MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,492
- 20,495
Leo hapa Muscat Mama alikuwa anafanya mahojiano na redio ya kiswahili inaitwa Karafuu FM akahojiwa kuhusu watu kumuita Vasco da Gama huwa anajisikiaje?
Mama kasema hiyo haimpi shida maana wengine pia wamempa jina la Ibn Battuta lakini bado anachapa kazi.
Ibn Battuta alikuwa ni jamaa Fulani mtembezi kutoka Afrika Kaskazini ambaye alikuwa hatulii nyumbani, alizunguka Arabia na Afrika kwa sehemu kubwa kwa kipindi chake kwa kutumia miguu.
Mama kasema hiyo haimpi shida maana wengine pia wamempa jina la Ibn Battuta lakini bado anachapa kazi.
Ibn Battuta alikuwa ni jamaa Fulani mtembezi kutoka Afrika Kaskazini ambaye alikuwa hatulii nyumbani, alizunguka Arabia na Afrika kwa sehemu kubwa kwa kipindi chake kwa kutumia miguu.