Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,295
- 24,123
Mkuu uwe unapima matamshi ya Rais na kulinganisha mazingira tuliyopo na sababu ya kifo.
Inaweza kuwa ni remorse.
Eng Kijazi need NOT have to die katika mazingira ya ku deny ukweli wa ungonjwa wa corona kwamba upo.
Nina uhakika watu wangevaa barakoa maisha ya watu wengi tu wangeokolewa.
Inaweza kuwa ni remorse.
Eng Kijazi need NOT have to die katika mazingira ya ku deny ukweli wa ungonjwa wa corona kwamba upo.
Nina uhakika watu wangevaa barakoa maisha ya watu wengi tu wangeokolewa.