Rais Dkt. Magufuli kwa Kauli hii sikubaliani nayo na sikuungi mkono pia kwani ina Viashiria vyote vya Dharau na Jeuri pia

Wabongo bwana sijui kwanini hatupendi kabisa kusikia ukweli,

Yaani kwamba kuna mtu anakuzidi na ukakubali haiwezi tokea,

Ila tukiwa na hulka ya kuappreciate talents tutafika mbali sana.
 
Alikuwa anajaribu kuelezea umuhimu na mchango wa marehemu kwa taifa...Mzee Chemistry ilikuwa inaendana na kijazi,mbaya mbovu halafu Kijazi hakuwa anamuogopa Mzee alikuwa anamshauri vzr SAA zingine Mori zikiamka kwenye tumbua tumbua.....sijaona shida sema kuna watu mnamchukia Mzee hata afanye Zuri gani hamtaongea.
Mzee ati mzee mpe jina lingine zuri kuliko hilo.
 
Mkuu si kila kitu cha kumkosoa raisi. Achilia mbali kifo Inawezekana kwa wakati ule hapakuwa na wa kumkabidhi kijiti cha kazi ya kijazi, ila angepatikana tu. Ni kwamba kwa wakati ule 2017 raisi hakuona nani ampe hiyo kazi. Ni kawaida.

Hata kwenye mpira messi bado ana namba kikosi cha kwanza kwa sababu hakuna mchezaji wa kufit nafasi yake kwa sasa. Akipatikana ataachia namba na atapatikana tu hivi karibuni.
 
Nani Ni bora kuliko marehemu Maalim Seif kule Zanzibar ambaye kwa sasa anaweza kuvaa viatu vyake na tukamsahau Maalim?

Nani bora kuliko Mbowe pale CHADEMA ambaye anaweza kuchukua nafasi yake na tukamsahau Mbowe?
 
Nadhani ume interpret vibaya alichosema labda kwa sababu ya uelewa mdogo namna mambo yanavyo fanyika huko juu.

If anything Magufuli was very candid kwenye eulogy yake, alichomaanisha kwa lugha nyingine yeye pekee anaogopa hiyo kazi ya kuendesha nchi bila ya marehemu and he is entitled to that fear.

Marekani senior White House staff wanaita ‘the axis of adults’, raisi ndio anateua ni kawaida hata huko kwao raisi kurudisha retired official kama anadhani watamfaa kwenye kumshauri.

Kazi ya raisi ni kutimiza agenda zake na za chama zilizompatia kura, whereas jukumu la ‘axis of adults’ ni kumsaidia raisi kufanya hizo kazi in line with the law na kumpa mbinu sahihi kutekeleza adhma yake.

Magufuli alichosema yeye binafsi sio patient character kwenye maamuzi, uwepo wa marehemu ulisaidia kutuliza mihemko yake may be because he was so philosophical in his approaches na alijua mbinu za kuongea na Magufuli (not many have mastered that skill based on public fear display za mawaziri na makatibu wakuu wake).

Ila Kijazi alipomshauri na kufuata maelekezo yake, yeye mwenyewe baada ya siku kadhaa anagundua ilikuwa akurupuke; ndio maana akamwita neutralising agent.

Hayo ni moja ya majukumu ya ‘axis of adults’ kazi yao sio kuelewa right and wrong; but how to deal and manage the president personality kwa mustakabali wa taifa na mahusiano ya kimataifa and it is not an easy job ukiwa na raisi kama Donald Trump or Magufuli. You just have to look on the number of senior officials Trump had fired during his tenure, just for opposing his views.

R.I.P Dr Kijazi you must have been a true diplomat mpaka raisi wa nchi aogope pengo lako.
 
Uhuru wa kuandika bana . Sasa Kama mtu kakiri mnabisha nini?

Yawezekana maana Balozi Kijazi alikua anamudu sana JPM watumishi wa ngazi za juu wanafahamu .
 
Unajiskiaje kuona uzi upo mpaka sasa!??? Watoto wa lumumba mpo kama mandondocha wajinga nyie "eti futa uzi" jamiiforum ya shemeji yako hii?
Na waambie pia huu Uzi wangu tayari hata Mhusika mwenyewe Mkuu pamoja na Wasaidizi wake baadhi umeshawafikia na wameusoma.

Ikitokea pia wakitaka hata Kuniua kwakuwa Uzi umewakosoa kwa kusema Kwangu ukweli kupitia Hoja zangu nipo tayari Kuuwawa nao.

Hata kuambiwa Ukweli au Kukosolewa juu ya Jambo fulani ni Ishara ya Upendo ( Kupendwa ) Kwako ila kwa Mpumbavu na Wapumbavu wenzake lazima watachukia tu.
 
Wapo na hakuna haja ya kuvaa viatu vya watu wengine.
Nani Ni bora kuliko marehemu Maalim seifu kule Zanzibar ambaye kwa sasa anaweza kuvaa viatu vyake na tukamsahau Maalim?

Nani bora kuliko Mbowe pale chadema ambaye anaweza kuchukua nafasi yake na tukamsahau Mbowe?
 
Kauli HIYO ya Hakuna aliyebora Kama yeye inaashiria mengi mwenye masikio na asikie mwenye uelewa apambanue na wenye kumbukumbu hifadhini Sana kauli hizo,Zina maana kubwa Sana.
 
Ni aibu mno Kuandika maelezo marefu hivi halafu ni Takataka tupu. Tuliosoma vyema Critical Thinking ( Logical Reasoning ) kwa huu Upuuzi uliouandika hapa tumekudharau sana tu.
Kukusaidia tu logic has to do with reasoning (not sure if you know the applicability) whereas speech has to do with use of language to send a message (structure).

Can you tell the difference?

Usisikilize mtu anachosema word for word ukafanyia tathmini kuna vitu vingine vina apply based on circumstances of the speaker ( you have to know them) as they apply in the interpretation of the speech.

But then I don’t except kiazi kama wewe uelewe based on your interpretation of (word to word meaning from the president speech) kwa watu wengine it’s easy to see spoken language is not your thing.
 
Back
Top Bottom