Raia mwenye asili ya Congo apigwa na Polisi hadi kufa nchini India

armando790

Member
Oct 26, 2015
36
85
Mkongomani auwawa kwa kupigwa hadharani na Polisi nchini India. Kifo cha Mkongo huyo kimesababisha mandamano kwa raia walivyoona akipigwa marungu na miti kichwani na kiunoni kwa kushambuliwa na Polisi Zaidi ya 8 bila Huruma hadi alipokata roho na kuendelea kupiga maiti kwa kuiponda-ponda.

IMG_4139.jpg


Wahindi nchini DRC, wanahofia maisha yao kutokana na hali ya hasira ilioanza kuonekana dhidi yao, kwenye nyuso za Wakongomani walio ndani na nje ya nchi, kufwatia kifo cha raia huyo aliyepoteza maisha akiwa mikononi mwa jeshi la Polisi nchini India.

IMG_4135.jpg


Tukio ambalo limezuwa Hali ya sintofahamu na kusababisha maandamano na vurugu kufanyika ndani na nje ya nchi.
Kufikia sasa, Serikali za mataifa hayo mawili zimeingilia jambo hilo lenye utata na kuanza kujaribu kulitatuwa.

IMG_4134.jpg
 
Mauji tena, tena kwa chombo cha dola? Taasisi ya kupeleka malalamiko ndio wana tu ua?, Hadharani kama umbwa. Alafu tunaangalia tu, tunayazungumza yanaisha. Dah! shame on us.
 
Back
Top Bottom