Raia mwenye asili ya Congo apigwa na Polisi hadi kufa nchini India

Ila raia wa kikongo wakiuliwa na polisi wa Congo mambo ni mshwano kabisa?
Rejea kifo cha Akwelin na Mwangosi...double standard kabisa.
Wameanza na huyo kama hawajashughulikiwa inawezekana wakaendelea kuwauwa waafrica wengine ambao pengine wako huko kimasomo
 
Huu ubaguzi wa wahindi kwa watu weusi sijuwi utaisha lini?


Wahindi wote mafinyango yenu..
 
Hao si ndo mabwana zenu wanaoleteeni machanjo mpaka mnawaabudu! Eti ooh wanatupenda!!

Huu ni udhihirisho wa nje tu unaothibitisha kwamba watu weupe hawajawahi kumpenda mtu mweusi.

Endeleeni kubugia machanjo! Mahesabu baadae.
Kachanjwe acha ujinga wewe.
 
Waafrika bana, wao wanauawa tena na polisi huko India, ikija kulipiza kisasi, sisi tuna negotiate. Dawa ni kujibu kwa kipigo. Dawa ya moto ni moto.
 
Mkongomani auwawa kwa kupigwa hadharani na Polisi nchini India. Kifo cha Mkongo huyo kimesababisha mandamano kwa raia walivyoona akipigwa marungu na miti kichwani na kiunoni kwa kushambuliwa na Polisi Zaidi ya 8 bila Huruma hadi alipokata roho na kuendelea kupiga maiti kwa kuiponda-ponda.

View attachment 1881981
View attachment 1881982

Wahindi nchini DRC, wanahofia maisha yao kutokana na hali ya hasira ilioanza kuonekana dhidi yao, kwenye nyuso za Wakongomani walio ndani na nje ya nchi, kufwatia kifo cha raia huyo aliyepoteza maisha akiwa mikononi mwa jeshi la Polisi nchini India.

View attachment 1881984

Tukio ambalo limezuwa Hali ya sintofahamu na kusababisha maandamano na vurugu kufanyika ndani na nje ya nchi.
Kufikia sasa, Serikali za mataifa hayo mawili zimeingilia jambo hilo lenye utata na kuanza kujaribu kulitatuwa.

View attachment 1881986
Akili za watu weusi,mtu mweusi akiuliwa na mtu wa Rangi nyingine inauma,ila akiuliwa na mweusi mwenzie ni Sawa!
Waafrika wanauana kila siku,hata hapa bongo,wasiojurikana waliua watu kibao,
Juzi hapa Kuna mtu alimkanyaga kanyaga jamaa kwa gari huku watu wakishangiria.
 
Hao si ndo mabwana zenu wanaoleteeni machanjo mpaka mnawaabudu! Eti ooh wanatupenda!!

Huu ni udhihirisho wa nje tu unaothibitisha kwamba watu weupe hawajawahi kumpenda mtu mweusi.

Endeleeni kubugia machanjo! Mahesabu baadae.
Wahindi sio watu weupe,na wala sio waamuzi wa chanjo za korona
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom