STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,566
Wameanza na huyo kama hawajashughulikiwa inawezekana wakaendelea kuwauwa waafrica wengine ambao pengine wako huko kimasomoIla raia wa kikongo wakiuliwa na polisi wa Congo mambo ni mshwano kabisa?
Rejea kifo cha Akwelin na Mwangosi...double standard kabisa.