Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
We mdanganye tu. Hata wana Ccm wamemchoka. Hata mpige chale za aina gani hapiti.Mganga wa Maige ameshasema kuwa safari hii yuko na sisi wanaChadema
Akija safari hii anapigwa chale kavu zisizo na dawa
Na hataogeshwa maji ya dawa atamwagiwa maji ya bomba tu hahaha