachofanyika ni urofa na upumbavu, chadema wanatumia mambo ya kitoto na wanakuwa kama hawakwenda shule, wenzetu wanajua kila kinacho endelea hapa nchini.
 

CHADEMA hawana wanasheria.Hicho walichopeleka ni malalamiko sio mashtaka.
 
nendeni huko icu lakini nchi yetu hatuwapi iwe nyinyi ama hao icu ...mmeshiñdwa kwenye kura sasa mnaanza kujitoa akiri, mnalo na kumbwela mbwela

ndio kawaida yako unafikiriaga kwa kutumia makalio j.pili ndio mwisho wenu fisiem na icc mtapelekwa wengi sn.
 


Ni mtu gani mwenye akili timamu asiyemjua J. Isango? Kazi yake ya msingi ni ipi? Muulizeni uchochezi kaacha lini? Je kiherere chake cha kutumia kalamu yake vibaya ni mara ya kwanza? Kwa sababu hajui yampasayo kutenda ila anaongozwa na jazba ambazo jibu lake ni kukurupuka. Muoneeni huruma J. Isango maana frastrutions zitammaliza. Hiyo ni mihemuko ya kauali ya mkosaji ili naye afurahishe genge. Watamuonaje mabwana zake kama anafanya kazi? Katumwa huyo kuharibu nchi yake.
 
Nendeni huko ICU lakini nchi yetu hatuwapi iwe nyinyi ama hao ICU ...mmeshiñdwa kwenye kura sasa mnaanza kujitoa akiri, mnalo na kumbwela mbwela

Wenzako wamepiga vyao na wameliquidate Biashara wewe hata Gari huna
 

Attachments

  • 1445319708105.jpg
    80.2 KB · Views: 371

gambalakobe,
Ni mtu gani mwenye akili timamu asiyemjua J. Isango? Kazi yake ya msingi ni ipi? Muulizeni uchochezi kaacha lini? Je kiherere chake cha kutumia kalamu yake vibaya ni mara ya kwanza? Kwa sababu hajui yampasayo kutenda ila anaongozwa na jazba ambazo jibu lake ni kukurupuka. Muoneeni huruma J. Isango maana frastrutions zitammaliza. Hiyo ni mihemuko ya kauali ya mkosaji ili naye afurahishe genge. Watamuonaje mabwana zake kama anafanya kazi? Katumwa huyo kuharibu nchi yake.
 
ICC, fanyeni haraka plz...!!! Huyu ndio kinara wa wizi na kauli zake zitaleta vita Tanzania...!!! Aangaliwe kwa umakini mkubwa, sbb ANAITUMIA NEC na kufanya atakavyo, na wananchi hawamtaki, wala CCM hawaitaki kabisa..

So, ICC nyie kuleni sahani moja na mwenyekiti wa CCM, ndio huyo ataleta hatari sana, sbb naona anaiendesha NEC atakavyo, kama NEC ni CCM vile
 
35-45 sio vijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…