wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,534
Hakiwezi kuwa Namanga mkuu, maana macho ya wengi yatakuwa Hapo, mostly ni Silari au Tarime, au hata Bunda ,hii ni kuwakwepa majasusi wa Kenyatta.
Unaota bado yaan lowassa aliibiwa kura khaaaa watanzania wana akili zile sarakasi mlicheza wenyew wakawa wanawachoraKipambanuzi chako hakiko sawa.
Lowasa hukupaswa kumtaja kabisaa!
Maana ni kama unamsifia aliyetuibia kura zetu.
(natangaza matokeo kama yanavyonifikia - Lubuva)
Hata mkikiweka magogoni Kitalipuliwa nami nitaHakiwezi kuwa Namanga mkuu, maana macho ya wengi yatakuwa Hapo, mostly ni Silari au Tarime, au hata Bunda ,hii ni kuwakwepa majasusi wa Kenyatta.
Odinga hatoboiOdinga Akishindwa Magu ajiandaee kisaikolojia 2020
Sent From Ikulu-Magogoni street
Hakuibiwa ila alidhurumiwa na hilo hata ccm wanalijua na ndio maana walisema watashinda hata kwa goli la mkono.Unaota bado yaan lowassa aliibiwa kura khaaaa watanzania wana akili zile sarakasi mlicheza wenyew wakawa wanawachora
.
.
Kyenekyaka nkighanile une
Sent using Jamii Forums mobile app
Bac sawa tuliwahurumu lakin umeona kazi inayoendelea katika nchi yako chini ya rais John pombe magufuli ko mkitulize mpaka 2025 mana 2020 hamna cha kuwaambia wananchiHakuibiwa ila alidhurimiwa na hilo hata ccm wanalijua na ndio maana walisema watashinda hata kwa goli la mkono.
Hebu nitajie tangible things alivyofanya zaidi ya kugawa watu majukwani. Kikwete na udhaifu wake kuna vitu tangible kaviachaBac sawa tuliwahurumu lakin umeona kazi inayoendelea katika nchi yako chini ya rais John pombe magufuli ko mkitulize mpaka 2025 mana 2020 hamna cha kuwaambia wananchi
.
.
.
kyenekyaka nkighanile une
Sent using Jamii Forums mobile app
MANYUMBU ni CCMScrow.
- NASA ni chama cha siasa nchini kenya
- Mgombea uraisi wa NASA ni Raila Odinga
- tz ni nchi ya Tanzania
- watz ni watanzania
- manyumbu ni muungano wa vyama vya siasa tz -UKAWA
- Tume ni tume ya uchaguzi Tanzania NEC na tume ya uchaguzi kenya IEBC
- mipaka ya nchi ni kuwa nje ya nchi husika
- kukiona cha mtemakuni ni kuonja joto ya jiwe ya dola
Tatizo nyie manyumbu hamjui siasa. Ni bora mlivyopigwa marufuku kufanya mikutano ya kisiasa, maana ilikuwa ni fujo tuUmemaliza kunya kama mavi hayatoki upigwe bomba
Sent using Jamii Forums mobile app
Achaneni na mambo ya siasa mtakonda bureMANYUMBU ni CCMScrow.