Rais Hussein Mwinyi: Chanjo ya korona ipo pale pale, kama mtu hataki kuchanjwa hiyo ni juu yake

Rais wa Zanzibar mh Hussein Mwinyi amesema kuwa chanjo kwa Zanzibar ipo pale pale na kuongeza kuwa kama kina mtu hataki kupewa hiyo chanjo ni juu yake.

Na akasema kuwa isitokee watu wakaanza kuvumisha urongo kuwa hiyo chanjo imesababisha watu waliochanjwa kupoteza maisha.

Kama wazungu wananchanjwa inakuwaje sisi tuiogope kuchanjwa?

Hii hapa clip yake akiunguruma
View attachment 1801761
Nidhamu ya woga! Asingediriki kuleta chanjo hiyo awamu ya 5 na hija hawakwenda!
 
Vyovyote vile iwavyo, lakini ukweli ni lazima usemwe. Chanjo za corona siyo salama kwa 100%.
Kwa hali inavyoondelea hasa hasa nchini Marekani, kuna watu wamepata side effects nyingi sana miezi michache baada ya kupokea chanjo.
Side effects hizo ni pamoja na blood clots kwa baadhi ya watu.
Brain tumors kwa baadhi ya watu.
Insomnia kwa baadhi ya watu.
Severe headaches kwa baadhi ya watu na matatizo mengine ya kiafya.
Mbaya zaidi baadhi ya Madaktari walinukuliwa wakisema mtu akipata hizi side effects zinakuwa ni za kudumu, yaani hazina tiba ya moja kwa moja zaidi tu ya kupewa dawa za kutuliza maumivu.
Kwa maneno mengine maisha ya hawa watu walioathirika na chanjo za corona ndiyo yamebadilika mazima, yaani ni mpaka kifo kitakapo wachukua. Hizi siyo porojo wala siyo habari za uzushi, haya ni mambo yanayotokea live huko kwa wenzetu. Lakini kwa sababu chanjo za corona zinachukuliwa kisiasa zaidi na mataifa makubwa duniani ndiyo maana utaona taarifa nyingi zinazohusu madhara ya hizo chanjo zinapuuziwa au kuminywa.
Mfano ukiingia Twitter au Facebook na ukiandika kitu chochote negative kuhusu corona na chanjo zake unakuwa banned. Hili gonjwa la corona linatumiwa na mataifa makubwa kuipeleka dunia kwenye kitu inaitwa totalitarianism, yaani itafika mahali super powers wakisema au kuamua jambo kwa dunia nzima hakuna atakayesimama na kupinga. Amini, msiamini, hili gonjwa la corona na chanjo zake, linatupeleka kwenye new world order na kisha 666. Siku zinakuja kutakuwa hakuna kusafiri, hakuna kununua wala kuuza kama huna chanjo.

Kama alivyosema Rais Mwinyi, kila mtu ataamua mwenyewe, mimi binafsi nimeshaamua kuwa kamwe sitapokea chanjo ya corona. Kama ni kwenda Ulaya au Asia au kokote kule nje ya nchi basi mimi sina haja.
 
Huku nchi nilipo nisha chanjwa Mara zote mbili. Sasa huyo mchawi wenu endeleeni kumlindia legacy
Kwanini mchawi asiwe huyo aliekuaminisha kwamba hio chanjo itakukinga na mdudu anayebadilika badilika..

By the way hongera kwa ujasiri uliokuwa nao kuchoma chanjo ambayo ina maswali mengi..ila pia usijione mjanja maana hujui na wote hatujui yaliokuwa nyuma ya pazia ya ugonjwa huu.:.kwa mfano nasikia ukiweka coin inanasa sehemu uliochoma kulikoni unamajibu ya hili?!
 
We anza kabixa safari usije chelewa bure
Mh Mwinyi tafadhali Sana tuwekee utaratibu mzuri watu wa bara wa kuja dungwa ,hatuwezi kaa na akina Kinjekitile hapa bara waletao Mambo ya nyungu ,KWA kauli yako anaetaka apate asietaka abaki na Mambo yake nyumbani ,alisema mwendazake , KWA gharama yoyote watu wangu wa karibu watachanjwa
 
Asituambie kuwa kama wazungu wamechanjwa wazungu ndio kina nani????kwa hiyo kila wanachofanya wazungu na sisi tufanye??????GADEMIT
 
Aliaminisha vingi na bado vinaishi, alipinga barakoa na unaona huyo Mwinyi anavaa barakoa akienda nje ya nchi tu na huyo Samia utafikiri yeye ndio mwenye corona maana anapokuwepo yeye ndio watu huvaa barakoa ila asipokuwepo watu hawana time na barakoa.
NILICHOKUWA NAMPENDEA RAIS WANGU JPM NI MISIMAMO THABITI,WALIOKO SASA HAWAJIELEWI ISSUE YA BARAKOA INAFANYIKA KINAFIKINAFIKI WAMEKWAMA NA HIYO CHANJO YAO SIJUI WATAMCHOMA NANI,WATU WAMETINGISHWA KIDOGO TU NA WHO WAMETIKISIKA.

UNA MTU ASHAWAHI KUNIAMBIA WAZANZIBARI NA WASWAHILI HAWAPENDAGI MISUKOSUKO NDO MANA WAMEKUBALI CHANJO IINGIE TU.
 
Back
Top Bottom