matella3
Member
- Nov 24, 2015
- 88
- 62
Wewe ndio hukusikiliza vizuri,alisema bomba refu duniani ambalo linasafirisha oil iliyochemshwa kwa tempereture fulani,hilo ulilotaja liko kama la tazama halipashi moto mafuta kuyafanya yatembee kwa wepesi zaidiKatika hotuba yake kwenye uzinduzi wa bomba la mafuta kasema kuwa "ameambiwa bomba refu duniani lipo india lina kilometa 600, na hivyo bomba la kutoka uganda kuja Tanga ndio litakua refu zaidi duniani"
Nadhani wasaidizi wake hawakuingia hata google fasta kupekenyua. Bomba refu duniani lina km4107 linatoka Urusi, poland mpaka Ujerumani.
Sent using Jamii Forums mobile app
With that qualification it makes sense.
Lakini alitaja hiyo qualification?
There is a Reuters article on this.
Uganda, Tanzania sign deal for world's longest heated pipeline
Sent from my Kimulimuli
Mnabishana hapa bure kupeana ufafanuzi WA nyongeza. Nina hakika clips zipo zinazobainisha alichosema. Tafuteni hizo video muache kupoteza mudaMuwe mnasikiliza sio mnarukia rukia vitu ambavyo hamvijuii.
It is LONGEST HEATED PIPELINE.
"Bomba refu ambaloafuta yake yana chemshwa huku yana sukumwa"
Mataizo ya kutoroka shule ndio maana mnaandika pumba.
Anayetetea UPUMBAVU, hali akijua kuwa ni UPUMBAVU, yeye anakuwa MPUMBAVU ZAIDI.Huna skills za kusikiliza kwa makini mkuu. Rais alikuwa anaongelea bomba linalosafirisha HEATED CRUDE OIL kuwa hilo la India ndiyo lenye urefu mkubwa kwa sasa. Mtapindisha sana ukweli lakini watu wameshawajua nia yenu siyo nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nafikiri hajakosea huwa mara nyingi inabidi tufahamu je hao anaowahutubia wana kiwango gani cha elimu asilimia 98 waliokuwa wanamsikiliza sidhani ka bomba la mafuta refu kuliko yote liko wapiHawa wasaidizi wanatakiwa ama wapimwe mkojo au wawe wanafanya jitihada mathubuti kuhakikisha mtukufu Rais anapata taarifa sahihi maana hotuba hizi ni muhimu ktk kumbukumbu za sasa na vizazi vijavyo.
An empty stomach is not a good political advisor,,,,,,!Muwe mnasikiliza sio mnarukia rukia vitu ambavyo hamvijuii.
It is LONGEST HEATED PIPELINE.
"Bomba refu ambaloafuta yake yana chemshwa huku yana sukumwa"
Mataizo ya kutoroka shule ndio maana mnaandika pumba.