motonkafu
JF-Expert Member
- Dec 2, 2015
- 1,019
- 703
Mi kabla sijamkosoa m2 huwa nasoma ama kusikiliza mara mbili mbili watu wanazungumzia mafuta yeye kaleta mambo ya gesHuna skills za kusikiliza kwa makini mkuu. Rais alikuwa anaongelea bomba linalosafirisha HEATED CRUDE OIL kuwa hilo la India ndiyo lenye urefu mkubwa kwa sasa. Mtapindisha sana ukweli lakini watu wameshawajua nia yenu siyo nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app