Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,214
- 4,722
Ametoa pongezi hizo leo kupitia ukurasa wake maalumu wa Twitter
Rais Magufuli amempongeza Rais Yoweli Kaguta Museveni kwa ushindi mnono huku akiahidi kudumisha undugu na urafiki uliopo kwa maslahi ya nchi zote mbili
Aidha amewapongeza Wananchi wa Uganda kwa kufanikisha Uchaguzi huo huku akiwaomba kuzidi kutunza na kudumisha amani nchini mwao.
==
Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa kuchaguliwa na kutangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Uganda kuwa mshindi wa Urais
Rais Magufuli amesema Tanzania itaendeleza urafiki na udugu uliopo kwa maslahi mapana ya wananchi. Pia amewapongeza waganda kwa kumaliza Uchaguzi Mkuu kwa amani
Januari 16, Tume ya Uchaguzi ya Uganda ilisema Yoweri Museveni amepata Kura 5,851,037 sawa na 58.64% akifuatiwa na Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) akipata Kura 3,475,298 sawa na 34.83%
Rais Magufuli amempongeza Rais Yoweli Kaguta Museveni kwa ushindi mnono huku akiahidi kudumisha undugu na urafiki uliopo kwa maslahi ya nchi zote mbili
Aidha amewapongeza Wananchi wa Uganda kwa kufanikisha Uchaguzi huo huku akiwaomba kuzidi kutunza na kudumisha amani nchini mwao.
==
Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa kuchaguliwa na kutangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Uganda kuwa mshindi wa Urais
Rais Magufuli amesema Tanzania itaendeleza urafiki na udugu uliopo kwa maslahi mapana ya wananchi. Pia amewapongeza waganda kwa kumaliza Uchaguzi Mkuu kwa amani
Januari 16, Tume ya Uchaguzi ya Uganda ilisema Yoweri Museveni amepata Kura 5,851,037 sawa na 58.64% akifuatiwa na Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) akipata Kura 3,475,298 sawa na 34.83%