Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,663
- 842
Kunywa Pepsi hapo ulipo mkuu nakuja kulipaWaziri ni msimamizi tu na kiongozi wa kisiasa zaidii, hapa hata mtu mwenye uwezo wa kawaida anaweza kuwa waziri.
Kwa upande wa katibu mkuu hapa sio kila mtu anaweza kuteuliwa. Unahitaji mtu mtaalamu wa wizara husika, it's based on seniority and experience. Mfumo wa utumishi wa umma tunaotumia ni British.
Endapo mwenye diploma ama degree ana uzoefu na uwezo kwa nini asiongoze wizara kama katibu mkuu? Hao waalimu wa vyuo wengi hawana field experience. Kuwa profesa chuoni ni rahisi sana ukiwa na kichwa kizuri ktk kuchapisha maandiko ktk fani yako hasa hasa ktk international journals ila ni vitu viwili tofauti kabisa na kuwa na uzoefu halisi na sekta husika.