Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,277
- 12,810
Ni watu gani wanaweza kuitwa na kamati ya TFF? Hivi kwa sasa Haji Manara kimpira si raia wa kawaida? Raia wa kawaida anaweza hukumiwa na kamati ya maadili ya TFF?
Ficha aibu ya aina hii mkuu. Naanza kuamini maneno ya manara.Ni watu gani wanaweza kuitwa na kamati ya TFF? Hivi kwa sasa Haji Manara kimpira si raia wa kawaida? Raia wa kawaida anaweza hukumiwa na kamati ya maadili ya TFF?
Ndio, kama alizuiwa kuwa sehemu ya uongozi na kumpeleka awe raia wa kawaida, akakataa kuwa raia wa kawaida, ataitwa alazimishwe kwa nguvu zaidiNi watu gani wanaweza kuitwa na kamati ya TFF? Hivi kwa sasa Haji Manara kimpira si raia wa kawaida? Raia wa kawaida anaweza hukumiwa na kamati ya maadili ya TFF?
Sasa wanamuita kama nani?Ficha aibu ya aina hii mkuu. Naanza kuamini maneno ya manara.
Jurisdiction ya TFF inaishia kwa watu walio kwenye mpira chini yao. Wasemaji wa vilabu, makocha, wachezaji nk. Sasa raia wa kawaida akiokosea mpira wanapata wapi mammlaka ya kumuita kumuadhibu? Haji baada ya kuzuiwa kujihusisha na mpira amekuwa raia wa kawaida tu.Eti raia wa kawaida. Mfungwa akifanya kosa ambalo halikumpelekea kufungwa huwa anashitakiwa tena. Haji kafanya kosa juu ya kosa. Mse nage sana yule Haji.
Mimi raia wa kawaida nikiukosea mpira TFF wanaweza kuniita?Ndio, kama alizuiwa kuwa sehemu ya uongozi na kumpeleka awe raia wa kawaida, akakataa kuwa raia wa kawaida, ataitwa alazimishwe kwa nguvu zaidi
TFF wanaenforce vipi hukumu zao?Ficha aibu ya aina hii mkuu. Naanza kuamini maneno ya manara.
Wewe utaitwa na polisi. Si unakumbuka wale mashabiki wa Yanga waliompiga shabiki wa Simba kule Morogoro?Mimi raia wa kawaida nikiukosea mpira TFF wanaweza kuniita?
Makosa ya jinai yote ni polisi. Haijalishi ni rais wa timuWewe utaitwa na polisi. Si unakumbuka wale mashabiki wa Yanga waliompiga shabiki wa Simba kule Morogoro?
Muwe waelewa jamani mzungu sio raia kawaida huyo ni mfungwa bado hayupo huru anatumikia adhabuNi watu gani wanaweza kuitwa na kamati ya TFF? Hivi kwa sasa Haji Manara kimpira si raia wa kawaida? Raia wa kawaida anaweza hukumiwa na kamati ya maadili ya TFF?