uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,669
- 26,419
Itakuwa alikuwa anamaanisha bomba la mafuta na sio products nyingine kama gas
Sent using Jamii Forums mobile app
Good thinking
Itakuwa alikuwa anamaanisha bomba la mafuta na sio products nyingine kama gas
Sent using Jamii Forums mobile app
Bomba refu ambalo liko heated duniani.Ni kweli bomba hili ni refu kulikoo yote duniani...
Wazee waliobobea... Ufafanuz....
Px
Unajua maana ya crude oil?Itakuwa alikuwa anamaanisha bomba la mafuta na sio products nyingine kama gas
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo una chuki zako. Unadhani hatukumsikia? Kama alisema inawezekana amewekaje reference ya bomba la India km 600?Acha kupotosha, amesema ''INAWEZEKANA''. Punguza chuki.
Hivi mbona utadhani mmesikiliza peke yenu? Sikiliza tena utaona suala la "heated" kaliweka baada ya kutaja urefu na ulinganisho.ni bomba linalosafirisha mafuta yaliyopashwa moto..msiwe hasi kila muda
Ndio Uganda inatarajia kuanza kuchimba mafuta yake huko Hoima na kuyasafirisha nje kupitia Bandari ya Tanga hapa nchini mwetu TanzaniaJamani kuna mtu nabishana nae hapa eti hilo bomba ni kusafirisha crude oil toka bandarini Tanga au toka Uganda kuja bandarini Tanga manake jamaa anasema Uganda inachimba mafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu yupi?!mleta mada au aliyesema?!Mimi huwa simuamini huyu
Kutika Uganda kuja bandarini Tanga. Uganda ina mafuta inataka kuuza.Jamani kuna mtu nabishana nae hapa eti hilo bomba ni kusafirisha crude oil toka bandarini Tanga au toka Uganda kuja bandarini Tanga manake jamaa anasema Uganda inachimba mafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Uganda wanataka kuanza kuchimba mafutaJamani kuna mtu nabishana nae hapa eti hilo bomba ni kusafirisha crude oil toka bandarini Tanga au toka Uganda kuja bandarini Tanga manake jamaa anasema Uganda inachimba mafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Crude oil or gas?Katika hotuba yake kwenye uzinduzi wa bomba la mafuta kasema kuwa "ameambiwa bomba refu duniani lipo india lina kilometa 600, na hivyo bomba la kutoka uganda kuja Tanga ndio litakua refu zaidi duniani"
Nadhani wasaidizi wake hawakuingia hata google fasta kupekenyua. Bomba refu duniani lina km4107 linatoka Urusi, poland mpaka Ujerumani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Toka Uganda to tangaJamani kuna mtu nabishana nae hapa eti hilo bomba ni kusafirisha crude oil toka bandarini Tanga au toka Uganda kuja bandarini Tanga manake jamaa anasema Uganda inachimba mafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza alikuwa anazungumzia bomba la mafuta na pia alitumia neno nadhaniHawa wasaidizi wanatakiwa ama wapimwe mkojo au wawe wanafanya jitihada mathubuti kuhakikisha mtukufu Rais anapata taarifa sahihi maana hotuba hizi ni muhimu ktk kumbukumbu za sasa na vizazi vijavyo.