kamanda mbigi
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 1,241
- 1,546
Katika hotuba yake kwenye uzinduzi wa bomba la mafuta kasema kuwa "ameambiwa bomba refu duniani lipo india lina kilometa 600, na hivyo bomba la kutoka uganda kuja Tanga ndio litakua refu zaidi duniani"
Nadhani wasaidizi wake hawakuingia hata google fasta kupekenyua. Bomba refu duniani lina km4107 linatoka Urusi, poland mpaka Ujerumani.
Sent using Jamii Forums mobile app
==========
Usahihi: Rais hajasema lijengwalo ndio bomba refu zaidi duniani
Nadhani wasaidizi wake hawakuingia hata google fasta kupekenyua. Bomba refu duniani lina km4107 linatoka Urusi, poland mpaka Ujerumani.
Sent using Jamii Forums mobile app
==========
Usahihi: Rais hajasema lijengwalo ndio bomba refu zaidi duniani