Huyu Meko ana kiburi Kama cha Farao, ngoja kwanza apigwe mapigo 9 yaliyobaki ndiyo atatii amri. Pigo la kwanza ndiyo Hilo ameondoka Kijazi msiri wake kwenye mapigo ya rushwa za miradi mikubwa. Kama hukubali jiulize kwa nini alikuwa anamuongeza muda wa kufanya kazi zaidi ya mara 1 hata baada ya kufikisha umri wa kustaafu.