Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
We mdanganye tu. Hata wana Ccm wamemchoka. Hata mpige chale za aina gani hapiti.Mganga wa Maige ameshasema kuwa safari hii yuko na sisi wanaChadema
Akija safari hii anapigwa chale kavu zisizo na dawa
Na hataogeshwa maji ya dawa atamwagiwa maji ya bomba tu hahaha
RAILA KAMSHAURI MAGUFULI YUPI?
Raila Odinga anadai amempigia Rais wetu Simu kumshauri kuhusu Corona. Anavyodai sijui hajampata kwenye Simu.....
Kitu ambacho Raila anatakiwa kukifahamu ni kwamba Kuna Magufuli wawili, Mmoja ni Rafiki yake ambaye wanaweza kujadiliana naye chochote kwa wakati wowote, Magufuli wa Pili ni Rais wa Tanzania, huyu si mtu bali ni taasisi yenye kila aina ya wataalamu na washauri.
Issue ya Corona si issue anayeishughulikia Magufuli ambaye ni Rafiki yake Raila Bali ni Magufuli ambaye ni Taasisi. Raila anatakiwa atofautishe haya mawili kwanza, aliyepaswa kumpigia Simu Magufuli ambaye ni Taasisi ni Uhuru Kenyata Hawa wapo level Moja.
Kitendo Cha Raila kuvuka mipaka na kuja kushauri Tanzania ni kutuaona kuwa sisi vyombo vyetu haviwezi kutusimamia Wala hatuwezi kujisimamia.
Tanzania imekuwa nchi yenye misimamo yake toka Zamani, tumejirisk kwa mengi hata la kutafutia wengine Uhuru tulijirisk sanaa... Tanzania yenyewe imesema mabeberu yasitukopeshe badala yake watusamehe madeni, Kenya wao wameshaenda kukopa.... Hii ni misimamo miwili tofauti....
Tusimame pamoja.... Hakuna mtu njee ya Tanzania anayeweza kuipenda Tanzania kuliko sisi wenyewe. Pamoja na Mambo Mengine watanzania tujiamini, sisi sio Goi Goi wa kiwango hicho.
Ukishakuwa Rais hata marafiki zako uliokuwa nao mwanzo huwezi kuongea nao hovyo hovyo, kila kitu kinafanyiwa monitoring, hata hiyo simu aliyopiga Raila inawezekana sio hiyo aliyonayo Sasa. Tumerahisisha mno taasisi ya Urais .... Si rahisi Kama tunavyofikiria.
Huku hao Nccr wako tumewaandalia kipigo kizito yaani wala wasijaribu kuja yaani huyo Mbatia atalikimbia gari atokomee kwa miguuWe mdanganye tu. Hata wana Ccm wamemchoka. Hata mpige chale za aina gani hapiti.
Msalala ni Nccr mageuzi au Ccm,lakini sio Maige.Huku hao Nccr wako tumewaandalia kipigo kizito yaani wala wasijaribu kuja yaani huyo Mbatia atalikimbia gari atokomee kwa miguu
usilinganishe misimamo ya Tanzania ya akili kubwa ya Mwalimu JKN na awamu nyingine zote zilizofuata (hususani hii awamu ya 5 ambayo literally ni shambolic to say the least).RAILA KAMSHAURI MAGUFULI YUPI?
Raila Odinga anadai amempigia Rais wetu Simu kumshauri kuhusu Corona. Anavyodai sijui hajampata kwenye Simu.....
Kitu ambacho Raila anatakiwa kukifahamu ni kwamba Kuna Magufuli wawili, Mmoja ni Rafiki yake ambaye wanaweza kujadiliana naye chochote kwa wakati wowote, Magufuli wa Pili ni Rais wa Tanzania, huyu si mtu bali ni taasisi yenye kila aina ya wataalamu na washauri.
Issue ya Corona si issue anayeishughulikia Magufuli ambaye ni Rafiki yake Raila Bali ni Magufuli ambaye ni Taasisi. Raila anatakiwa atofautishe haya mawili kwanza, aliyepaswa kumpigia Simu Magufuli ambaye ni Taasisi ni Uhuru Kenyata Hawa wapo level Moja.
Kitendo Cha Raila kuvuka mipaka na kuja kushauri Tanzania ni kutuaona kuwa sisi vyombo vyetu haviwezi kutusimamia Wala hatuwezi kujisimamia.
Tanzania imekuwa nchi yenye misimamo yake toka Zamani, tumejirisk kwa mengi hata la kutafutia wengine Uhuru tulijirisk sanaa... Tanzania yenyewe imesema mabeberu yasitukopeshe badala yake watusamehe madeni, Kenya wao wameshaenda kukopa.... Hii ni misimamo miwili tofauti....
Tusimame pamoja.... Hakuna mtu njee ya Tanzania anayeweza kuipenda Tanzania kuliko sisi wenyewe. Pamoja na Mambo Mengine watanzania tujiamini, sisi sio Goi Goi wa kiwango hicho.
Ukishakuwa Rais hata marafiki zako uliokuwa nao mwanzo huwezi kuongea nao hovyo hovyo, kila kitu kinafanyiwa monitoring, hata hiyo simu aliyopiga Raila inawezekana sio hiyo aliyonayo Sasa. Tumerahisisha mno taasisi ya Urais .... Si rahisi Kama tunavyofikiria.
Wala sio jambo jipyaAcha mambo yasiyo maana, fikiria Kenya kufunga mpaka na Rwanda kufungua bandari kavu Kenya hivyo mizigo kupitia Mombasa. Nyie endeleeni na mapambio tuu
Rwanda secures dry port in Kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kanda hakuna nccr kuna Chadema ambayo inakuwa kwa kasi na Chama chakavu cha ccm ambacho kimewachukua wanavijiji matekaMsalala ni Nccr mageuzi au Ccm,lakini sio Maige.
Ina maana Bandari kavu yetu ya Isaka ndio imetoswa?Wala sio jambo jipya
Walisha fanya mambo zaidi ya hayo na Hakuna jipya
Mlolongo wa Safari ya Mizigo tokea Mombassa mpaka Rwanda unaujua
Au Ufipa umekujaa hujui hata ulisemalo Unakurupuka tu
RAILA KAMSHAURI MAGUFULI YUPI?
Raila Odinga anadai amempigia Rais wetu Simu kumshauri kuhusu Corona....
Kitendo Cha Raila kuvuka mipaka na kuja kushauri Tanzania ni kutuaona kuwa sisi vyombo vyetu haviwezi kutusimamia Wala hatuwezi kujisimamia.....
View attachment 1452166
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOgoTE]
Naona paka anavyomwogopa panya ili asimwambukize viroboto. Huyo paka hafai kama haweze kumkamata huyo panya.
Atachukua Ccm mwingine lakini sio Maige. Yaani lugumya sana, hanunulii kahawa hata wazee wa Kakola.Hii kanda hakuna nccr kuna Chadema ambayo inakuwa kwa kasi na Chama chakavu cha ccm ambacho kimewachukua wanavijiji mateka
Nimekuelewa sana mkuu! Ila nasisi tujefunze kuheshimu maamuzi ya nchi nyingine zinapoamua kupambana na corona kivyao, watu wamefunga mipaka yao tunaanza kulia lia tufunguliweRAILA KAMSHAURI MAGUFULI YUPI?
Raila Odinga anadai amempigia Rais wetu Simu kumshauri kuhusu Corona. Anavyodai sijui hajampata kwenye Simu.....
Kitu ambacho Raila anatakiwa kukifahamu ni kwamba Kuna Magufuli wawili, Mmoja ni Rafiki yake ambaye wanaweza kujadiliana naye chochote kwa wakati wowote, Magufuli wa Pili ni Rais wa Tanzania, huyu si mtu bali ni taasisi yenye kila aina ya wataalamu na washauri.
Issue ya Corona si issue anayeishughulikia Magufuli ambaye ni Rafiki yake Raila Bali ni Magufuli ambaye ni Taasisi. Raila anatakiwa atofautishe haya mawili kwanza, aliyepaswa kumpigia Simu Magufuli ambaye ni Taasisi ni Uhuru Kenyata Hawa wapo level Moja.
Kitendo Cha Raila kuvuka mipaka na kuja kushauri Tanzania ni kutuaona kuwa sisi vyombo vyetu haviwezi kutusimamia Wala hatuwezi kujisimamia.
Tanzania imekuwa nchi yenye misimamo yake toka Zamani, tumejirisk kwa mengi hata la kutafutia wengine Uhuru tulijirisk sanaa... Tanzania yenyewe imesema mabeberu yasitukopeshe badala yake watusamehe madeni, Kenya wao wameshaenda kukopa.... Hii ni misimamo miwili tofauti....
Tusimame pamoja.... Hakuna mtu njee ya Tanzania anayeweza kuipenda Tanzania kuliko sisi wenyewe. Pamoja na Mambo Mengine watanzania tujiamini, sisi sio Goi Goi wa kiwango hicho.
Ukishakuwa Rais hata marafiki zako uliokuwa nao mwanzo huwezi kuongea nao hovyo hovyo, kila kitu kinafanyiwa monitoring, hata hiyo simu aliyopiga Raila inawezekana sio hiyo aliyonayo Sasa. Tumerahisisha mno taasisi ya Urais .... Si rahisi Kama tunavyofikiria.
Inatakiwa tuifute ccm kwenye hii kandaAtachukua Ccm mwingine lakini sio Maige. Yaani lugumya sana, hanunulii kahawa hata wazee wa Kakola.
Hivi mnapowaita wazungu mabeberu, Ina maana nyie ndio mambuzi Jike au?
aibu ganiamepigwa chini ndungulile kachukuliwa mollel. bora nafasii ingebaki wazi. ni aibu
Sent from my iPhone using JamiiForums