STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,568
Wameanza na huyo kama hawajashughulikiwa inawezekana wakaendelea kuwauwa waafrica wengine ambao pengine wako huko kimasomoIla raia wa kikongo wakiuliwa na polisi wa Congo mambo ni mshwano kabisa?
Rejea kifo cha Akwelin na Mwangosi...double standard kabisa.
... Mambo ya imani ni kuvumiliana! Acha kashfa.Hawa waabudia mavi na mikojo ya ng'ombe dawa yao ipo karibu, hawa waanze kushughulikiwa ipaswavyo huku Afrca mbwa hawa
Kachanjwe acha ujinga wewe.Hao si ndo mabwana zenu wanaoleteeni machanjo mpaka mnawaabudu! Eti ooh wanatupenda!!
Huu ni udhihirisho wa nje tu unaothibitisha kwamba watu weupe hawajawahi kumpenda mtu mweusi.
Endeleeni kubugia machanjo! Mahesabu baadae.
Kuwa makini na tigo yako kijana.Kachanjwe acha ujinga wewe.
Hopeless creature. Kwa matusi haya ni wazi mimba iliyokuzaa ni zao la ngoma za baikoko.Kuwa makini na tigo yako kijana.
Akili za watu weusi,mtu mweusi akiuliwa na mtu wa Rangi nyingine inauma,ila akiuliwa na mweusi mwenzie ni Sawa!Mkongomani auwawa kwa kupigwa hadharani na Polisi nchini India. Kifo cha Mkongo huyo kimesababisha mandamano kwa raia walivyoona akipigwa marungu na miti kichwani na kiunoni kwa kushambuliwa na Polisi Zaidi ya 8 bila Huruma hadi alipokata roho na kuendelea kupiga maiti kwa kuiponda-ponda.
View attachment 1881981
View attachment 1881982
Wahindi nchini DRC, wanahofia maisha yao kutokana na hali ya hasira ilioanza kuonekana dhidi yao, kwenye nyuso za Wakongomani walio ndani na nje ya nchi, kufwatia kifo cha raia huyo aliyepoteza maisha akiwa mikononi mwa jeshi la Polisi nchini India.
View attachment 1881984
Tukio ambalo limezuwa Hali ya sintofahamu na kusababisha maandamano na vurugu kufanyika ndani na nje ya nchi.
Kufikia sasa, Serikali za mataifa hayo mawili zimeingilia jambo hilo lenye utata na kuanza kujaribu kulitatuwa.
View attachment 1881986
Wahindi sio watu weupe,na wala sio waamuzi wa chanjo za koronaHao si ndo mabwana zenu wanaoleteeni machanjo mpaka mnawaabudu! Eti ooh wanatupenda!!
Huu ni udhihirisho wa nje tu unaothibitisha kwamba watu weupe hawajawahi kumpenda mtu mweusi.
Endeleeni kubugia machanjo! Mahesabu baadae.
Kwa hiyo alipatikana kwenye vigodoroHopeless creature. Kwa matusi haya ni wazi mimba iliyokuzaa ni zao la ngoma za baikoko.
Baikoko product.Narudia tena: LINDA SANA TIGO YAKO.