NYANYADO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 3,732
- 2,324
Mimi huwa simuamini huyu
Tangu alipotaja kuwait
Mimi huwa simuamini huyu
Mkuu una majibu mazuri sana. Yani watu wanaudhi sana, sijui wanasikilizia habari maskani!!??Mkuu shule hua mnaenda kufanya nini, hata kusiliza ukaelewa huwezi, kwa faida yako na wengine, rais hakusema ni refu bali alisema huenda likawa bomba refu zaidi duniani la aina hiyo(heated crude oil pipeline) yaani bomba la mafuta ghafi linalosafirisha mafuta wakati huo huo yanachemshwa. Na akasema kwa record zake bomba la aina hiyo lenye urefu mkubwa ni 600km lipo India, kwa maana hiyo hili la Uganda - Tanzania huenda likawa ndio refu kuzidi yote. Kwa msaada zaidi fungua link hapo chini.
Uganda, Tanzania sign deal for world's longest heated pipeline - Reuters Africa
https://www.google.com/url?sa=t&sou...ggrMAA&usg=AFQjCNHF01lVRQY8DLYYgbMZFzELsut7EA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hivyo mpaka sasa bomba refu zaidi lakusafirisha crude oil liko America ya kaskazin lenye urefu wa kilometa 3787.2 (source petroglobalnews.com). Labda litakuwa refu kwa Bara la Africa na sii vinginevyo.JPM alisema bomba linalosafirisha crude oil, sio Gas
Itufae Shoe Shine
Acha kupotosha, amesema ''INAWEZEKANA''. Punguza chuki.
Jamani ni Longest HEATED pipeline. Wabongo mnatia hasira nyie.Msemaji wa ikulu akija kusahihisha atasema raisi alikuwa anatania
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi sema inawezekana kichuguu kinalingana na mlima, kisa tuu umetumia neno INAWEZEKANA ndo upunguze ukubwa wa kituko. Hapana, alikuwa anataniaAcha kupotosha, amesema ''INAWEZEKANA''. Punguza chuki.
Muwe mnasikiliza sio mnarukia rukia vitu ambavyo hamvijuii.Katika hotuba yake kwenye uzinduzi wa bomba la mafuta kasema kuwa "ameambiwa bomba refu duniani lipo india lina kilometa 600, na hivyo bomba la kutoka uganda kuja Tanga ndio litakua refu zaidi duniani"
Nadhani wasaidizi wake hawakuingia hata google fasta kupekenyua. Bomba refu duniani lina km4107 linatoka Urusi, poland mpaka Ujerumani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikosea muwe mnakubali...Acha kupotosha, amesema ''INAWEZEKANA''. Punguza chuki.
Muwe mnasikiliza sio mnarukia rukia vitu ambavyo hamvijuii.Magu kila kitu cha Tanzania huwa ni kizuri kupita vyote duniani! Saa ingine anatumia sana uzalendo kuliko facts! Ndiyo maana huwa anasema Tanzania inaweza kuwa DONOR kwa rasilimali ilizonazo. Lakini the facts is they can't. Sijui work out vipi data zake.
Nyumbu hiyo mkuu hawana jema haoAcha kupotosha, amesema ''INAWEZEKANA''. Punguza chuki.
Muwe mnasikiliza sio mnarukia rukia vitu ambavyo hamvijuii.Huwezi sema inawezekana kichuguu kinalingana na mlima, kisa tuu umetumia neno INAWEZEKANA ndo upunguze ukubwa wa kituko. Hapana, alikuwa anatania
Sent using Jamii Forums mobile app
Integrity
Muwe mnasikiliza sio mnarukia rukia vitu ambavyo hamvijuii.Hata hivyo mpaka sasa bomba refu zaidi lakusafirisha crude oil liko America ya kaskazin lenye urefu wa kilometa 3787.2 (source petroglobalnews.com). Labda litakuwa refu kwa Bara la Africa na sii vinginevyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muwe mnasikiliza sio mnarukia rukia vitu ambavyo hamvijuii.Msemaji wa ikulu akija kusahihisha atasema raisi alikuwa anatania
Sent using Jamii Forums mobile app
Muwe mnasikiliza sio mnarukia rukia vitu ambavyo hamvijuii.Vijana wa Lumumba watakuja hapa kumtetea kwamba alikuwa sahihi!!!!
Mafuta gani haya?