WahengaAmetoa pongezi hizo leo kupitia ukurasa wake maalumu wa Twitter
Rais Magufuli amempongeza Rais Yoweli Kaguta Museveni kwa ushindi mnono huku akiahidi kudumisha undugu na urafiki uliopo kwa maslahi ya nchi zote mbili
Aidha amewapongeza Wananchi wa Uganda kwa kufanikisha Uchaguzi huo huku akiwaomba kuzidi kutunza na kudumisha amani nchini mwao.
==
Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa kuchaguliwa na kutangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Uganda kuwa mshindi wa Urais
Rais Magufuli amesema Tanzania itaendeleza urafiki na udugu uliopo kwa maslahi mapana ya wananchi. Pia amewapongeza waganda kwa kumaliza Uchaguzi Mkuu kwa amani
Januari 16, Tume ya Uchaguzi ya Uganda ilisema Yoweri Museveni amepata Kura 5,851,037 sawa na 58.64% akifuatiwa na Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) akipata Kura 3,475,298 sawa na 34.83%
View attachment 1679412
Waswahili walisema " waarabu wapemba, wajuana kwa vilemba" ngoja tusubir tu mda haukawiiAmetoa pongezi hizo leo kupitia ukurasa wake maalumu wa Twitter
Rais Magufuli amempongeza Rais Yoweli Kaguta Museveni kwa ushindi mnono huku akiahidi kudumisha undugu na urafiki uliopo kwa maslahi ya nchi zote mbili
Aidha amewapongeza Wananchi wa Uganda kwa kufanikisha Uchaguzi huo huku akiwaomba kuzidi kutunza na kudumisha amani nchini mwao.
==
Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa kuchaguliwa na kutangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Uganda kuwa mshindi wa Urais
Rais Magufuli amesema Tanzania itaendeleza urafiki na udugu uliopo kwa maslahi mapana ya wananchi. Pia amewapongeza waganda kwa kumaliza Uchaguzi Mkuu kwa amani
Januari 16, Tume ya Uchaguzi ya Uganda ilisema Yoweri Museveni amepata Kura 5,851,037 sawa na 58.64% akifuatiwa na Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) akipata Kura 3,475,298 sawa na 34.83%
View attachment 1679412
Wewe ni nani kwa Waganda hata dharau yako kwao iwe na umuhimu huo? Maskini kwa kujikweza bwn!!!!Waganda wangempa Bobiwaini nchi ningewadharau sana.....
Mara ya pili ndani ya miezi mitatu Bobiamstadamu anaendelea kushindwa kwa kishindo afrika mashariki
Kati ya mimi na wewe nani anajikweza🙄🙄🙄🙄 mwenyewe utanikuta Bilgate wakati hata Bakhressa humkuti... mfyuuuuWewe ni nani kwa Waganda hata dharau yako kwao iwe na umuhimu huo? Maskini kwa kujikweza bwn!!!!
Bibi du,kazi ipo kwa waafrika we still have long way to go..hakika sio hii generation.Waganda wangempa Bobiwaini nchi ningewadharau sana.....
Mara ya pili ndani ya miezi mitatu Bobiamstadamu anaendelea kushindwa kwa kishindo afrika mashariki😂😂😂
Sielewi unachotetea ni nini bibie! Siku wapumbavu kama ninyi mtakapoisha, ndipo siku tutakayopata uhuru wa kweliBobiamstadam kagalagazwa tena
Sielewi unachotetea ni nini bibie! Siku wapumbavu kama ninyi mtakapoisha, ndipo siku tutakayopata uhuru wa kweli
Wakati nchi za Asia na Latin America zinafikiria maendeleo ya uchumi, vijana wetu wakina Kyagulani, Lissu n. k - wanawaza ukombozi ili wawe kama wakina Nyerere, Mandera. Nkuruma etc.Bibi du,kazi ipo kwa waafrika we still have long way to go..hakika sio hii generation.
Majambazi.Pale ambapo wezi wakipongezana
Kudharauliwa na tabula rasa hakumnyimi usingizi mwenye akili.Waganda wangempa Bobiwaini nchi ningewadharau sana.....
Mara ya pili ndani ya miezi mitatu Bobiamstadamu anaendelea kushindwa kwa kishindo afrika mashariki
Kama A. H. M, J. M. K, J. P. M wamekuwa marais, kati ya Watanzania milioni 60, ni wewe pekee usiyeweza kuwa rais.Usiseme huelewi, sema hatuelewagi.
Kwa kudhania kina Bobiwaini na bobiamstadam wangeshinda mimi nakuona mpumbavu na mwafrika uliyekosa dira kabisa
Vyama vya siasa mfike mahali muwe serious na watu mnaopendekeza washike dola
Unaumia eeee.....😂😂😂😂Kudharauliwa na tabula rasa hakumnyimi usingizi mwenye akili.
Hivi kwanini hukutokea kwenye yale maandamano yenu na TunduAmstadam🙄Kama A. H. M, J. M. K, J. P. M wamekuwa marais, kati ya Watanzania milioni 60, ni wewe pekee usiyeweza kuwa rais.
Waganda wangempa Bobiwaini nchi ningewadharau sana.....
Mara ya pili ndani ya miezi mitatu Bobiamstadamu anaendelea kushindwa kwa kishindo afrika mashwa
Lipo jampo kubwa Kama bahari ya sham ,halibebeki, in east afrika are very closed, hizi jeuri za kutumia manguvu, halitatuacha salama, mgonja tusubiliKati ya mimi na wewe nani anajikweza🙄🙄🙄🙄 mwenyewe utanikuta Bilgate wakati hata Bakhressa humkuti... mfyuuuu
Haya bobiwaini na bobiamstadam wameshindwa tena...... Unaumia eeee😂😂😂😂😂
Nguvu ya kina amstadam imeshindwa tena na nguvu ya wananchi waafricaLipo jampo kubwa Kama bahari ya sham ,halibebeki, in east afrika are very closed, hizi jeuri za kutumia manguvu, halitatuacha salama, mgonja tusubili