Raila Odinga, aliyekataa kupokea simu si rafiki yako Magufuli bali ni Rais Magufuli

Mganga wa Maige ameshasema kuwa safari hii yuko na sisi wanaChadema

Akija safari hii anapigwa chale kavu zisizo na dawa

Na hataogeshwa maji ya dawa atamwagiwa maji ya bomba tu hahaha
We mdanganye tu. Hata wana Ccm wamemchoka. Hata mpige chale za aina gani hapiti.
 
RAILA KAMSHAURI MAGUFULI YUPI?



Raila Odinga anadai amempigia Rais wetu Simu kumshauri kuhusu Corona. Anavyodai sijui hajampata kwenye Simu.....

Kitu ambacho Raila anatakiwa kukifahamu ni kwamba Kuna Magufuli wawili, Mmoja ni Rafiki yake ambaye wanaweza kujadiliana naye chochote kwa wakati wowote, Magufuli wa Pili ni Rais wa Tanzania, huyu si mtu bali ni taasisi yenye kila aina ya wataalamu na washauri.

Issue ya Corona si issue anayeishughulikia Magufuli ambaye ni Rafiki yake Raila Bali ni Magufuli ambaye ni Taasisi. Raila anatakiwa atofautishe haya mawili kwanza, aliyepaswa kumpigia Simu Magufuli ambaye ni Taasisi ni Uhuru Kenyata Hawa wapo level Moja.

Kitendo Cha Raila kuvuka mipaka na kuja kushauri Tanzania ni kutuaona kuwa sisi vyombo vyetu haviwezi kutusimamia Wala hatuwezi kujisimamia.

Tanzania imekuwa nchi yenye misimamo yake toka Zamani, tumejirisk kwa mengi hata la kutafutia wengine Uhuru tulijirisk sanaa... Tanzania yenyewe imesema mabeberu yasitukopeshe badala yake watusamehe madeni, Kenya wao wameshaenda kukopa.... Hii ni misimamo miwili tofauti....

Tusimame pamoja.... Hakuna mtu njee ya Tanzania anayeweza kuipenda Tanzania kuliko sisi wenyewe. Pamoja na Mambo Mengine watanzania tujiamini, sisi sio Goi Goi wa kiwango hicho.

Ukishakuwa Rais hata marafiki zako uliokuwa nao mwanzo huwezi kuongea nao hovyo hovyo, kila kitu kinafanyiwa monitoring, hata hiyo simu aliyopiga Raila inawezekana sio hiyo aliyonayo Sasa. Tumerahisisha mno taasisi ya Urais .... Si rahisi Kama tunavyofikiria.

Why huu ujumbe wako usingetuma kwenye Tweeter account ya odinga
 
RAILA KAMSHAURI MAGUFULI YUPI?



Raila Odinga anadai amempigia Rais wetu Simu kumshauri kuhusu Corona. Anavyodai sijui hajampata kwenye Simu.....

Kitu ambacho Raila anatakiwa kukifahamu ni kwamba Kuna Magufuli wawili, Mmoja ni Rafiki yake ambaye wanaweza kujadiliana naye chochote kwa wakati wowote, Magufuli wa Pili ni Rais wa Tanzania, huyu si mtu bali ni taasisi yenye kila aina ya wataalamu na washauri.

Issue ya Corona si issue anayeishughulikia Magufuli ambaye ni Rafiki yake Raila Bali ni Magufuli ambaye ni Taasisi. Raila anatakiwa atofautishe haya mawili kwanza, aliyepaswa kumpigia Simu Magufuli ambaye ni Taasisi ni Uhuru Kenyata Hawa wapo level Moja.

Kitendo Cha Raila kuvuka mipaka na kuja kushauri Tanzania ni kutuaona kuwa sisi vyombo vyetu haviwezi kutusimamia Wala hatuwezi kujisimamia.

Tanzania imekuwa nchi yenye misimamo yake toka Zamani, tumejirisk kwa mengi hata la kutafutia wengine Uhuru tulijirisk sanaa... Tanzania yenyewe imesema mabeberu yasitukopeshe badala yake watusamehe madeni, Kenya wao wameshaenda kukopa.... Hii ni misimamo miwili tofauti....

Tusimame pamoja.... Hakuna mtu njee ya Tanzania anayeweza kuipenda Tanzania kuliko sisi wenyewe. Pamoja na Mambo Mengine watanzania tujiamini, sisi sio Goi Goi wa kiwango hicho.

Ukishakuwa Rais hata marafiki zako uliokuwa nao mwanzo huwezi kuongea nao hovyo hovyo, kila kitu kinafanyiwa monitoring, hata hiyo simu aliyopiga Raila inawezekana sio hiyo aliyonayo Sasa. Tumerahisisha mno taasisi ya Urais .... Si rahisi Kama tunavyofikiria.
usilinganishe misimamo ya Tanzania ya akili kubwa ya Mwalimu JKN na awamu nyingine zote zilizofuata (hususani hii awamu ya 5 ambayo literally ni shambolic to say the least).

sidhani kama awamu hii inajua nchi hii inachokihitaji na namna ya kukipata.

nilishasema huko nyuma na ninarudia tena... Tanzania inazihitaji zaidi nchi jirani yake kuliko kinyume chake.
 
Acha mambo yasiyo maana, fikiria Kenya kufunga mpaka na Rwanda kufungua bandari kavu Kenya hivyo mizigo kupitia Mombasa. Nyie endeleeni na mapambio tuu
Rwanda secures dry port in Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
Wala sio jambo jipya
Walisha fanya mambo zaidi ya hayo na Hakuna jipya
Mlolongo wa Safari ya Mizigo tokea Mombassa mpaka Rwanda unaujua
Au Ufipa umekujaa hujui hata ulisemalo Unakurupuka tu
 
Wala sio jambo jipya
Walisha fanya mambo zaidi ya hayo na Hakuna jipya
Mlolongo wa Safari ya Mizigo tokea Mombassa mpaka Rwanda unaujua
Au Ufipa umekujaa hujui hata ulisemalo Unakurupuka tu
Ina maana Bandari kavu yetu ya Isaka ndio imetoswa?
 
RAILA KAMSHAURI MAGUFULI YUPI?



Raila Odinga anadai amempigia Rais wetu Simu kumshauri kuhusu Corona....

Kitendo Cha Raila kuvuka mipaka na kuja kushauri Tanzania ni kutuaona kuwa sisi vyombo vyetu haviwezi kutusimamia Wala hatuwezi kujisimamia.....

Huu ☝️ ndio ukweli...
 
RAILA KAMSHAURI MAGUFULI YUPI?



Raila Odinga anadai amempigia Rais wetu Simu kumshauri kuhusu Corona. Anavyodai sijui hajampata kwenye Simu.....

Kitu ambacho Raila anatakiwa kukifahamu ni kwamba Kuna Magufuli wawili, Mmoja ni Rafiki yake ambaye wanaweza kujadiliana naye chochote kwa wakati wowote, Magufuli wa Pili ni Rais wa Tanzania, huyu si mtu bali ni taasisi yenye kila aina ya wataalamu na washauri.

Issue ya Corona si issue anayeishughulikia Magufuli ambaye ni Rafiki yake Raila Bali ni Magufuli ambaye ni Taasisi. Raila anatakiwa atofautishe haya mawili kwanza, aliyepaswa kumpigia Simu Magufuli ambaye ni Taasisi ni Uhuru Kenyata Hawa wapo level Moja.

Kitendo Cha Raila kuvuka mipaka na kuja kushauri Tanzania ni kutuaona kuwa sisi vyombo vyetu haviwezi kutusimamia Wala hatuwezi kujisimamia.

Tanzania imekuwa nchi yenye misimamo yake toka Zamani, tumejirisk kwa mengi hata la kutafutia wengine Uhuru tulijirisk sanaa... Tanzania yenyewe imesema mabeberu yasitukopeshe badala yake watusamehe madeni, Kenya wao wameshaenda kukopa.... Hii ni misimamo miwili tofauti....

Tusimame pamoja.... Hakuna mtu njee ya Tanzania anayeweza kuipenda Tanzania kuliko sisi wenyewe. Pamoja na Mambo Mengine watanzania tujiamini, sisi sio Goi Goi wa kiwango hicho.

Ukishakuwa Rais hata marafiki zako uliokuwa nao mwanzo huwezi kuongea nao hovyo hovyo, kila kitu kinafanyiwa monitoring, hata hiyo simu aliyopiga Raila inawezekana sio hiyo aliyonayo Sasa. Tumerahisisha mno taasisi ya Urais .... Si rahisi Kama tunavyofikiria.
Nimekuelewa sana mkuu! Ila nasisi tujefunze kuheshimu maamuzi ya nchi nyingine zinapoamua kupambana na corona kivyao, watu wamefunga mipaka yao tunaanza kulia lia tufunguliwe
 
Point yako ni ipi mbona una turudisha kwenye Mambo yaliyo pita

Dark Side
 
Hata mimi nimemshangaa Odinga, hivi katika level yake anaweza kumtuhumu rais Magufuli kuacha kupokea simu yake kweli!? ingeeleweka kama rais Kenyatta ndo angekuja na tuhuma hizo..
 
huuu ukweli mchungu rais kama taasisi hana marafiki. Japl wengi hawajuwi nakubwatuka nakulia lia.
 
odinga aliapishwa urais wa kenya na dr miguna mwisho wa siku akamsaliti dr miguna akajipeleka kwa uhuru.dr miguna akashtakiwa.
sasa magu hana aja ya kupokea simu za wanafki

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom