Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,733
- 10,926
Na mtazamo wako uko sahihi kabisa.ni mambo ya kipumbavu kabisa tunayokazana nayoNajua ni mahitaji ya lazima ya sasa ila naona kama NCHI, tunatumia muda mwingi kuteua, kuapisha na kujadili nyazifa za wanasiasa na watendaji wa serikali. Haya mambo ukiyatafakari sana utagundua hayatuongezei tija kihivyo na yanatupotezea muda na kutuingiza gharama nyingi zisizo na maana sana.
Ila huo ni mtazamo wangu tu.